johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
RAIS AWATAKA POLISI WASITUMIE MAKOSA KAMA KITEGA UCHUMI
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Polisi wasitumie makosa kama kitega uchumi kwa kutoza faini mbalimbali badala yake wajikite kwenye kudhibiti makosa
Ameyasema hayo alipokuwa katika Ziara ya Kuzindua Kiwanda cha Ushonaji cha Jeshi la Polisi, Bohari Kuu Kurasini ambapo Polisi waliliripoti kupungua kwa mapato kutokana na kupungua kwa makosa
Rais Samia amewataka wajikite zaidi kwenye kuelimisha Umma ili kupunguza makosa na sio wao kutegemea kukusanya fedha kutoka kwenye makosa mbalimbali.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Polisi wasitumie makosa kama kitega uchumi kwa kutoza faini mbalimbali badala yake wajikite kwenye kudhibiti makosa
Ameyasema hayo alipokuwa katika Ziara ya Kuzindua Kiwanda cha Ushonaji cha Jeshi la Polisi, Bohari Kuu Kurasini ambapo Polisi waliliripoti kupungua kwa mapato kutokana na kupungua kwa makosa
Rais Samia amewataka wajikite zaidi kwenye kuelimisha Umma ili kupunguza makosa na sio wao kutegemea kukusanya fedha kutoka kwenye makosa mbalimbali.