Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

Kwa lugha nyepesi na ufahamu wangu mdogo, Rais ana tulazimisha tuamini kwamba kifo cha Meddy ni sawa tuu. Alistahili kufa kifo cha aina ile. Ndio maana hataki hata tume huru kuchunguza mauaji yale..
Tuombe tu Mungu yeye huwa ana jibu maana huona hata yaliyo sirini.
 
Back
Top Bottom