Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Umejibu vizuri ila ni kweli kabisa huyu mama yetu huwa hana roho ya kujali kabisa na huwa hana muitikio mzuri kwenye majanga ya watanganyika hilo linafahamika.
Na sidhani kama kasogea hata eneo la tukio.
nadhani marekani limetokea tukio kama hilo,

Rais Joe au Trump akafanye nini eneo la tukio na uokoaji unaendelea? :pulpTRAVOLTA:
 
Gentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?

Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?

Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?

Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?

Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu Tlaatlaah kuna wakati wa kusema na wakati wa kunyamaza. Tuwaombee wahanga, waathirika, majeruhi, marehemu na familia zilizokumbwa na mkasa huu.
 
Rais ni taasisi hivyo sidhani kama yeye angekuwepo Nchini angesaidia lolote zaidi ya ilivyo sasa.
Lakini haipingiki kwamba anasafiri sana hata kwa vitu vidogo vidogo.
Nadhani ni hobby ya watu wa pwani,ref mzee JK naye ilikuwa hivi hivi
 
Mkuu Tlaatlaah kuna wakati wa kusema na wakati wa kunyamaza. Tuwaombee wahanga, waathirika, majeruhi, marehemu na familia zilizokumbwa na mkasa huu.
Pamoja na hilo ambalo Rais wetu Dr. Samia Suluhu Hassan ametuongoza
akiwa mtu wa mwanzo zaidi kutoa pole na kuomba Neema na Baraka za Mungu kwa wahanga waliostack kwenye vifusi eneo la ajali,

Bado jitihada zingine za makusudi zikiongozwa na mwenyekiti wa kamati ya maafa Taifa, waziri Mkuu Kasimu Majaliwa, kwa kufuata na kuzingatia maelekezo ya Rais,

Vyombo vya ulinzi na usalama viko site na kazi ya uokozi inaendelea kwa umakini mkubwa.

Mwenyezi Mungu afanye wepesi 🐒
 
Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
Ajali ni ajali tu
 
Tuache utani basi... Kwahyo kila janga ni lazima rais ahudhurie? Kulikuwa na haja gani ya kuwa na watumishi wengine?

~Petroli ilipowalipukia watu pale moro mbona rais hakwenda!
~Na wale watoto wa shule ya lucky vicent ulimuona rais?
~Vp kule ziwani kwenye ndege iliyompa umaarufu dogo majaliwa?
~Na pale ukerewe je?

Why kariakoo ndo ionekane so spesho mpaka rais awepo eneo la tukio? Aliowatuma hawatoshei au?
 
Gentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?

Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?

Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?

Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?

Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Afanye nini?
Kweli kabisa!
Wacha tuendelee kula nyama maana mtori wanasema upo chini
 
Tuache utani basi... Kwahyo kila janga ni lazima rais ahudhurie? Kulikuwa na haja gani ya kuwa na watumishi wengine?

~Petroli ilipowalipukia watu pale moro mbona rais hakwenda!
~Na wale watoto wa shule ya lucky vicent ulimuona rais?
~Vp kule ziwani kwenye ndege iliyompa umaarufu dogo majaliwa?
~Na pale ukerewe je?

Why kariakoo ndo ionekane so spesho mpaka rais awepo eneo la tukio? Aliowatuma hawatoshei au?
Kuna mtu amesema awepo eneo la tukio? 😀
 
Kwahyo Mbowe yupo ndani ya kifusi anaokoa watu syo,
hebu acheni kujitoa ufaham, kwani duniani si kina Vita vinaendelea umeskia Kuna udhuru wwte kisa Vita?
After all; jengo limeporoka Mh. Rais akiwa ameshaondoka lakini je Kuna kitu kimesmama? Mnaendekeza siasa za kipumbavu sana
 
Nilikuwa simpendi Jiwe ila kwenye tukio kama hili lazima watu wangewajibishwa tena mbele ya cameras.
Ndo unachotaka ww, Yani Raha yako uone mtu anafukuzwa kazi unaroho ya kishetani Sana mkuu,
Punguza wivu
 
Back
Top Bottom