NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 302
- 333
Bila kujifagilia bibi yenu hajisikii raha. Kesho utasikia atasema anaagiza ndege mbili kuubwa za kozoa taka Tanzania nzima na kuzipeleka china wakahangaike nazo.Viongozi wetu wanaongea kama wanaota. Sasa soko na janga vinahusiana vipi?
Halafu, Soko unajenga jangwani ili mafuriko yakija yasaidie kuwasafirisha wamachinga hadi mtwara bila serikali kuwalipia nauli?