Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Mbona mnapokea ruzuku za miaka ya nyuma hamsemi mnachuma, acheni Lugha za ubaguzi Mnatia aibu sanaHao wanaokufa siyo raia wa nchi yake ya Zanzibar. Huku kaja kuchuma tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnapokea ruzuku za miaka ya nyuma hamsemi mnachuma, acheni Lugha za ubaguzi Mnatia aibu sanaHao wanaokufa siyo raia wa nchi yake ya Zanzibar. Huku kaja kuchuma tu
Hapo kwa lile shetani lenu la Chato lingeshaifanya hiyo ni fursa ya kupiga michango ya wadau.Magu asingesafiri ninauhakika 200000% yule baba kwanza hakua na tatiba za misele ya nje kwahio hio ratiba isingekuwepo pia
Ndo unachotaka ww, Yani Raha yako uone mtu anafukuzwa kazi unaroho ya kishetani Sana mkuu,
Punguza wivu
Kwahyo unataka mm nifanyeje?Hivi umeziona nondo zilizojengewa kwenye lile jengo? Umeona wingi wa michanga kwenye lile jengo? Waliochimba basement walipewa kibali na nani? Roho za waliokufa kwa uzembe wa wachache zitalipwa na nani?
Mhandisi wa mkoa au wilaya na chain nzima wangeshawashiwa moto.Nilikuwa simpendi Jiwe ila kwenye tukio kama hili lazima watu wangewajibishwa tena mbele ya cameras.
Unatawaliwa Sana na chuki kwahyo wakifukuzwa kazi hzo nondo zitaongezeka size?Hivi umeziona nondo zilizojengewa kwenye lile jengo? Umeona wingi wa michanga kwenye lile jengo? Waliochimba basement walipewa kibali na nani? Roho za waliokufa kwa uzembe wa wachache zitalipwa na nani?
kwenye maafa unakuja na njaa na mitori yako ya nyama gentleman?Afanye nini?
Kweli kabisa!
Wacha tuendelee kula nyama maana mtori wanasema upo chini
Duh...Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya
Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].
Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini
Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??
Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?
Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]
Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.
PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
😱😳Nadhani kifo ni kifo tuu na janga ni janga tuu , havimo kwenye ratiba muhimu
We jamaa uko na shida kubwa sana. Unajua binafsi Naunga mkono yeye kwenda alikoenda maana hii itaamsha uwajibikaji wa wanaobaki. Sio lazima awepo maana Kama kutokea ishatokea hakuna namna ya kufanya isitokeekwenye maafa unakuja na njaa na mitori yako ya nyama gentleman?
uko sawa kweli, au hang over?🐒
Hii sio akili na huo sio uungwana bali ni roho ya kuto kujali , Rais wa nchi ni sawa na baba wa familia, utakuwa baba wa ajabu sana familia ipo kwenye matatizo halafu baba huonekani eti kwa vile nyumban kuna wajomba, mabinamu na mama wadogo.pamoja na upendo wetu kwa Mama lakini tusikose hekimanadhani marekani limetokea tukio kama hilo,
Rais Joe au Trump akafanye nini eneo la tukio na uokoaji unaendelea?![]()
Amelaaniwa Mtu yule amtegemeaye mwanadamu mwenzake huku akiwa amemwacha Mungu moyoni mwakeSasa wewe kwanini usiende kusaidia kuwaokoa?
Unategemea mama Samia ndiyo akawaokoe?
Aya mumewe/mwanae angekua kwenye kifusi angepata nguvu za kwenda huko.labda ungetumia mfano mwengine zaidi wenye mashiko gentleman![]()
Waandishi wengine ni zero brain !Mwandishi wa habari badala ya akimbie chap kufikisha taarifa za mahali waliponaswa, ndo kwanza anawauliza wahanga hali zenu zikoje!
Ficha Ujinga Wako Mbele ya WATU, Kukaa kimiya nayo ni Busara, Sio Kila Post Lazima UchangieSasa wewe kwanini usiende kusaidia kuwaokoa?
Unategemea mama Samia ndiyo akawaokoe?
Rais na kipenz cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ndie kiongozi wa kwanza kutoa pole,Hii sio akili na huo sio uungwana bali ni roho ya kuto kujali , Rais wa nchi ni sawa na baba wa familia, utakuwa baba wa ajabu sana familia ipo kwenye matatizo halafu baba huonekani eti kwa vile nyumban kuna wajomba, mabinamu na mama wadogo.pamoja na upendo wetu kwa Mama lakini tusikose hekima
Hakukuwa na ugumu wowote kwake hata kwenda eneo la tukio hata kutoa pole na kuhamasisha shughuli za uokoaji yeye kama kiongozi mkuu wa nchi, Halafu akaendelea na ratiba zake