Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,317
- 1,817
Tufanye mojaThat isn’t the point. Kuna upotoshaji mkubwa kwamba hakuna engezeko la gharama hata tukiwa na Muungano wenye serikali tatu! Tukiamua kufuata njia hiyo, tuende tukijua engezeko la gharama lipo.