Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

May be! but unaposhindwa kujibu hoja kwa mantiki ! inafikirisha.

Kwa mtazamo wako ni kitu rahisi sana kwasababu ni copy and paste na ndiyo maana nakueleza jaribu kuangalia mazingira ya suala zima h kwanza. Kuna tofauti ya Federation ya US, Canada, Nigeria, India hata kama ukiangalia kwa haraka unaona inafanana. Nilifundishwa darsa la sita ''attention to detail''

Mzee Warioba, Mzee Salim Ahmed, na Maprofesa wa katiba walioma namna fedeal system inafanya kazi
Walichokiona ni tofauti na mazingira tuliyo nayo.

Mfumo wa Nigeria una states 26 unawezaje kufananisha na Tanzania yenye Tanganyika kubwa na Zanzibar?

Nyerere alipofanya Union waliangalia mazingira ya reservations kwa Wazanzibar wakawapa semi autonomous.

Katiba ya Tanganyika ikafanywa ya JMT 1964 kukiwa na mambo 22 ambayo yaliongezeka na kufikia 36.

Mwaka 2010 katiba ya Zanzibar ikatoa mamlaka ya kuanzisha taasisi na sehemu kubwa ''KUJITOA' katika muungano isipokuwa pale tu Zanzibar inaponufaika.

Hili limeleta tatizo na ndipo timu ya Warioba ikasema lazima kuwe na serikali 3 ili ile ya Tanganyika iwe na shughuli zake na iwepo ndogo ya JMT itakayokuwa na mambo 7

Federation ya Warioba haiku copy ile ya US unayoijua au Australia kama una kaufahamu.
Hii imesema mambo 7 tu

Huku ndiko kukariri kwasababu unasoma federal ya US basi unataka ifanye kazi kwa nchi mbili ambazo moja ni ndogo sana. Tazama mbali zaidi ya urefu wa pua.

Kwa hoja yako hapo juu ,hebu fafanua haya

1. Kwanini unadhani lazima tuwe na Tanganyika Police, Zanzibar Police na Tanzania Police
Note kwasasa tuna Tanzania Police, kipi unadhani kinahitaji ili kuwe na police katika nchi mbili

Kwa taarifa pia, Zanzibar wana vikosi maalum nje ya vikosi vya ulinzi na usalama. Hivyo vinagharamiwa na SMZ japo kwa kujiaminisha ingawa indirectly ni gharama za Mtanganyika. Je kwa kuwa na vikosi maalumu kumeathiri vipi uwepo wa JWT na Police?

2. Kwanini unadhani tunahitaji JWTZ Tanganyika, JWTZ Zanzibar na JWT Tanzania?
Kukiwa na JWTZ moja kunaathiri vipi mfumo wa sasa na ule ujao?
Je Marekani kuna majeshi ya States yanayo operate na ku overlap shughuli za jeshi la federal?

3. Kuwa na kamishana wa Uhamiaji Tanganyika na kule Zanzibar halafu kuwa na Kanishana jenerali kunaongeza vipi gharama za uendeshaji?
Kwanini unadhani tunahitaji Uhamiaji Tanganyika, Uhamiaji Zanzibar na Uhamiaji Tanzani?

Kumbuka rasimu ya Warioba imeweka taasisi za washirika kwa kila nchi kitu ambacho mtu anayefikiri sawa sawa hawezi kubisha.

Taasisi zote za JMT zina mbadala Zanzibar kwa mujibu wa katika ya Zanzibar ya 2010.
Hivyo hizi za JMT ni za Tanganyika , ingawa zinakuwa abused na Wazanzibar kwa kuzitumia kwa mafao bila huduma au manufaa yoyote kwa Tanganyika. Yaani ni kama kapu la bibi . Wana abuse sana

Abuse imefikia mahali wanaleta bili za umeme za majumbani mwao zilipwe na walipa kodi wa Tanganyika

Kwa mantiki hiyo structure yetu ya federal ipo tayari inahitaji 'minor tweaking' katika maeneo machache sana

Structure ya Federal inahusu mambo 7 ambayo ni 3 tu yenye gharama kubwa 4 tayari yana wizara sasa hivi.

Kwa masingi huo Bunge la federal lina wajumbe 75 wanaojadili bascially mambo 3 na 4 ya ziada, hatuhitaji wabunge 400 kwasababu tu Tanganyika ni kubwa kama unavyodhani.

Umekaririri tu muundo wa federal lazima uwe abcd you don't try to give your brain a room to breath, to contemplate or digest information. Ndiyo maana huwezi kujibu hoja kwasababu ya acquired myopic

Hebu jibu hoja moja kwa nukta kwanza
Unaposhindwa kujibu hoja unavutika katika ''loose talk '' in lieu of cogent reasoning

Sisi wa std 7 hatuwaelewi, kwanini una ninashauri ninunue combine harvester kama settler wa Marekani wakati nina ekari 75 za shamba? Vipi kama nikitumia plough?
Natamani aliyenzisha computer angefuta button za copy and paste! I wish

[emoji3578]Tutakuwa na 3 constitutions and 3 sets of laws. Unataka hizi zote ziwe enforced na federal police? Kama ndivyo, tunahitaji federation ili iweje? Kwenye federation, mambo hayaendi hivyo. Ndiyo maana hata sasa hivi, pamoja na kwamba structure iliyopo ni ya ajabu ajabu, Zanzibar wana mahakama zao na magereza yao wenyewe, yanayoendeshwa kwa mujibu wa Katiba yao na sheria zao. Tukishakuwa na federation, Tanganyika nayo itatunga Katiba yake na sheria zake na kusimama kivyake. Ikirithi institutions zilizopo, well and good, lakini federal government itabidi iunde institutions zake yenyewe.
[emoji3578]Number of states zilizomo kwenye federation sio determinant ya governing system. Kitu muhimu ni existence of states. Ziwe mbili, tatu or hundreds of them, it doesn’t matter; each of them is independent of the others and of the federal government. Kama number of states ingekuwa kigezo cha degree of independence, basi states za Nigeria zingekuwa less independent than their counterparts in America or other bigger federated nations. That isn’t the case!
[emoji3578]JWTZ, Foreign Affairs, Immigration, BOT na institutions zingine zilizo chini ya JMT hazina complications zozote. Ugumu hapa uko wapi? Hizi zinakuwa governed na federal laws tu. Hakutakuwa na sheria yoyote ya Tanganyika au Zanzibar inayohusu hizi taasisi. Popote utakapoona installation yao, hiyo ni federal government property.
[emoji3578]Structure ya utawala wa Tanganyika lazima itabadilika. Hatuwezi kuendelea kutawaliwa na utitiri wa presidential appointees. Vinginevyo, federation itakuwa haina maana yoyote.
[emoji3578]Tukiwaondoa unelected officials na kuchaguwa viongozi huko mikoani na wilayani, hao elected officials itabidi wawe wanawajibika kwa vyombo vya uwakilishi wa wananchi kwenye maeneo yao. Hatua hii ndiyo itakayosababisha representation yetu kubadilika. Sasa hivi, RCs na DCs, kwa mfano, wanawajibika kwa Rais badala ya kuwajibika kwa wananchi wanaowaongoza. Kwenye federation, utamaduni wa kumfanya Rais kuwa ndiyo everything haupo!
[emoji3578]Si la saba wote wana uelewa mdogo. Wale waliokuwa wakisikiliza walimu wao kwa makini, hawawezi kushindwa kufuatilia hoja ambazo ni basic kama hizi.
 
Nje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!
Kwani kabla ya muungano, kuna historia iliyowahi kutokea huko nyuma kama unavyodhania kuja kutokea baada ya muungano kuvunjika mkuu?
 
Narudia tena hakuna mtanzania mpumbavu wa kupigia kura mwanamke tena asiye na akili timamu ,kuwa rais 2025 ...shika sana haya maneno yangu
Ataoitakwa kishindo
 
Kwani kabla ya muungano, kuna historia iliyowahi kutokea huko nyuma kama unavyodhania kuja kutokea baada ya muungano kuvunjika mkuu?

Zanzibar ya Sultan na Zanzibar ya baada ya Sultan huwezi kuzilinganisha. Ndiyo maana Karume alikimbilia muungano haraka sana!
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Bora iwe nchi huru kuliko kuendelea kufyonza raslimali zetu kwa kisingizio cha muungano kama ilivyo kwa sasa! Zanzibar ikiwa nchi huru wakatishia usalama wetu tuna haki na uwezo wa kukateka kakisiwa kote na kuwafanya mkoa wa 27 bila wasiwasi! Wajaribu waone.[emoji91][emoji91]
 
Bora iwe nchi huru kuliko kuendelea kufyonza raslimali zetu kwa kisingizio cha muungano kama ilivyo kwa sasa! Zanzibar ikiwa nchi huru wakatishia usalama wetu tuna haki na uwezo wa kukateka kakisiwa kote na kuwafanya mkoa wa 27 bila wasiwasi! Wajaribu waone.[emoji91][emoji91]

Kwani kabla ya huo muungano, Zanzibar ilitishia usalama wenu? Anayetishia usalama wenu Kagame na mwingine Kenyatta lakini wote mnawaogopa.
 
[emoji3578]Tutakuwa na 3 constitutions na 3 sets of laws. Unataka hizi zote ziwe enforced na federal police? Kama ndivyo, tunahitaji federation ili iweje? Kwenye federation, mambo hayaendi hivyo. Ndiyo maana hata sasa hivi, pamoja na kwamba structure iliyopo ni ya ajabu ajabu, Zanzibar wana mahakama zao na magereza yao wenyewe, yanayoendeshwa kwa mujibu wa Katiba yao na sheria zao. Tukishakuwa na federation, Tanganyika nayo itatunga Katiba yake na sheria zake na kusimama kivyake. Ikirithi institutions zilizopo, well and good, lakini federal government itabidi iunde institutions zake yenyewe.
Well said, na Zanzibar inatumia Tanzania Police ku enforce law and order kupitia kamishna wa Wazanzibar
Hakuna jeshi la Polisi la Zanzibar. Tanganyika nayo itakuwa na sheria zake za kuwa enforced, itakuwa na kamishna wake kama wa Zanzibar. Makamishna wa pande mbili watawajibika kwa Federal IGP

Kwanini unadhani kunatakiwa kuundwa Federal institution kama Police Tanzania na si utaratibu huo?
Zanzibar kuna Zanzibar Bureau of Standard(ZBS). Tanganyika ipo Tanganyika bureau of Standard kwa jina la TBS
Kwanini unadhani ni lazima kuunda Federal bureau of standard nyingine?

Kama ni standard, ZBS na TBS wanaweza kufanya harmonization ya standard na Operation
Hata huko kwenye federal gov bado kuna law za state moja hazifanyi kazi kwingine ila kwa harmonization

Sioni kwanini ukiacha mambo 7 ya Warioba federal gov iunde taasisi nyingine
[emoji3578]Number of states zilizomo kwenye federation sio determinant ya governing system. Kitu muhimu ni existence of states. Ziwe mbili, tatu or hundreds of them, it doesn’t matter; each of them is independent of the others and of the federal government. Kama number of states ingekuwa kigezo cha degree of independence, basi states za Nigeria zingekuwa less independent than their counterparts in America or other bigger federated nations. That isn’t the case!
Number of states ni determinant ya governing system;
1. Kuna suala la minority and majority linaloitesa sana Nigeria
2. Kuna boundaries za states tatizo kubwa
3.Kuna matumizi ya rasilimali, rejea kesi ya Ken Sorowiwa
4. secession ni jambo linaloweza kutokea, rejea Biafra
5. Allocation of resources ambalo ni tatizo Nigeria na US lipo ingawa halisemwi wazi, rejea Kentucky Vs New York
6. Kuna suala la Power ambalo linazigawa nchi kama Nigeria. Kwa upande wa US kuna mjadala kwanini Rais achaguliwe kwa electoral college votes zinazoweza kupatikana kwa states chache tu?
Kwanini Iowa in electoral vote 9 ikilinganishwa na maeneo mengine makubwa.

Matatizo hayo yanahitaji nguvu kuyatafutia ufumbuzi, kwa Tanzania na Zanzibar mengi hayapo
Hiyo ndiyo tofauti ya nchiyenye states 26 au 50 ukilinganisha na nchi mbili Tanganyika na Zanzibar
[emoji3578]JWTZ, Foreign Affairs, Immigration, BOT na institutions zingine zilizo chini ya JMT hazina complications zozote. Ugumu hapa uko wapi? Hizi zinakuwa governed na federal laws tu. Hakutakuwa na sheria yoyote ya Tanganyika au Zanzibar inayohusu hizi taasisi. Popote utakapoona installation yao, hiyo ni federal government property.
Ahsante sana! ndiyo hoja yangu na hapa nakukumbusha tu hakutakuwa na ongezeko hata senti tano ukilinganisha na muundo wa sasa. Ahsante, hapa tumeelewana
[emoji3578]Structure ya utawala wa Tanganyika lazima itabadilika. Hatuwezi kuendelea kutawaliwa na utitiri wa presidential appointees. Vinginevyo, federation itakuwa haina maana yoyote.
Hili litakuwa suala la Tanganyika kuamua. Ikiwa kutakuwa na Rais wa Tanganyika au Waziri mkuu yeye na Bunge lake wataamua stucture itakayo fit bajeti yao na system ya uongozi. Hivyo si suala la Federal tena ni state
Mfano mzuri wa hili ni Zanzibar ambayo imeamua kulipa masheha mishahara, imeunda vikosi maalumu nje ya polisi kwa kazi maalumu, ina namna tofauti ya usimamizi wa magereza yao, sasa hivi wanatoa boti bure kwa wavuvi, Wanauza visiwa vyao kwa wawekezaji, hawataki Mtanganyika amiliki ardhi.

Tanganyika itakuwa na choice kwasababu usimamizi wa Taasisi hautamhusu Rais wa JMT na sijui kwanini unaamini Rais wa Federation atakuwa na influence kwa Tanganyika na si Zanzibar.
Rais wa JMT atakuwa na mambo 7 tu. ambayo yatampa nguvu ya kusimamia Fedearation
1. Ulinzi wa nchi na mipaka na vyombo vya Usalama (Majeshi)
2. Wizaya ya mambo ya ndani (Police)
3. Wiazara ya mambo ya nje kwa ujumla wa Tanzania
4. Bank kuu ya Tanzania
5. Katiba ya shirikisho la Tanzania
6. Vyama vya Siasa
7. Uhamiaji

Structure ya mambo hayo ipo intact tayari. Taasisi nyingine zote zina mbadala Zanzibar, ni kubadili jina tu
Zanzibar haitakuwa na dai lolote la Taasisi za JMT za leo kwasababu haijawahi kuzihudumia ila imehudumiwa

Kama ipo institution yoyote ile (moja tu) unayodhani inapaswa kuundwa katika federal na states level nitajie

Kwa mwendo huo hapo juu, gharama zinazosemwa zitaongezeka ni zipi?
[emoji3578]Tukiwaondoa unelected officials na kuchaguwa viongozi huko mikoani na wilayani, hao elected officials itabidi wawe wanawajibika kwa vyombo vya uwakilishi wa wananchi kwenye maeneo yao. Hatua hii ndiyo itakayosababisha representation yetu kubadilika. Sasa hivi, RCs na DCs, kwa mfano, wanawajibika kwa Rais badala ya kuwajibika kwa wananchi wanaowaongoza. Kwenye federation, utamaduni wa kumfanya Rais kuwa ndiyo everything haupo!
Tunarudi pale pale na tena unaleta hoja nzuri sana.
Kwamba how he states govern themselves siyo hoja ya Federal na wala haitahusu gharama za kuendesha federal

Mfano, Zanzibar wana Baraza la Wawakilishi lenye Wajumbe 50. Namba hiyo imepatikana kwa kutumia vigezo vya ZEC. Zanzibar hiyo hiyo ina Wabunge zaidi ya 80 katika Bunge la JMT kwa kutumia NEC.

Sababu ya tofauti ni moja, BLW linagharamiwa na SMZ inayoona ni gharama kuwa na wajumbe wengi.
Wabunge ni gharama za Tanganyika kwa Zanzibar ni ajira wanaweza kuleta hata 200 , hawalipi gharama

Serikali ya Tanganyika itaamua kama itaendelea na mfumo wa utawala wa uteuzi au itaondoa RCs na DCs ikibidi
Hilo haliwezi kugusa federal government kama ambavyo SMZ inafanya sasa hivi.

Rais wa Federal hawezi kuteua DC wa Tanganyika! hilo litakuwa jukumu la serikali ya Tanganyika.
Hata sasa Rais wa Zanzibar ndiye anateua RC na DC ingawa kuna ukiukwaji wa katiba ya JMT kutokana na mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya 2010. Hivyo Tanganyika ikiamua kuwa na majimbo badala ya mikoa ruksa

Mbona Zanzibar wanalipa miashahara masheha lakini Tangnayika madiwani hawalipwi?
Jibu ni rahisi, wale wanatumikia SMZ, na itakuwepo Tanganyika government (soon it will be) itaamua structure yake independently and uninterrupted na Serikali ya shirikisho.


JokaKuu Pascal Mayalla
 
Pulchra Animo
Kuna mjadala unaendelea kwamba wapi tuanze na katiba mpya
kuna sehemu mbili muhimu za kuanzia

1. Rasimu ya Warioba kwasababu imebeba maoni ya Wananchi bila kuchakachuliwa na Bunge la katiba la CCM

2. Turejee mambo yaliyoelezwa na tume ya Jaji Nyalali, Kisanga na Samatta

Hapo ndipo pa kuanzia
 
Acha unoko
Ila usalama upi?! Maslahi gani?! Mapato gani?!
Wache wawe kivyao. Bara ardhi kubwa mpaka tunashindwa kuihudumia! Kuna gesi, madini ya kila aina, mbuga, maziwa, mito, milima, wanyama na kila aina ya maliasili na rasilimali!
Yeye mama Samia aongeze nguvu raia bara tupate maji, huduma za afya, miundo mbinu hasa vijijini, huduma za ustawi wa jamii na elimu. Unguja na Pemba ni mchanga tu bara.
Kwanza tutashukuru wasidoee hela zetu na umeme wasiolipa.
Wanaofaidi ni wao siyo sisi. Hata mwarabu akirudi poa tu. Wakiwa watumwa tena poa tu.
Tujali ya bara na tuachane na visiwa ambavyo miaka 50+ vyaweza mezwa na bahari!
 
Well said, na Zanzibar inatumia Tanzania Police ku enforce law and order kupitia kamishna wa Wazanzibar
Hakuna jeshi la Polisi la Zanzibar. Tanganyika nayo itakuwa na sheria zake za kuwa enforced, itakuwa na kamishna wake kama wa Zanzibar. Makamishna wa pande mbili watawajibika kwa Federal IGP

Kwanini unadhani kunatakiwa kuundwa Federal institution kama Police Tanzania na si utaratibu huo?
Zanzibar kuna Zanzibar Bureau of Standard(ZBS). Tanganyika ipo Tanganyika bureau of Standard kwa jina la TBS
Kwanini unadhani ni lazima kuunda Federal bureau of standard nyingine?

Kama ni standard, ZBS na TBS wanaweza kufanya harmonization ya standard na Operation
Hata huko kwenye federal gov bado kuna law za state moja hazifanyi kazi kwingine ila kwa harmonization

Sioni kwanini ukiacha mambo 7 ya Warioba federal gov iunde taasisi nyingine

Number of states ni determinant ya governing system;
1. Kuna suala la minority and majority linaloitesa sana Nigeria
2. Kuna boundaries za states tatizo kubwa
3.Kuna matumizi ya rasilimali, rejea kesi ya Ken Sorowiwa
4. secession ni jambo linaloweza kutokea, rejea Biafra
5. Allocation of resources ambalo ni tatizo Nigeria na US lipo ingawa halisemwi wazi, rejea Kentucky Vs New York
6. Kuna suala la Power ambalo linazigawa nchi kama Nigeria. Kwa upande wa US kuna mjadala kwanini Rais achaguliwe kwa electoral college votes zinazoweza kupatikana kwa states chache tu?
Kwanini Iowa in electoral vote 9 ikilinganishwa na maeneo mengine makubwa.

Matatizo hayo yanahitaji nguvu kuyatafutia ufumbuzi, kwa Tanzania na Zanzibar mengi hayapo
Hiyo ndiyo tofauti ya nchiyenye states 26 au 50 ukilinganisha na nchi mbili Tanganyika na Zanzibar

Ahsante sana! ndiyo hoja yangu na hapa nakukumbusha tu hakutakuwa na ongezeko hata senti tano ukilinganisha na muundo wa sasa. Ahsante, hapa tumeelewana

Hili litakuwa suala la Tanganyika kuamua. Ikiwa kutakuwa na Rais wa Tanganyika au Waziri mkuu yeye na Bunge lake wataamua stucture itakayo fit bajeti yao na system ya uongozi. Hivyo si suala la Federal tena ni state
Mfano mzuri wa hili ni Zanzibar ambayo imeamua kulipa masheha mishahara, imeunda vikosi maalumu nje ya polisi kwa kazi maalumu, ina namna tofauti ya usimamizi wa magereza yao, sasa hivi wanatoa boti bure kwa wavuvi, Wanauza visiwa vyao kwa wawekezaji, hawataki Mtanganyika amiliki ardhi.

Tanganyika itakuwa na choice kwasababu usimamizi wa Taasisi hautamhusu Rais wa JMT na sijui kwanini unaamini Rais wa Federation atakuwa na influence kwa Tanganyika na si Zanzibar.
Rais wa JMT atakuwa na mambo 7 tu. ambayo yatampa nguvu ya kusimamia Fedearation
1. Ulinzi wa nchi na mipaka na vyombo vya Usalama (Majeshi)
2. Wizaya ya mambo ya ndani (Police)
3. Wiazara ya mambo ya nje kwa ujumla wa Tanzania
4. Bank kuu ya Tanzania
5. Katiba ya shirikisho la Tanzania
6. Vyama vya Siasa
7. Uhamiaji

Structure ya mambo hayo ipo intact tayari. Taasisi nyingine zote zina mbadala Zanzibar, ni kubadili jina tu
Zanzibar haitakuwa na dai lolote la Taasisi za JMT za leo kwasababu haijawahi kuzihudumia ila imehudumiwa

Kama ipo institution yoyote ile (moja tu) unayodhani inapaswa kuundwa katika federal na states level nitajie

Kwa mwendo huo hapo juu, gharama zinazosemwa zitaongezeka ni zipi?

Tunarudi pale pale na tena unaleta hoja nzuri sana.
Kwamba how he states govern themselves siyo hoja ya Federal na wala haitahusu gharama za kuendesha federal

Mfano, Zanzibar wana Baraza la Wawakilishi lenye Wajumbe 50. Namba hiyo imepatikana kwa kutumia vigezo vya ZEC. Zanzibar hiyo hiyo ina Wabunge zaidi ya 80 katika Bunge la JMT kwa kutumia NEC.

Sababu ya tofauti ni moja, BLW linagharamiwa na SMZ inayoona ni gharama kuwa na wajumbe wengi.
Wabunge ni gharama za Tanganyika kwa Zanzibar ni ajira wanaweza kuleta hata 200 , hawalipi gharama

Serikali ya Tanganyika itaamua kama itaendelea na mfumo wa utawala wa uteuzi au itaondoa RCs na DCs ikibidi
Hilo haliwezi kugusa federal government kama ambavyo SMZ inafanya sasa hivi.

Rais wa Federal hawezi kuteua DC wa Tanganyika! hilo litakuwa jukumu la serikali ya Tanganyika.
Hata sasa Rais wa Zanzibar ndiye anateua RC na DC ingawa kuna ukiukwaji wa katiba ya JMT kutokana na mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya 2010. Hivyo Tanganyika ikiamua kuwa na majimbo badala ya mikoa ruksa

Mbona Zanzibar wanalipa miashahara masheha lakini Tangnayika madiwani hawalipwi?
Jibu ni rahisi, wale wanatumikia SMZ, na itakuwepo Tanganyika government (soon it will be) itaamua structure yake independently and uninterrupted na Serikali ya shirikisho.


JokaKuu Pascal Mayalla

[emoji3578]It’s wrong kuangalia gharama za federation kwa kujikita narrowly kwenye gharama fulani za federal government bila kujali state-level changes zitakazotokea (hususani baada ya Serikali ya Tanganyika kusimama kivyake). That’s myopic analysis.
[emoji3578]Tuishie hapa; I don’t think you can understand this thing before the fact. Utajua mbele ya safari, if and when this happens!
 
Ni hatari sana kwa usalama wa nchi na afrika mashariki kwa zenji kuwa na mamlaka kamili.

Bora tuendelee kubeba mzigo wa kikodi kuilisha zenji kuliko kuipa mamlaka kamili.

Muungano udumu maisha na natakaye taka kuuvunja avunjwe kabla hajajaribu kutuvunjia muungano wetu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Pulchra Animo
Kuna mjadala unaendelea kwamba wapi tuanze na katiba mpya
kuna sehemu mbili muhimu za kuanzia

1. Rasimu ya Warioba kwasababu imebeba maoni ya Wananchi bila kuchakachuliwa na Bunge la katiba la CCM

2. Turejee mambo yaliyoelezwa na tume ya Jaji Nyalali, Kisanga na Samatta

Hapo ndipo pa kuanzia

[emoji3578]It’s wrong kuamini kwamba Draft ya Katiba ya Tume ya Warioba imebeba maoni ya wananchi with absolute faithfulness. Hiyo draft ni translation (ya maoni ya wananchi) iliyofanywa na Tume ya Warioba. Sote tunajua mapungufu ya kazi ya wakalimani. Ndiyo maana hiyo draft ina serious flaws ndani yake. Kwa mfano, hiyo draft haijaipa federal government uwezo wa kutoza na kukusanya kodi (taxation powers). Imetengeneza federal government inayotegemea michango ya constituent states. Hatuwezi kuwa na federal government isiyokuwa na taxation powers. Technically, huko ni kutengeneza taifa ambalo kimataifa halikopesheki, na pia ni potentially catastrophic kwa usalama wa taifa!
[emoji3578]Tuanzie wapi? Draft ya Katiba ya Tume ya Warioba, mapendekezo ya tume zingine mbalimbali na Katiba Pendekezwa Toleo la 2015 zote ni inputs muhimu katika mchakato wa kupata Katiba mpya! Kipande chochote chaweza kuchukuliwa au kuachwa, kwa kuzingatia maslahi mapana ya taifa.
 
Ni hatari sana kwa usalama wa nchi na afrika mashariki kwa zenji kuwa na mamlaka kamili.

Bora tuendelee kubeba mzigo wa kikodi kuilisha zenji kuliko kuipa mamlaka kamili.

Muungano udumu maisha na natakaye taka kuuvunja avunjwe kabla hajajaribu kutuvunjia muungano wetu.

#MaendeleoHayanaChama

Mtaondoka Zanzibar na chupi mkononi kama Wamarekani walivyoondoka Afghanistan.
 
Huu muungano wetu ni zao la uoga wa KarumeKenge mkubwa kuogopa kupinduliwa na vijana wa Abrahaman Babu vijana wa Umma Party. Maana ukiangalia kwa umakini, KarumeKenge aliitawala Zanzibar kwa miezi 3 tu kabla ya mwalimu kumwingiza cha kike. Mapinduzi 12 january, 26 april Muungano. Kumbuka wakati huo Mwalimu alikuwa kapeleka jeshi kulinda amani baada ya yale mapinduzi. Na hii ndio ilokuwa turufu kubwa ya Mwalimu kwa KarumeKenge. Wakihitilafiana kidogo tu, karumekenge anatishia kuvunja muungano na Mwalimu anatishia kutoa jeshi..... mchezo ulikuwa hivyo. Ila muungano huu sio wa hiyari ni wakulazimishana. Na hii tabia ya kusema eti ni kwa usalama wetu mnaipata wapi? Mbona kenya na zanzibar ni majirani lakini hakuna hatari yoyote ya kiusalama kwa wakenya?
Hahahaha hakuna cha hatari ni kutushana tuu ni kama ukisikia wanywa pombe wa usalama wa taifa wanavyosifiwa unaweza dhani KGB na CIA ni cha mtoto
 
Bila kupepesa macho ningekuwa nyerere ningeivamia zenji Sasa hv haya yasingekuwepo tunavyoongea sasahv kungekuwa na mkuu wa mkoa tuu
 
Back
Top Bottom