Rais Samia: Jengo la Kariakoo kulikuwa na mchanga mwingi kuliko nondo na saruji

Viongozi wetu wanaongea kama wanaota. Sasa soko na janga vinahusiana vipi?
Bila kujifagilia bibi yenu hajisikii raha. Kesho utasikia atasema anaagiza ndege mbili kuubwa za kozoa taka Tanzania nzima na kuzipeleka china wakahangaike nazo.
Halafu, Soko unajenga jangwani ili mafuriko yakija yasaidie kuwasafirisha wamachinga hadi mtwara bila serikali kuwalipia nauli?
 
Tuwe serious watanzania.
Wakati wanajenga hapakuwa na serikali?.
Kuna mahali huko kusini nilikuwa najenga petrol station,pamoja na kuwa na vibali vyote na kufuata taratibu zote, Afisa Mtendaji Kata wa eneo hilo alikuja na kuomba kuthibitisha kama nyaraka zote kweli ninazo na akawapigia simu mshauri mwelekezi pamoja na mkandarasi (hawa namba zao zipo kwenye bango la ujenzi) na kuthibitisha kuwa kweli nimekamilisha taratibu zote.

Nilimpongeza sana na kujiuliza, inakuwaje sehemu ambapo uongozi wa serikali upo lakini uholela unaendelea!!??

Ni nini maana ya kuwa na huu msururu wa maviongozi ambao hawajui kipi kinaendelea hata mtaani pake!!???
 
Hiyo kauli ya KM mbona kama ina ukakasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ