NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 302
- 333
Bila kujifagilia bibi yenu hajisikii raha. Kesho utasikia atasema anaagiza ndege mbili kuubwa za kozoa taka Tanzania nzima na kuzipeleka china wakahangaike nazo.Viongozi wetu wanaongea kama wanaota. Sasa soko na janga vinahusiana vipi?
Kuna mahali huko kusini nilikuwa najenga petrol station,pamoja na kuwa na vibali vyote na kufuata taratibu zote, Afisa Mtendaji Kata wa eneo hilo alikuja na kuomba kuthibitisha kama nyaraka zote kweli ninazo na akawapigia simu mshauri mwelekezi pamoja na mkandarasi (hawa namba zao zipo kwenye bango la ujenzi) na kuthibitisha kuwa kweli nimekamilisha taratibu zote.Tuwe serious watanzania.
Wakati wanajenga hapakuwa na serikali?.
๐๐๐GOD WHY WHY? ๐UKUTE HII NCHI NI CHANNEL YA KATUNI MBINGUNI
Trump hawezi kuja kwenye nchi anazozi kejeli kila maraNapendekeza Mama amualike Trump, tupate ugeni kama ule wa Obama
Hiyo kauli ya KM mbona kama ina ukakasi?KASSIM MAJALIWA - WAZIRI MKUU WA TANZANIA
"Mheshimiwa Rais ulinielekeza kuunda kamati maalum ya kufanya uchunguzi wa kuporomoka kwa jengo na kufanya ukaguzi wa kina wa majengo mengine yalioko kwenye eneo la Kariakoo
"Napenda kukufahamisha kuwa kamati hiyo, wajumbe wake wote wako hapa ndani na imehitimisha kazi yake na kwa sasa nakamilisha taratibu za kuiwasilisha kwako nikiwa pamoja na timu nyingine iliyoundwa kwa kadri itakavyokupendeza siku yoyote na wakati wowote tunaomba utupangie muda pamoja na kamati kwa ajili ya kufanya mawasilisho mbele yako