Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Tuliza ball gentleman,Kamati tena. Ipi ulisikia imeleta majibu walau moja tu itaje
Tuombeane kheri hili limalizike salama. Ni mapema mno 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliza ball gentleman,Kamati tena. Ipi ulisikia imeleta majibu walau moja tu itaje
Wewe ni mpumbavuGentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?
Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?
Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?
Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?
Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
gentleman,kwa mala ya kwanza leo nimekuzarau
muerevu umejaa mihemko na ghadhabu tu tsaatsaaa tsaaahhh 🤣Wewe ni mpumbavu
Acha ufala 😏siku zote ukweli ni mchungu sana, na unatabia ya kukera sana aise. Pole sana lakini itabidi uzoeee mtumishi..
binafsi huandika ukweli mtupu mtumishi, na sina cha kupunguza au kuongeza kwenye vyote ninavyoandika ambavyo kwa kiwango kikubwa mno vinajitosheleza.
Hata hivyo naomba radhi kwa wote ikiwa ukweli huu unakwaza 🐒
yaani ungependelea kunitoa kwenye ukweli na kunijumuisha kwenye mihemko mtumishi?Acha ufala 😏
Halafu kuna mtu kwa sababu ya kupenda uchawa anachukulia suala hili mzaha,Wazanzibari mna roho ngumu sana hasa hilo li Tlaaa ufala
Ni kweli kabisa gentlemanGentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?
Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?
Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?
Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?
Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Isitoshe mama ni mwislamu, na wanawake hawaziki.Angebaki angesaidia nini.
Quran na Biblia ulizoshikilia hazijasaidia sembuse huyo mama samia.
Sijui hao wahanga watapata milioni ngapi za mamaMwakinyo amechukuwa millioni kumi za mama, amempig mtu TKO leo alfajiri.
Nyerere ndiye anayetu-cost hata sasa kutuletea Muungano wa kichawi.Hao wanaokufa siyo raia wa nchi yake ya Zanzibar. Huku kaja kuchuma tu
Yule hata kusingekuwa na msiba bado asingeenda. Apande ndege umbali wote huo afie angani? Unadhani alikuwa hajui tatizo lake?Magu asingesafiri ninauhakika 200000% yule baba kwanza hakua na ratiba za misele ya nje kwahio hio ratiba isingekuwepo pia
Kwani wanachezea Simba au Yanga?Sijui hao wahanga watapata milioni ngapi za mama
Nyerere ndiye anayetu-cost hata sasa kutuletea Muungano wa kichawi.
alaaniwe huko aliko
Bora angetuunganisha na wanyarwanda tungejipatia warembo kiroho safi kabisa.... sio?Nyerere ndiye anayetu-cost hata sasa kutuletea Muungano wa kichawi.
alaaniwe huko aliko
kwenda tu kuongezea taifa madeni!Chuki kwa watu Gani. Tunaongelea kuhusu mkuu wa nchi hapa, Amiri Jeshi mkuu, mfariji mkuu wa nchi.
Huyu mtu ni public property na Nina haki ya kumuongelea vyovyote nitakavyo.
Anatakiwa awe mstari wa mbele na afariji watu.
Hebu taja faida Tano za hiyo safari yake kwa watanzania........... Tano TU.
Hili ni tatizo kubwa lakini team Lumumba wao wanaona sawa tu. MamaSamia2025 ChoiceVariableNinaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya
Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].
Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini
Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??
Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?
Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]
Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.
PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
hapa hakuna habari ya sijui nani angekua gentleman!Ni kweli kabisa gentleman
Naamini hata mwanaye Abdul angekuwa yuko chini ya kifusi hapo kwenye janga, bado mama wetu shujaa angeendelea na ratiba yake..... kwa maslahi mapana ya nchi yetu
Mitano tena kwa mama... Atake asitake.