Rais Samia: Jengo la Kariakoo kulikuwa na mchanga mwingi kuliko nondo na saruji

Rais Samia: Jengo la Kariakoo kulikuwa na mchanga mwingi kuliko nondo na saruji

Rais Samia kushiriki chakula cha mchana na walioshiriki zoezi la uokoaji kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo leo Januari 30, 2025.


Kuhusu tukio la ghorofa kuporomoka soma hapa: Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024



Trump ukukuje huku, bado sindano haijawaingia vizuri ongeza dozi ikiwezekana zimua na pilipili kichaa.
 
Wakati rais akila bata na waokozi wa kariakoo huko kariakoo kuna ghorofa linaungua moto muda huu. Hii ina maana gani?
Screenshot_20250130-133252.png
 
Rais Samia kushiriki chakula cha mchana na walioshiriki zoezi la uokoaji kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo leo Januari 30, 2025.


Kuhusu tukio la ghorofa kuporomoka soma hapa: Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024




Nafikiri watapata na kifuta jasho pia siyo kuishia kula biriani halafu nyumbani anarudi mikono mitupu


Pia atasema kitu kuhusu wale Waaguzi na madaktari walioahiriki kwenye kambi ya Covid 19 mwaka 2020 ambao mpaka leo hawajawahi pata acha tu mkono wa shukrani (posho zao) hata shukrani ya kudanganyisha.wengine walipoteza mqisha kwenye harakati za kuwahudumia wahanga

Sidhani kama ikitokeq dharura kama ile tena watatoa ushirikiano mzuri.
 
SIASA noma sanaaaa huu mwaka 2025 tutaona mengi,,, na sis TUNAO SIKILIZIA ATUITE yaaan tunafanyiwa interview 259 wanaohitajika ni 12 nchi ngumu sanaaaa NTAPIGA KURA HAIJALISHI MTAIBA,,
 
Rais Samia kushiriki chakula cha mchana na walioshiriki zoezi la uokoaji kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo leo Januari 30, 2025.


Kuhusu tukio la ghorofa kuporomoka soma hapa: Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

AMOS MAKALLA

"
Wiki lijalo tutaunda kamati maalum itakayotembelea majengo hasa chakavu ya ndani ya jiji na kuweza kushirikiana na wadau na wamiliki wa majengo hayo kuona namna ambavyo tunaweza kushirikiana kupata private sector wanaoweza ku-develop majengo haya tukapata hoteli, kumbi pamoja na mambo mengineyo ambayo tutapata na maeneo mengine makubwa yatakapokuja"


cheap popularity.........tanzania tumepatwa kweli kweli
 
Mama amemalizia na kusema tule, tunywe, na tufurahi pamoja, huku ni wapi jameni?! Sijasikia hiyo event au ni ya waalikwa tu?! 😄
 
Hakujawahi kutokea rais anayepigiwa promo kama huyu, lazima atakuwa ana weaknesses nyingi zaidi kuliko strengths!!.
 
Mama Samia Hepi besidei, baada ya chakula tafadhali mtumbue Chalamila.

..pia kuna suala la vita vya DRC.

..Mama Abduli ndiye Mwenyekiti wa tume ya ulinzi ya SADC.

..huu ndio muda wa kuvaa kofia ya Amiri Jeshi Mkuu.
 
Back
Top Bottom