Rais Samia, kana una nia ya dhati dhidi ya uovu, wengine hawa hapa wanaoshutumiwa kwa uhuni, ufisadi na dhulma

Swadakta! Wazo zuri wapo wengi walioharihu taswira ya uongozi. Labda anataka kuwaondoa mmoja mmoja kwa wakati tofauti
 
CIA hawakukosea makonda ni zaidi ya.gaidi
 
Rais Samia ache kufukua makaburi ya viongozi waliopita.
 
Mtu Asiyejulikana hata wewe unadhamiri chafu, Kama unazo tuhuma za Makonda na unao ushahidi weka wazi na kaa ukikumbuka Serikali inayo macho makubwa ya kuona.
Unaongelea sirikale ipi
 
Samia mwenyewe ni mhuni.Anabambikizia watu kesi fake,anakanyaga kanyaga katiba,anapora chaguzi,ananyima watu haki zao za kujieleza,ananyima watu haki zao za kidemokrasia na kadhalika kwa hiyo hana moral authority ya kushughulikia wahuni.Umeelewa mleta mada?
 
Rogue element zake bado zipo na ziko active zinafanya kazi kweli
 
Kamanda Sirro yuko blacklisted na CIA, uhalifu wake sio wa kutafuta. Wengine ni:

Mambosasa...wamemficha Dodoma,

Mwigulu Nchemba,

Baadhi ya wakuu wa wilaya na mikoa.
 
Tabia za Samia na Sabaya ni sawa tu,yote Majambaz yanajuana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…