Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Naomba kukupongeza Kwa hotuba nzuri inayoeleza kinaga ubaga umefanini na unategemea kufanya Nini huku ukiweka wazi vyanzo vyote vya fedha Kwa Kila mradi, nimependa umekuwa wazi kuonyesha namna tunavyohitaji mahusiano yakimataita kujenga uchumi
Pamoja na hotuba nzuri nimejisikia vibaya kusikia mambo yafuatayo
1. Umeeleza Kwamba umeagiza china meza na viti zaidi ya elfu thelasini; Mhe. RAIS Kwa tatizo la ajira tulilonalo na Kwa ukwasi uliopo sikutegemea kama Bado mnawaza kuagiza nje bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini.
Ungetoa tenda Kwa karakana za hapa nchini bara na visiwani, ungetoa tenda Kwa mafundi wetu hapa nchini aidha Kwa kutumia mbao au chuma naamini ungetoa ajira,fedha ingebaki ndani na ungekuza uchumi. Huko china wangewekeza kuagiaza Ulaya wasingetajirika na wala wasinge kuwa na viwanda Leo.
Nikuombe kama aujalipia rudisha fedha zitumike nchini wapo mafundi wengi sana wamekosa KAZI. Na Hii nitoe Rai Kwa RAIS wa Muungano, yawezekana hata majengo yetu ya idara na Wizara Dodoma tumepanga kupeleka fedha china, pls wapeni KAZI makampuni ya ndani na ikiwezekana tupige marufuku kuagiza furniture za Serikali nje.
2. Nimekusikia unasema uwanja wa ndege Zanzibar mmekodishwa kwa kampuni ya Uatmrabuni waendeshe. Pls tumeona kilichotokea Zambia na Entebe, kwanini maeneo haya nyeti tunakabidhi wageni watusaidie kuendesha? Are we safe?
3. Mwisho, nimesikia miradi mingi Fedha zinatoka kwenye mikopo; je uwezo wa Zanzibar kulipa upoje? Tusinogewe kukopa tukauza kisiwa chetu.
Mwisho nikupongeze Kwa uwazi na nikuombe ujitahidi sana kupunguza kukopa na kuhakikisha tunafanya manunuzi ndani kukuza ujuzi na utaalamu wa WATU wetu.
Pamoja na hotuba nzuri nimejisikia vibaya kusikia mambo yafuatayo
1. Umeeleza Kwamba umeagiza china meza na viti zaidi ya elfu thelasini; Mhe. RAIS Kwa tatizo la ajira tulilonalo na Kwa ukwasi uliopo sikutegemea kama Bado mnawaza kuagiza nje bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini.
Ungetoa tenda Kwa karakana za hapa nchini bara na visiwani, ungetoa tenda Kwa mafundi wetu hapa nchini aidha Kwa kutumia mbao au chuma naamini ungetoa ajira,fedha ingebaki ndani na ungekuza uchumi. Huko china wangewekeza kuagiaza Ulaya wasingetajirika na wala wasinge kuwa na viwanda Leo.
Nikuombe kama aujalipia rudisha fedha zitumike nchini wapo mafundi wengi sana wamekosa KAZI. Na Hii nitoe Rai Kwa RAIS wa Muungano, yawezekana hata majengo yetu ya idara na Wizara Dodoma tumepanga kupeleka fedha china, pls wapeni KAZI makampuni ya ndani na ikiwezekana tupige marufuku kuagiza furniture za Serikali nje.
2. Nimekusikia unasema uwanja wa ndege Zanzibar mmekodishwa kwa kampuni ya Uatmrabuni waendeshe. Pls tumeona kilichotokea Zambia na Entebe, kwanini maeneo haya nyeti tunakabidhi wageni watusaidie kuendesha? Are we safe?
3. Mwisho, nimesikia miradi mingi Fedha zinatoka kwenye mikopo; je uwezo wa Zanzibar kulipa upoje? Tusinogewe kukopa tukauza kisiwa chetu.
Mwisho nikupongeze Kwa uwazi na nikuombe ujitahidi sana kupunguza kukopa na kuhakikisha tunafanya manunuzi ndani kukuza ujuzi na utaalamu wa WATU wetu.