Na hatimaye covid ikapita naye, na Chief Minister wake, na washkaji zake wengine. So sadKila mtu anajua Samia alitaka lockdown
Lakini dunia ndiyo imefuata maono ya Rais Magufuli hakuna cha lockdown
hivi kwa akili yako ya kawaida tu . unataka kusema angeamua kujiuzuru mbele ya bwana yule angekuwa hai huyu?Kama kweli walitofautiana lakini akashindwa kusimamia alichokiamini mpaka mwisho...