Rais Samia: Kabudi nimeipitia vizuri CV yako, wewe ni mwanahabari mzuri

Rais Samia: Kabudi nimeipitia vizuri CV yako, wewe ni mwanahabari mzuri

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kama ulikuwa unajiuliza kwanini Kabudi amechaguliwa kwenye Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo hivi leo Rais Samia ametoa sababu ya kumchagua Kabudi kwenye nafasi hiyo.

Rais Samia akiwa anawaapisha viongozi wapya leo, amesema kuwa ameipitia CV ya Kabudi na ameona kuwa yeye ni mwanahabari mzuri kwa hiyo anategemea atafanya kazi nzuri katika Wizara hiyo.

Samia amesema kuwa Kabudi atahusika sana na mambo ya Habari huku Mwana FA atakuwa akihusika zaidi na masuala ya Sanaa na Michezo

 
Wakuu,

Kama ulikuwa unajiuliza kwanini Kabudi amechaguliwa kwenye Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo hivi leo Rais Samia ametoa sababu ya kumchagua Kabudi kwenye nafasi hiyo.

Rais Samia akiwa anawaapisha viongozi wapya leo, amesema kuwa ameipitia CV ya Kabudi na ameona kuwa yeye ni mwanahabari mzuri kwa hiyo anategemea atafanya kazi nzuri katika Wizara hiyo.

Samia amesema kuwa Kabudi atahusika sana na mambo ya Habari huku Mwana FA atakuwa akihusika zaidi na masuala ya Sanaa na Michezo

View attachment 3173639
 

Attachments

  • IMG_2386.jpeg
    IMG_2386.jpeg
    45.7 KB · Views: 5
Huyu Mzee ana Cold War mentality anaweza akaanza kufungia Media za Kibepari.
 
Haya Maigizo na hizi tamthiliya sijui zinagharimu kiasi gani cha our hard earned cash....
 
Back
Top Bottom