njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Jamani Dc la kimataifa kafanyaje tenaa si juzi juzi tu hapa kabuni vazi la Samia style la kiume huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halmashauri inafanya nini? Una mbunge, diwani na Baraza la madiwani (Halmashauri) ambao ndo wawakilishi wako, umefanya jitihada gani kuwawajibisha kabla ya kurukia kwa mkuu wa wilaya? Unayajua majukumu na mipaka ya mkuu wa wilaya? Unataja akuletee maji kwa bajeti ipi?
Una chuki zako nje ya hizo kero.
Huyo Magoti ni kutoka chama gani cha siasa?Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Suleiman Jafo, na ukimuona kaja ujue kaja kwenye graduation Mango secHujui majukumu ya DC? Mbunge wake anaitwa nani?
Acha kunyanayasa walemavu na ulemavu aliotoa ccmWatu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Nyie ndio chawa wake nini????Sasa Mkuu wa Wilaya ndo analeta maji?!
Mbunge wako na watu RUWASA wako wapi?
Acha chuki za kijinga kwa Mhe. DC
Kukomenti kuhusu huyu DC ni sawa na kumkosea Muumba tu... Ngoja tuone..Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Uchawa ndio Tunu ya Taifa kwa zasaWatu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Mbunge wenu ni Waziri anafanya nini huko Bungeni hadi alaumiwe DC?Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Jamani DC juzi alivaa koti flani hivi refu , mwacheni kidogo ,apige shooWatu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR
Yeye yupo size na nini mkuu?😄Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na uchaguzi tu na matamko .
Ikikupendeza muondoe tuletee anayeweza kazi
USSR