Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Gentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?

Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?

Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?

Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?

Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kuna Comments zingine Zina stahili Reaction ya DOLE la Katikati.

Kama Hii yako.
 
Sasa wewe kwanini usiende kusaidia kuwaokoa?

Unategemea mama Samia ndiyo akawaokoe?
Kwa ulivyo comment haistahili kumwita Mama Samia.

Ita SAMIA...Hakuna Mama anakua na Akili za hivo na kama na wewe ni Mama na una Akili za Hivo,,ni Bora ungekunywa P2 ukatoa Mimba za watoto wako ulio nao.
 
Rais ni taasisi hivyo sidhani kama yeye angekuwepo Nchini angesaidia lolote zaidi ya ilivyo sasa.
Lakini haipingiki kwamba anasafiri sana hata kwa vitu vidogo vidogo.
Nadhani ni hobby ya watu wa pwani,ref mzee JK naye ilikuwa hivi hivi
Kama ni taasis kwa nini hukoalikoenda yeye wasingeenda wengine yeye kama mfariji mkuu akabaki anaangalia kwake.
 
Hii sio akili na huo sio uungwana bali ni roho ya kuto kujali , Rais wa nchi ni sawa na baba wa familia, utakuwa baba wa ajabu sana familia ipo kwenye matatizo halafu baba huonekani eti kwa vile nyumban kuna wajomba, mabinamu na mama wadogo.pamoja na upendo wetu kwa Mama lakini tusikose hekima

Hakukuwa na ugumu wowote kwake hata kwenda eneo la tukio hata kutoa pole na kuhamasisha shughuli za uokoaji yeye kama kiongozi mkuu wa nchi, Halafu akaendelea na ratiba zake
Nyumba yeyote kiongozi huwa ni mwanaume, akishakua mwanamke basi hio nyumba itakua na shida tu.
 
Kwa ulivyo comment haistahili kumwita Mama Samia.

Ita SAMIA...Hakuna Mama anakua na Akili za hivo na kama na wewe ni Mama na una Akili za Hivo,,ni Bora ungekunywa P2 ukatoa Mimba za watoto wako ulio nao.
Mwite upendavyo. Kondoo tunawafahamu.
 
Nyumba yeyote kiongozi huwa ni mwanaume, akishakua mwanamke basi hio nyumba itakua na shida tu.
Mwenye byumba mwanamke, mwanamme kazi yake ni ulinzi tu, siyo uongozi.

Miaka zaidi ya 60 Tanzania tumekuwa na viongozi wa kiume, wamefanya nini cha maana na kujivunia?
 
Abdul kama angekuwa amefukiwa sidhani kama angesafiri
Abdul mwenyewe yupo Brazil tayari anakula mchongo wa kuleta Yale mabasi marefu Sana kwa ajili ya mwendokasi ili amkabidhi yule mwekezaji mwarabu wa Dubai avune pesa!
 
Anawajibika vipi kwako hukuchangia kumuweka madarakani?Kura hupigi wala hujiandikishi.

Sasa umepechaguliwa asiewajibika unalia lia.
 
Mwenye byumba mwanamke, mwanamme kazi yake ni ulinzi tu, siyo uongozi.

Miaka zaidi ya 60 Tanzania tumekuwa na viongozi wa kiume, wamefanya nini cha maana na kujivunia?
Sisi waislamu haturuhusu kiongozi wa juu kabisa kuwa mwanamke.

Sijui wewe dini yako.
 
hapa hakuna habari ya sijui nani angekua gentleman!

na by the way, angekua ni kiungo cha ubishi.

Licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kijamii, kiuchmi na kisiasa, ni Lazima maslahi ya Taifa yachungwe Kitaifa na kimataifa.

Hakuna sababu hata moja ya kufanya nchi isisonge mbele.

Leo nitatangulia mimi mbele za haki na kesho ukafuata wewe kwa mapenzi ya Mungu Maisha ya wengine waliobaki hayasimami, Lazima yaendelee bila mbambamba yoyote 🐒
Cha muhimu mama anaupiga mwingi... regardless.
 
Cha muhimu mama anaupiga mwingi... regardless.
vyovyote itakavyokua gentleman,

Ile muhimu zaidi,
Ni kumuomba Mwenyezi Mungu afanye wepesi na kuwanusuru waTanzania wenzetu, wanayopitia wakati mgumu mno chini ya kifusi, baada ya jengo la ghorofa kariakoo kuporomoka 🐒
 
vyovyote itakavyokua gentleman,

Ile muhimu zaidi,
Ni kumuomba Mwenyezi Mungu afanye wepesi na kuwanusuru waTanzania wenzetu, wanayopitia wakati mgumu mno chini ya kifusi, baada ya jengo la ghorofa kariakoo kuporomoka 🐒
Vinatumika vifaa duni kufanya kazi ya uokoaji
Wanatumia jembe na jepe kama Masai anamwokoa ndama alinasa kwenye shimo la nungunungu
 
vyovyote itakavyokua gentleman,

Ile muhimu zaidi,
Ni kumuomba Mwenyezi Mungu afanye wepesi na kuwanusuru waTanzania wenzetu, wanayopitia wakati mgumu mno chini ya kifusi, baada ya jengo la ghorofa kariakoo kuporomoka 🐒
Na pia kuwaombea wanaosafiri nje ya nchi kwa manufaa ya taifa wasafiri salama...

Tutawawakilisha msibani kama walivyotuwakilisha kwenye msiba wa Lawrence Mafuru
 
Back
Top Bottom