Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Trump ukukuje huku, bado sindano haijawaingia vizuri ongeza dozi ikiwezekana zimua na pilipili kichaa.Rais Samia kushiriki chakula cha mchana na walioshiriki zoezi la uokoaji kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo leo Januari 30, 2025.
Kuhusu tukio la ghorofa kuporomoka soma hapa: Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024
Rais Samia kushiriki chakula cha mchana na walioshiriki zoezi la uokoaji kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo leo Januari 30, 2025.
Kuhusu tukio la ghorofa kuporomoka soma hapa: Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024
Dah. Tu.pe pole Rais wetu jamani. Atashiriki hafla ngapi jamani ?Wakati rais akila bata na waokozi wa kariakoo huko kariakoo kuna ghorofa linaungua moto muda huu. Hii ina maana gani? View attachment 3218629
cheap popularity.........tanzania tumepatwa kweli kweliRais Samia kushiriki chakula cha mchana na walioshiriki zoezi la uokoaji kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo leo Januari 30, 2025.
Kuhusu tukio la ghorofa kuporomoka soma hapa: Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024
AMOS MAKALLA
"Wiki lijalo tutaunda kamati maalum itakayotembelea majengo hasa chakavu ya ndani ya jiji na kuweza kushirikiana na wadau na wamiliki wa majengo hayo kuona namna ambavyo tunaweza kushirikiana kupata private sector wanaoweza ku-develop majengo haya tukapata hoteli, kumbi pamoja na mambo mengineyo ambayo tutapata na maeneo mengine makubwa yatakapokuja"
Ina maana kuna ajali mpya kariakooDuh aiseee ina msaada gani hio
Baadae atawaita kula nao chakula cha pamoja hao wanaozima huo moto.Wakati rais akila bata na waokozi wa kariakoo huko kariakoo kuna ghorofa linaungua moto muda huu. Hii ina maana gani? View attachment 3218629
Nyie UWT siyo rahisi kuelewatuambie kazi iliyomshinda zaidi ya hapo utakuwa mbeya tu kama wacheza uchi kwenye vigodoro
Itakuwa kila mtu hapo atatoka na 1MBaada ya chakula na bahasha lazima itembee
Trump hawezi kuja kwenye hii Asshole/shithole country yenu. Aje kufanya nini?Napendekeza Mama amualike Trump, tupate ugeni kama ule wa Obama
Mama Samia Hepi besidei, baada ya chakula tafadhali mtumbue Chalamila.
Wakati rais akila bata na waokozi wa kariakoo huko kariakoo kuna ghorofa linaungua moto muda huu. Hii ina maana gani? View attachment 3218629
Hata mimi sioni szbahu ya hiyo bending hapo. Naona kampeni inaendelea.... siku hizi kila Mkusanyiko ni kampeni ya Mama Abdul.Hizi ndiyo kazi anaziweza zaidi ya hapo hakuna