Rais Samia hurumia wazee waliolitumikia taifa kwa uaminifu leo wanalipwa Tsh 3,000 kwa siku

ccm ingepumzika kwa muda wananchi wangeheshimika. shida tunaonekana kama manyani, tukirushiwa mkate tunakenua.
haiwezekani kila sekta kuna malalamiko na bado mnaimba tunaimani na hicho chama.
 
Je wazee wasiokuwa waajiriwa serikali 'HAWAJALITUMIKIA' Taifa? na vipi ushafikiria hao nao wanaishi vipi bila pesa ya mwezi?
Inaonekana wewe ni mgeni kwenye mambo ya ajira, unapoajiriwa Kila mwezi unakatwa kwenye mshahara wako, hela hiyo inatunzwa/kuwekezwa ili unapostaafu na huna nguvu ya kutafuta unapewa kidogo mpakà mwisho wa maisha yako. Hao unaosema walitumia muda wao wakifanya shughuli binafsi
 
Kama unalijua hilo, hicho wanachopewa ndo haki yao kwa kipato walichokuwa wanapata.
Kila kundi likitaka kupewa 'special' treatment nchi haitopiga hatua.
 
Pana wastaafu wa shirika la reli Tanzania wanapigwa danadana tu malipo ya tuzo licha ya maamuzi ya mahakama.
 
Umeongea vema na mimi naongezea wazee wapo wengi Tanzania na wote wametumikia nchi hii lakini hawana pensheni mfano wakulima, wavuvi, wafugaji, n.k naomba Rais atoe pensheni kwa wazee wote kuanzia miaka 65 kwani wanateseka sana
 
Hawa wazee huwa ni hodari sana wa kuvaa kofia na Tshirt za ccm, hayo ni mambo ya familia, waachie wana familia, kama na wewe ni mwana familia yajadilini kwenye vikao vya ndani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wastaafu wa 2018 kuja juu wengi bado wanasotea mafao baada ya kupewa pungufu na pension ya kila mwezi wanapewa pungufu hadi kesho.

Huko kazini vijana pigine haswa mjenge muajiri hatokuthamini kamwe siku umestaafu.
 
Kama unalijua hilo, hicho wanachopewa ndo haki yao kwa kipato walichokuwa wanapata.
Kila kundi likitaka kupewa 'special' treatment nchi haitopiga hatua.
Kama unaweza tafuta Sheria ya pension uone matakwa yake. Pension itakuwa inarekebishwa mara kwa mara kulingana na inflation inavyokuwa. Kigezo kikubwa Cha inflation ni upandaji wa vyakula, angalia vyakula vinavyopanda Bei, angalia mafuta, nk.
Naomba niachie hapo nisiseme mengi na kuharibu lengo la Uzi huu. Nafikiri wewe ni mmoja wa watu wenye roho mbaya. Mbona hujasema lolote viongozi wastaafu wanapopewa asilimia 80 ya waliopo madarakani, mbona hujasema lolote kwa wanaopata hela ya TASAF, .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…