Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

hofu ya kutengenezwa tu hii.. na kinacholeta uhasama ni CCm KUKATAA KATAKATA kushindwa uchaguzi,

Wewe unadhani CCM ni magari ya Dar es Salaam? Ni politicians. Hata Zanzibar leo ikijitenga, bado watakuwepo politicians watakaokataa katakata kushindwa uchaguzi. Na kwa hali ilivyo sasa, Pemba watakuwa na preferred political party yao na Unguja nao watakuwa na preferred political party yao. Kitakachofuata ni kugawana mbao asubuhi na mapema!
 
Mkuu INTROVETED, pole sana, umepitwa na wakati. Ni kweli ule Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884 ilimpa Sultan of Zanzibar a 10 miles of coastal strip lakini kupitia mkataba wa Heligoland–Zanzibar Treaty au Anglo-German Agreement of 1890) wa tarehe 1 July 1890 kati Ujerumani na Uingereza ambapo Waingereza waliokuwa wanamlinda Sultan wa Zanzibar, walikabidhi eneo la 10 miles costal stripe na Ujerumani wakawapa Waingereza mji wa Helingoland na Kisiwa cha Witu.

Ni mkataba huu ndio ulihamisha mipaka ya ule mkutano wa Berlin kwa ziwa Nyasa kuhesabika ni ziwa la Malawi na Ziwa Tanganyika kuwa la Tanganyika na ndipo Ujerumani wakaileta meli ya MV Liemba.

Baada ya Ujerumani kushindwa vita Kuu ya Kwanza, ikanyang'anywa makoloni yake yote.
p
Ahsante mkuu. Nimekuelewa
 
Usidhani mimi ninapinga Serikali tatu. No, sipingi. Ninachopinga ni argument yako kwamba hakuna gharama itakayoongezeka. That isn’t true. Sijui kwanini umekazana kutaka nikuoneshe ongezeko in numbers. Numbers za kufikirika?
Yes namba za kufikirika ili kujenga hoja.
Nimekuambia hypothetical setup iliyomo kwenye Draft ya Katiba ya Tume ya Warioba haikupi more realistic picture ya financial burden ya uendeshaji wa Muungano wa Serikali tatu.
Hapa pia kuna misconceptions kubwa. Draft ya Warioba ilikuwa ni road map ya structure nzima ya serikali 3
Kazi za Bunge la Katiba ilikuwa kuweka structure katika hali itakayoruhusu kutungwa sheria
Bunge lilipaswa ku test ile basic structure ya Warioba katika uhalisia wa mambo mengi

Hakuna aliyesema structure ya rasimu ilikuwa perfect lakini ilikuwa perfect kama model
Ni mzaha mkubwa kusema Tanganyika itakuwa na wabunge 45 kwenye Bunge la federal.
Usiangalie Tanzania kwa jicho la US. House of rep ina reps 420 kule US kwa nchi yenye watu milioni 300

Jimbo la California lina watu takribani milioni 40 na uchumi mkubwa Duniani kuliko nchi nyingi Tz ikiwemo
Reps kutoka California ni 55 na senator 2. Kipi cha ajabu kwa Tz kuwa na Wabunge 45?

Tanzania ina watu milioni takribani 50 karibia sawa na California, ina Bunge lenye watu 393, ambao ni 27 pungufu ya US. Tanzania ina Wabunge wengi sana ukilinganisha na US.

Kwa kutazama structure ya US ni rahisi sana kudhani Tanzania ina uhitaji sawa na US !

Tanzania haipaswi kuwa na Wabunge 393 ni wengi sana.
Lakini pia fikiria senate ina 99 senators kipi cha ajabu kwa federal gov ya Tz kuwa na Wabunge 45 ?


Hayo yote yamesababishwa na envisaged federal government isiyokuwa na taxing authority. Niambie, ni federal government ya nchi gani inayoendeshwa kwa michango? Federal government inasimamia ulinzi na usalama wa nchi halafu itegemee michango ya states kweli? Hiyo ni Serikali au NGO? That’s a foolish man’s wisdom! The country can’t safeguard its sovereignty in that
Yes Bajeti ya Ulinzi na usalama, Mambo ya ndani na nje, Katiba, fedha na vyama vya siasa (7) itabaki kama ilivyo kwa maana kwamba nchi Washirika watachangia. Kuchangia haina maana ya 'raise fund' ina maana ya contribute kupitia tax

Nimekueleza kuwa kwa vyovyote vile bajeti ya Tanganyika itafidia ile ya JMT kwa ukubwa wake.
Mfano leo ni 41T na Zanzibar ni 2.5. Vyanzo vya pesa za federal ni tax kama zile zinazotumiwa kukusanya pesa za SMZ na JMT leo hii. Tofauti ipo wapi hapo?
manner.

Tukiamua kuwa na federal governing system, government institutions zilizopo haziwezi kuwa shared any more. That said,
Yes na hilo ni jambo jema kwasababu kila upande utakuwa na mzigo wake
[emoji3578]Mahakama za federal ziko wapi? Haiwezekani mtu wa Kagera akivunja federal law aje kujibu mashitaka Dar es Salaam.
Hadi sasa si Zanzibar wana mahakama zao, hizi za JMT zisizo na kazi Zanzibar zinapunguzaje gharama?
[emoji3578]Federal law enforcement agencies ziko wapi? Haiwezekani federal law enforcement responsibilities zibebwe na state law enforcement agencies.
Well, Zanzibar wana vikosi maalum pesa wanapata wapi na kwanini hizi za JMT zisiwe za Tanganyika?
[emoji3578]Federal bureau of prisons iko wapi? Haiwezekani federal prisoners wawe jukumu la state bureaus of prisons.
Prison kila eneo ina zake, Zanzibar wanaita mafunzo Bara wanaita magereza. Kipi kitakuwa kitu kigeni hapo?
Sisi hatutakuwa watu wa kwanza kuwa na federation. Time-tested federations zipo za kumwaga duniani.
Yes ni kweli na sisi pia tuna muungano wa ajabu unaoitwa 'pekee' duniani. Wapi serikali 2 zinaungana na kutengeneza serikali 2 moja ikiwa na Federal ndani yake? Nionyeshe nchi moja tu yenye kituko tulicho nacho

Nipe mfano wa federation yoyote inayoendeshwa kwa style ambayo Draft ya Katiba ya Warioba inapendekeza. Hakuna sababu ya kuamini kwamba sisi ni smarter kuliko nchi ambazo zimekuwa na federation for decades, if not centuries.
Hapo juu nimekueleza muungano wetu ni wa 'pekee' . Nionyeshe wapi duniani kuna muungano kama wetu?
Kuhusu federal yoyote inayoendeshwa kwa style ya Warioba, hapa unaangalia mambo kwa 'copy and paste '

Federal ya Nigeria ina states 36. India ina 28 states, US 5O states 26 states kwa uchache tu
Tanzania tuna nchi 2 tu , ni upungufu wa kuona unapojaribu kulinganisha Rasimu ya Warioba na nch nyingine

Kama muungano wetu wa serikali 2 ulivyo wa kipekee, hata wa federal hauwezi kuwa sawa na nchi nyingine

Una hoja nzuri sana kwamba unaangalia federal nyingine duniani, tatizo ni pale unaposhika button ya copy halafu uka paste iwe ni hoja au swali bila kuangalia subject inahusu nini? na hapa ni Tanzania na it's peculiarity
Federal government ndiyo baba na mama lao. Hata states zikiteteleka zinakuwa bailed out na federal government. With the proposed federal government setup, states zikiwa insolvent, federal government nayo haitasalimika. Again, that setup is a foolish man’s wisdom!
Tunarudi pale pale kwamba una copy & paste. Huwezi kulinganisha federal nyingine zenye state 26,28,36 au 50 na Tanzania yenye '' state 2''. Hizo nchi nyingine states zina mchango mkubwa kwa Federal bila kuathiri uwezo wao

Tanzania ni Tanganyika peke yake yenye uwezo, kutetereka ni kupi kwa Federal? Kwa maana kwamba Tanganyika ndiyo inabeba mzigo, mshirika wake Zanzibar yupo katika mbeleko tu anachangia ZERO anachukua zaidi

Nadhani Rasimu ya Warioba iliangalia mambo mengi sana zikiwemo Federal zingine dunia na kugundua kwamba copy and paste haiwezekani. Sisi tuna state mbili kama utaita hivyo, moja ndiyo inakusanya kodi na rasilimali , nyingine inalalamika tu kugawana!

JokaKuu
 
Uzi wa uchonganishi tu, hata kuleta hoja hujui. Dalili zipi, hatari gani? Mbona Comoro haituvamii. Watu wengine wakiamka tu wataka waonekane mitandaoni!
 
Yes namba za kufikirika ili kujenga hoja.

Hapa pia kuna misconceptions kubwa. Draft ya Warioba ilikuwa ni road map ya structure nzima ya serikali 3
Kazi za Bunge la Katiba ilikuwa kuweka structure katika hali itakayoruhusu kutungwa sheria
Bunge lilipaswa ku test ile basic structure ya Warioba katika uhalisia wa mambo mengi

Hakuna aliyesema structure ya rasimu ilikuwa perfect lakini ilikuwa perfect kama model

Usiangalie Tanzania kwa jicho la US. House of rep ina reps 420 kule US kwa nchi yenye watu milioni 300

Jimbo la California lina watu takribani milioni 40 na uchumi mkubwa Duniani kuliko nchi nyingi Tz ikiwemo
Reps kutoka California ni 55 na senator 2. Kipi cha ajabu kwa Tz kuwa na Wabunge 45?

Tanzania ina watu milioni takribani 50 karibia sawa na California, ina Bunge lenye watu 393, ambao ni 27 pungufu ya US. Tanzania ina Wabunge wengi sana ukilinganisha na US.

Kwa kutazama structure ya US ni rahisi sana kudhani Tanzania ina uhitaji sawa na US !

Tanzania haipaswi kuwa na Wabunge 393 ni wengi sana.
Lakini pia fikiria senate ina 99 senators kipi cha ajabu kwa federal gov ya Tz kuwa na Wabunge 45 ?



Yes Bajeti ya Ulinzi na usalama, Mambo ya ndani na nje, Katiba, fedha na vyama vya siasa (7) itabaki kama ilivyo kwa maana kwamba nchi Washirika watachangia. Kuchangia haina maana ya 'raise fund' ina maana ya contribute kupitia tax

Nimekueleza kuwa kwa vyovyote vile bajeti ya Tanganyika itafidia ile ya JMT kwa ukubwa wake.
Mfano leo ni 41T na Zanzibar ni 2.5. Vyanzo vya pesa za federal ni tax kama zile zinazotumiwa kukusanya pesa za SMZ na JMT leo hii. Tofauti ipo wapi hapo?

Yes na hilo ni jambo jema kwasababu kila upande utakuwa na mzigo wake

Hadi sasa si Zanzibar wana mahakama zao, hizi za JMT zisizo na kazi Zanzibar zinapunguzaje gharama?

Well, Zanzibar wana vikosi maalum pesa wanapata wapi na kwanini hizi za JMT zisiwe za Tanganyika?

Prison kila eneo ina zake, Zanzibar wanaita mafunzo Bara wanaita magereza. Kipi kitakuwa kitu kigeni hapo?

Yes ni kweli na sisi pia tuna muungano wa ajabu unaoitwa 'pekee' duniani. Wapi serikali 2 zinaungana na kutengeneza serikali 2 moja ikiwa na Federal ndani yake? Nionyeshe nchi moja tu yenye kituko tulicho nacho


Hapo juu nimekueleza muungano wetu ni wa 'pekee' . Nionyeshe wapi duniani kuna muungano kama wetu?
Kuhusu federal yoyote inayoendeshwa kwa style ya Warioba, hapa unaangalia mambo kwa 'copy and paste '

Federal ya Nigeria ina states 36. India ina 28 states, US 5O states 26 states kwa uchache tu
Tanzania tuna nchi 2 tu , ni upungufu wa kuona unapojaribu kulinganisha Rasimu ya Warioba na nch nyingine

Kama muungano wetu wa serikali 2 ulivyo wa kipekee, hata wa federal hauwezi kuwa sawa na nchi nyingine

Una hoja nzuri sana kwamba unaangalia federal nyingine duniani, tatizo ni pale unaposhika button ya copy halafu uka paste iwe ni hoja au swali bila kuangalia subject inahusu nini? na hapa ni Tanzania na it's peculiarity

Tunarudi pale pale kwamba una copy & paste. Huwezi kulinganisha federal nyingine zenye state 26,28,36 au 50 na Tanzania yenye '' state 2''. Hizo nchi nyingine states zina mchango mkubwa kwa Federal bila kuathiri uwezo wao

Tanzania ni Tanganyika peke yake yenye uwezo, kutetereka ni kupi kwa Federal? Kwa maana kwamba Tanganyika ndiyo inabeba mzigo, mshirika wake Zanzibar yupo katika mbeleko tu anachangia ZERO anachukua zaidi

Nadhani Rasimu ya Warioba iliangalia mambo mengi sana zikiwemo Federal zingine dunia na kugundua kwamba copy and paste haiwezekani. Sisi tuna state mbili kama utaita hivyo, moja ndiyo inakusanya kodi na rasilimali , nyingine inalalamika tu kugawana!

JokaKuu

[emoji3578]Mimi nadhani hatuwezi kuwa na progress yoyote hapa; we’re just going in circles. Labda tuishie hapa tu!
[emoji3578]Responses zako nyingi hazina uhusiano na ninachokisema mimi. Kwa mfano, nakuambia federal courts hatuna, wewe unazungumzia courts za Tanganyika; nakuambia federal bureau of prisons hatuna, wewe unazungumzia bureaus of prisons za Tanganyika na Zanzibar. Huko ni kutwanga maji kwenye kinu!
[emoji3578]Statistics unazoweka sio accurate; sijui sources zako ni wapi. Kwa mfano, statistics za 420 members of US House of Representatives, 99 US Senators, Watanzania takribani 50 million umezipata wapi?
[emoji3578]Hakuna mahali popote nimekuambia structure ya sasa ya Muungano ndiyo inafaa zaidi. Nimeshakuambia mimi sipingi federation. Ninachopinga ni hoja yako kwamba federation haiwezi kuongeza gharama. That can’t be true!
[emoji3578]Unalinganisha Bunge la JMT na Bunge la Marekani very superficially. Kumbuka, Marekani ina multiple tiers of government, including federal and state. Kila state ina House of Representatives na Senate yake. Vilevile, kila state ina multiple counties na kila county ina multiple cities na towns. Kila county, city or town ina legislative body yake. Kwa hiyo, Marekani ina 535 federal legislators na 7,410 state legislators. Legislators wa county, city na towns nawaacha makusudi partly kwasababu, kwa kisasi fulani, ni equivalent ya madiwani ambao hata sisi tunao. Sasa unaona comparison unayofanya ilivyo meaningless? Hata comparison yako ya California na Tanzania nayo ni superficial and meaningless!
[emoji3578]Kwa case yetu, idadi ya states sio issue. Issue ni proposed federal government kutokuwa na taxing authority. Hakuna taifa duniani (federated or otherwise) lisilokuwa na direct taxing authority. That’s a fact! Huwezi kuwa na federal government inayoendeshwa kwa michango ya constituent states. It’s potentially catastrophic!
 
Kwa kauli yako ya mwisho..unaonesha jinsi gani chuki imakujaa moyoni na wewe utakua ni mwarabu koko hizbu...kwa taarifa yako tu hilo halitowezekana maisha.

#MaendeleoHayanaChama
Wacha tuone.,
 
Ujinga ni mzigo, Tanzania bara imepakana na nchi ngapi lakini hazijawahi kuwa tishio kiusalama? Kwanini kupakana na Zanzibar iwe tatizo kiusalama?! Kwamba Zanzibar ikija kuwa nchi kamili Tanganyika itakuja kuwa week kijeshi?
Ujinga ni mzigo !!
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.

Shida ni pale mnapozani kuwa Rais ndio kila kitu .Samia ni tone la maji ya mvua kwenye bahari . KAzi yake kubwa ni kuteua na kutengua na kutuambia nchi inakwenda wapi kwa mujibu wa Taarifa anazopewa.

Hayo Mengine ni wasiwasi wako ndio akili .
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Kwanini nasisi tusidai Tanganyika yetu
 
Hawana akili, watabaki watumwa mpaka lini na waliipigania Tanganyika kwa damu? Jisikieni fakhari kutumia jina la Tanganyika
Siku jina hilo litakapotumika mtajikusanya ocean road na coco beach kwasababu bandarini kutakuwa mbali au hapatposhi.
 
[emoji3578]Statistics unazoweka sio accurate; sijui sources zako ni wapi. Kwa mfano, statistics za 420 members of US House of Representatives, 99 US Senators, Watanzania takribani 50 million umezipata wapi?
Sijui hii hoja itabadili nini katika mhjadala. Ikiwa kuna senator 100 na VP kama tie breaker kinabadili vipi mantiki ya nilichozungumzia? trivial
[emoji3578]Hakuna mahali popote nimekuambia structure ya sasa ya Muungano ndiyo inafaa zaidi. Nimeshakuambia mimi sipingi federation. Ninachopinga ni hoja yako kwamba federation haiwezi kuongeza gharama. That can’t be true!
Kwani muundo wa sasa upoje? Si tuna Zanzibar na Tanzania! hii Tanzania inahudumia nini na inapata wapi kodi
Tofauti itakayokuwepo ni uwajibikaji wa Zanzibar , kwamba, hawatakuwa katika mbeleko na hilo litapunguza mzigo kwa Watanganyika. Otherwise gharama za ''fed' ya sasa anazibeba Mtanganyika! kwanini huoni hili?
[emoji3578]Unalinganisha Bunge la JMT na Bunge la Marekani very superficially. Kumbuka, Marekani ina multiple tiers of government, including federal and state. Kila state ina House of Representatives na Senate yake. Vilevile, kila state ina multiple counties na kila county ina multiple cities na towns. Kila county, city or town ina legislative body yake. Kwa hiyo, Marekani ina 538 federal legislators na 7,410 state legislators. Legislators wa county, city na towns nawaacha makusudi partly kwasababu, kwa kisasi fulani, ni equivalent ya madiwani ambao hata sisi tunao. Sasa unaona comparison unayofanya ilivyo meaningless? Hata comparison yako ya California na Tanzania nayo ni superficial and meaningless!
Tulifanya ulinganifu wa Feds ya Warioba na ya US ambayo wewe unadhani tunaweza kufanya copy and paste
Ndipo nimejaribu kukuonyesha kuwa House of rep ya Fed na ile ya Warioba ni tofauti kutokana na population na usidhani kuwa gharama zitakuwa kubwa kwa jicho la US m India au kwingine
[emoji3578]Kwa case yetu, idadi ya states sio issue. Issue ni federal government kutokuwa na taxing authority. Hakuna taifa duniani (federated or otherwise) lisilokuwa na direct taxing authority. That’s a fact! Huwezi kuwa na federal government inayoendeshwa kwa michango ya constituent states. It’s potentially catastrophic!
Kwani kufanya taxing kwa Feds itaongeza gharama?

Hivi unahabari kwamba US states zinachangia Feds! halafu kuna Fed tax ! unajua hili?
Kwa wingi wa states ukilinganisha na Tanzania unafanya comparison gani ndugu yangu?

FYI leo Rais wa Zanzibar kamteua Jai mkuu wa Zanzibar! Sijui huyu wa Tanzania ana kazi gani
Unaweza kuona kwanini Waioba alishauri mambo 7 tu na 3 ndiyo yenye gharama kubwa
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Ww. Kwan hutaki iwe huru ?
 
Siku jina hilo litakapotumika mtajikusanya ocean road na coco beach kwasababu bandarini kutakuwa mbali au hapatposhi.
Kwanini unaongelea hisia zako kwamba ni za wazanzibari? waache wenyewe usiwasemee
Tanganyika mnajisikia tabu kurudia hilo jina lenu mnahisi mtakuwa wapweke sana lakini ndio hakuna namna, katiba mpya ije tu tuko na mama tunamuamini na Zanzibar inamuuma moyoni mwake.
 
Kwanini unaongelea hisia zako kwamba ni za wazanzibari? waache wenyewe usiwasemee
Tanganyika mnajisikia tabu kurudia hilo jina lenu mnahisi mtakuwa wapweke sana lakini ndio hakuna namna, katiba mpya ije tu tuko na mama tunamuamini na Zanzibar inamuuma moyoni mwake.
Tunataka sana Tanganyika! ikirudi mtaelewa

Wewe ni kijana mdogo sana, zama za Zanzibar kusema tunavunja muungano zimepita miaka mingi
Siku hizi tunasema hata mkitaka kesho ondokeni hatuna cha kupoteza
Wakati ukifika utaelewa
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Afanye haraka iko kwenye rasimu ya warioba
 
Sijui hii hoja itabadili nini katika mhjadala. Ikiwa kuna senator 100 na VP kama tie breaker kinabadili vipi mantiki ya nilichozungumzia? trivial

Kwani muundo wa sasa upoje? Si tuna Zanzibar na Tanzania! hii Tanzania inahudumia nini na inapata wapi kodi
Tofauti itakayokuwepo ni uwajibikaji wa Zanzibar , kwamba, hawatakuwa katika mbeleko na hilo litapunguza mzigo kwa Watanganyika. Otherwise gharama za ''fed' ya sasa anazibeba Mtanganyika! kwanini huoni hili?

Tulifanya ulinganifu wa Feds ya Warioba na ya US ambayo wewe unadhani tunaweza kufanya copy and paste
Ndipo nimejaribu kukuonyesha kuwa House of rep ya Fed na ile ya Warioba ni tofauti kutokana na population na usidhani kuwa gharama zitakuwa kubwa kwa jicho la US m India au kwingine

Kwani kufanya taxing kwa Feds itaongeza gharama?

Hivi unahabari kwamba US states zinachangia Feds! halafu kuna Fed tax ! unajua hili?
Kwa wingi wa states ukilinganisha na Tanzania unafanya comparison gani ndugu yangu?

FYI leo Rais wa Zanzibar kamteua Jai mkuu wa Zanzibar! Sijui huyu wa Tanzania ana kazi gani
Unaweza kuona kwanini Waioba alishauri mambo 7 tu na 3 ndiyo yenye gharama kubwa

[emoji3578]Unapotosha sana. Governing system ya Marekani imegatua madaraka extensively. Unawezaje kulinganisha representation ya watu 330+ million wenye 535 federal legislators na 7,410 state legislators (for a total of 7,945 federal and state legislators) na representation ya watu 60+ million wenye 75 federal legislators na less than 400 state legislators (for a total of less than 475 federal and state legislators)? Hii ni hesabu rahisi ya uwiano, tuliyosoma shule ya msingi! Ili comparison yako iwe meaningful, representation ya wale watu 60+ lazima ibadilike sana, either at the federal level or at the state level. Na kufanya hivyo, maana yake kuongezeka kwa gharama za uendeshaji wa nchi ya Tanzania as a whole.
[emoji3578]Una maana gani unaposema U.S. states zinachangia Feds? Marekani, federal taxes have nothing to do with state taxes. Zipo states ambazo hazina hata state income tax, lakini raia wake bado wanalipa income taxes to the federal government kama tu wafanyavyo raia wa states zingine. Mfano wa hizo states ni Texas na Florida.
[emoji3578]Uwepo wa multiple layers of taxation (federal, state, local) maana yake ongezeko la gharama. Hata usipoipa federal government mamlaka ya kutoza kodi (taxing authority), kwa kufuata ile flawed setup inayopendekezwa na Draft ya Katiba ya Tume ya Warioba, lazima kuwe na compensating effect kwenye state (na pengine local) taxes.
[emoji3578]Zanzibar ina mahakama zake yenyewe (isipokuwa haina court of final appeal) na ina Chief Judge wake. Huyo Chief Judge ana hadhi sawa na Principal Judge wa Mahakama Kuu yetu ya huku mainland. Chief Justice wa JMT ndiye boss wao wote wawili, na Court of Appeal ya JMT ina jurisdiction katika pande zote za JMT, tofauti na ilivyo kwa mahakama kuu zilizomo kwenye hizo pande mbili.
 
Back
Top Bottom