Rais Samia hongera kwa kurekebisha makosa yaliyofanyika kwenye uteuzi wa Azza Hilal Hamad

Rais Samia hongera kwa kurekebisha makosa yaliyofanyika kwenye uteuzi wa Azza Hilal Hamad

1622458183779.png
 
Once a mistake, twice a pattern and three times is a habit.

Kuna mtu anatabia ya kutokufahamu watu anaowataeuwa, sasa kama hawajui watu wenyewe sijui anawabadilishia nini.

God knows mambo gani mengine ya ovyo anashauriwa, mtu ambae apendi kufahamu zaidi; unaanza kuona hoja za Bagamoyo, LNG plant na kutolewa kwa Jaffo TAMISEMI zilipachikwa vipi na kwa maslahi ya nani.

Kama wafanyabiashara wameacha kutoa receipt, huko serikali za mitaa watu sasa hivi wanafanya party.
 
vyombo vinavyo msaidia Mhe.Rais vinapaswa viongeze umakini.
Mbona kuna kiongozi alituaminisha kuwa wateuliwa huwa wanapitia kwenye machujio matatu? au inakuaje ?
 
Aisee huyu alikuwa anachomekwa kijinga. hana qualification zozote zile. mtu kaishia secondary awe katib tawalam what the hell?

umakin unahitajika hapa
 
wapinzani wako wapate upenyo wa kukutukana Sana.
Hasa wapinzani wake ndani ya CCM ambao bado wako na mzio wa mwendazake hadi leo. Mama Samia ana maadui wengi ndani ya CCM kuliko mahali popote pale na huenda haya yote yanafanyika kwa makusudi ili kumharibia zaidi. CCM oyeeee mitano tena
 
KAZI kwetu sisi ambao tuna nyota za Bindi kupendwa na wachawi[emoji1787][emoji1787]
 
Hivi wanaoteuliwa kimakosa kama hivi na kutangazwa hadharani kisha wakatenguliwa hadharani, je hhawapatagi fedheha? Hawaafadhaiki kiakili? Je hawawezifungua kesi ya kufedheheshwa?
 
Yaan huyo mama kwa Elimu yake kumbe mie nimemuacha parefu mno, ila yey anakula cake ya Taifa, mie nakula ugali wa mihogo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha hayako fair wallah. Khaaaah.
 
Hawa hawa wanaompelekea Majina akateua ndio hao hao wanampelekea pia uongo mwiingi kuhusu watu wasiowataka au wanaowachukia,, Ukweli ni Kwamba UKIWA Kiongozi hapa Afrika ni mateso makubwa sana... ni bora kabisa kuchukua muda KUJIRIDHISHA napo ni ngumu ujue watu woote mpaka MARAS ndio kusema kuna umuhimu Rais apunguziwe zigo la kuteua wengine wawe wanaomba tu kazi wanafanyiwa Interview anajua kabisa mimi Elimu hii siwezi hii kazi.

Rais awe anateua nafasi nyeti pekee....Huyu mama ana nia nzuri ila lazima asaidiwe....
 
Hao wanao mshauri rais wameonyesha udhaifu mkubwa na kumufanya rais aonekane siyo makini.

Hivyi si kuna sifa zimeanishwa kwa kila nafasi inayo tangazwa? Kama ni hivyo ni nani anamletea hao watu wasio na sifa?.Huyo anza naye.
Kabla ya uteuzi si wateule wote hufanyiwa vetting ya kutosha? Au wanaokwotwa tu?

Inasikitisha sana kosa lilianziwa kwa yule wa TPDC, akaja Kafulila, imekuja tena hili la katibu tawala.

Tumeona mpaka waraka toka Ikulu unatolewa umekosewa tarehe.

Watu wa Ikulu na wengine mnao husika msimvunjie heshima rais wetu.

Nina wasi wasi kuwa kuna wapigaji wamemzunguka Rais wanapenyeza majina yao tu.
 
Back
Top Bottom