Indigo28
Senior Member
- Oct 27, 2020
- 117
- 151
hauwezi kua mkoa tena watabaki kua wilaya tu chini ya geitaMkoa wa chato hauundwi tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hauwezi kua mkoa tena watabaki kua wilaya tu chini ya geitaMkoa wa chato hauundwi tena?
Mama kaza au mama nikaze? Hiyo pesa nani analipa?tumesha zoea saivi zamu ya pemba baada ya chato, mama kaza
Tanzania ambayo raia wa Tanganyika hatambuliki?Tatizo liko wapi!
Pemba ni Tanzania.
Plan ya kujenga uwanja chato ilikua hiyo. Kwa sababu tuna viongozi wajinga jiandae kusikia mkoa wa chato.hauwezi kua mkoa tena watabaki kua wilaya tu chini ya geita
Mtu kwao jamani!Mimi namsifu kudos mazaa Fanya kweli usidharaulike...jifunze kwa mwendazake aliweka lami mpk sebuleni kwake,Kanda Ya ziwa yote lami!
Wazanzibar wabinafsiUshabiki mwingi
1. Hakuna nchi inaitwa Tanganyika
2. Miradi ni muhimu ni kweli airport ya Pemba ni muhimu kuliko ya Chato. Kwani Chato wana chato wanaweza kulipa? Wapi kuna watalii zaidi!!?
3. Hatujui kiasi gani ni grants ambazo sio mikopo hivyo hatuna habari za kutosha
Ngapi zilikopwa kwa ajili ya Chato?Ana miezi 8 tu lakini ameshakopa zaidi ya trillion 4 kwaajili ya Zanzibar pekee yenye watu million 1.5
Geita kila mwaka inachangia zaidi ya trillion 2 kupitia madini tu, zanzibar inaingiza shillings ngapi Tanganyika?Ngapi zilikopwa kwa ajili ya Chato?
tunalipa wote watzMama kaza au mama nikaze? Hiyo pesa nani analipa?
"Huwezi kuwondoa maana wanaoifanya ccm wabakie madarakani ni genge la kina kingai + tume ya uchaguzi"Bila kuiondoa ccm haya malalamiko yatageuka wimbo wa taifa.
Dawa ni kuwaondoa na chama chao tu wameshindwa.
Pemba, unguja, chakechake ni ilivyo chattle hivyo bas kaen kwa kutulia kutesa kwa zamu!!Sasa suala la Tanganyika na Zanzibar linahusu nini yote hayo? Open new thread and Grow up
Halafu hakuna Bunge la kuhoji😄😄
😆Rais ndio mwenye kiti wa chama na wabunge ndio wanachama wenyewe hakuna namna ya kuhoji otherwise unaweza ukashangaa ugali uleeee.
Yapo mambo ya muungano na yasiyo ya muungano, haiwezekani zanzibar iwe na ruhusa ya kukopa separately then bado wapate share kwenye mikopo ya Tanganyika
Rekebisha hapo.Issue siyo Kama Chato wanaweza kulipa...issue ni kwanini Tanganyika (ambayo ipo Kama Tanzania bara) ilipe ghrama za airport huko Pemba Kama ni kweli? Kwanini mkigundua mafuta huko Zanzibar mnadai ni ya Zanzibar peke yake na raslimali za Bara mnadai pia ni zenu? Wabara hawana haki ya ardhi kule Zanzibar lakini Wapemba na Waunguja wana haki ya ardhi huku Bara ambako wako kwa maelfu...hii haikubaliki hata kidogo ni ujinga kabisa...Mtu anawakilisha watu 2000 huko Zanzibar eti naye ni Mbunge kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano na analipwa marupurupu na mshahara kwa fedha za Bara...hebu tuambieni je Wabara wananufaika vipi na Muungano huu?
Watanganyika mmezoea kutawaliwa, ngoja mama apeleke pesa kwaoHizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
======
BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.
The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.
He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.
For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.
BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.
The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.
The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.
Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.
These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.
The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
THE Arab Bank for Economic Development in Africa (BADEA) has pledged to provide Tanzania with concessional loans and grants reaching $3bn (7trn/-) over the next five years for various development projects.www.ippmedia.com
View attachment 2040766
Hamna mtu analia, uwe Mzenji au M'bara it doesn't matter. Hii ni mara pili nakwambia tatizo lako ni upeo mdogo, uzuri mimi ni mvumilivu.Kataeni sasa mbona unalia Lia kama kichanga? 😄😄😄.
Kwa taarifa yako mimi sio Mzanzibar ila huwa sipendi ujinga wenu.