Halmashauri inafanya nini? Una mbunge, diwani na Baraza la madiwani (Halmashauri) ambao ndo wawakilishi wako, umefanya jitihada gani kuwawajibisha kabla ya kurukia kwa mkuu wa wilaya? Unayajua majukumu na mipaka ya mkuu wa wilaya? Unataja akuletee maji kwa bajeti ipi?Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi,
Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelishq na wewe ukaamua kuturushia huku kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Sasa maji na Barabara DC atafanya kitu gan yarabi?Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Hujui majukumu ya DC? Mbunge wake anaitwa nani?Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Hako kaliwekwa hapo ili kukamilisha tu dhana ya ajira kwa wote bila kubagu
Mnalo hilo wanakisarawe. Hangaikeni na zimwi lenu hilo. Mkiweza au ikiwapendeza mfungieni kwenye chupa mumtupe baharini.Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Umefika morogoro mjini? Maji, barabara, uchafu, vumbi.. kumbe jehanamu iko hapa hapa duniani?Hivi mbunge wenu anaitwa nani mkuu ila ni kweli maana juzi nilikuwa huko kweli Hali ni mbaya mitaa imekaa hovyo sana barabara za tabu mno poleni sana ndugu zangu
Aise ni dhahir kwamba kipaumbele kinapaswa kuwa maendeleo ya msingi kama maji, miundombinu, na huduma muhimu. Kina muda mwingine, siasa hufunika changamoto za kiuhalisia, na viongozi wanapaswa kuzingatia matatizo ya wananchi kuliko kushughulikia masuala ya uchaguzi pekee lakn ni vyema viongozi wasiofaa wasipewe kura kabisa.Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Mkuu wewe utakuwa umemaliza recently, kumbe mliletewa maji ya Ruvu?? Mi nakumbuka tulikuwa tunashuka kule pondi kwenyewe... aiseeee... Ilikuwa noma sanaNimepakumbuka Minaki boys enzi hizo.
Kulikuwa na maji ya fangasi sana ila Magufuli akaleta maji kutoka mto Ruvu.
Wabongo wanapenda mipasho