Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Rais Samia kushiriki chakula cha mchana na walioshiriki zoezi la uokoaji kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo leo Januari 30, 2025.
Kuhusu tukio la ghorofa kuporomoka soma hapa: Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024
Trump ukukuje huku, bado sindano haijawaingia vizuri ongeza dozi ikiwezekana zimua na pilipili kichaa.