Rais Samia, hili la wamachinga litawapa umaarufu wanasiasa waliopoteza mvuto. Watasema "umepiga mchache"

Kwani nyiemnafanyaga uchaguzi, ninavyojua upo uchafuzi na zaidi zaidi policccm , wanatosha kuwashindisha akiongezeka neck , karani wa vyama plus wakuruginzi biashara imekwisha. Sasa mmeanza kutishana nyau wenyewe Kwa wenyewe, vipi Tena Wakudadavua , unatuangusha kijani wenzio🤸.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…