Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Yaani wasaidizi wake viongozi wakuu na vyombo vyote vya Dola vipo eneo la tukio, havitoshi mpaka na Raisi awepo?
Huoni hii fursa adhimu kuwepo katika huo mkutano wa G20 na inaweza kuwa na manufaa ya muda mrefu kama tutaitumia vizuri?

Huoni hata Zelensky Huwa anakwenda fasta akialikwa licha ya kwamba Nchi yake Iko vitani?
Zelensky mara ya mwisho umemuona lini kuvaa suti??
Na huwa ana attend zile congression kwa ajili ya kupata support ya vita sio kustarehe
 
Personal attacks hizo acha ushamba wewe!! Unajuaje kama anadaiwa au ana jamaa zake wamenaswa chini ya kifusi kiufupi mfariji mkuu ilibidi abaki badala ya kwenda Copacabana ⛱ kula raha
Anyway Kufa ni kufa tulimuelewa
kivip person attack gentleman?
Yaani kueleweshana na kuelezana ukweli imekua anasa gentleman?

Faraja ipi zaidi ya ile ya Rais kuagiza kuagiza na kuamrisha kamati ya maafa chini ya waziri mkuu na vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha wako eneo la tukio na nyenzo zote, usiku na mchana kuhakikisha wanafanya kazi ya uokozi kwa bidii na weledi kunusuru walionasa kwenye vifusi?

kama muungwana ana madeni au jamaa ambao ni wa hanga, pole zake sana lakini pia pole kwa Rais na waTanzania wote.
Mungu amjalie moyo wa subra 🐒
 
Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
Mwakinyo amechukuwa millioni kumi za mama, amempig mtu TKO leo alfajiri.
 
Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
Mama ana uoiga mwingi.
Hapo ndio mjue Ccm hawako serious na maisha yetu
 
Si uliona JPM watu wa Kagera walipo pata shida ya Tetemeko yaani ndani ya risaa limoja alikua amefika kule Bukoba. TUMIENI AKILI VIZURI
 
Gentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?

Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?

Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?

Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?

Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kamanda Abduli angekuwa chini ya kifusi Muda huu eneo la tukio mbona kuko flat na watu wore wako nje wakipatiwa Huduma ya Kwanza.
 
Relax tu gentleman, na unisamehe sana plz,

wacha tumalizane kwanza na uokozi wa wangwana waliokwama kwenye vifusi,

na bila shaka yoyote tukio hili litakua ni funzo na fursa muhimu zaidi ya mwanzo katika kua makini zaidi katika ujenzi na hasa majengo chipukizi chini ya majengo mazito, makubwa na marefu.

I hope,
Itakapoundwa kamati ya uchunguzi itakuja na mapendekezo muhimu zaidi. Kwasasa ni mapema sana kuhitimisha hili 🐒
Kamati tena. Ipi ulisikia imeleta majibu walau moja tu itaje
 
Ila nyie haters wa mama Samia mna kazi aisee, poleni sana. Si ajabu wengi wenu ni wachawi au mnatoka familia za wachawi.....hili Nina uhakika nalo kabisa.
Maneno yako yanaashiria umezaliwa kwenye tumbo la changudoa
 
usimlaumu Rais huwezi jua ndani ya moyo wake kuna nini, pia nadhani hukumpigia kura awe Rais wa jamhuri..ila ulimpigia kura awe makamu. Haya yanayotokea tuendelee kumsihi Mungu aendelee kutukumbuka na kutukumbatia tangu 2021 alipomtwaa Rais wetu tuliyempigia kura atuongoze hadi 2025.
 
kivip person attack gentleman?
Yaani kueleweshana na kuelezana ukweli imekua anasa gentleman?

Faraja ipi zaidi ya ile ya Rais kuagiza kuagiza na kuamrisha kamati ya maafa chini ya waziri mkuu na vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha wako eneo la tukio na nyenzo zote, usiku na mchana kuhakikisha wanafanya kazi ya uokozi kwa bidii na weledi kunusuru walionasa kwenye vifusi?

kama muungwana ana madeni au jamaa ambao ni wa hanga, pole zake sana lakini pia pole kwa Rais na waTanzania wote.
Mungu amjalie moyo wa subra
 
Gentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?

Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?

Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?

Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?

Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
kwa mala ya kwanza leo nimekuzarau
 
Unashika biblia wakati unatakiwa ukabebe kifusi , au hiyo biblia ndo itaenda kunyanyua kifusi
 
Gentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?

Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?

Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?

Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?

Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kaka mm ni mgeni ila nnaiman matusi hayaruhusiw acha nijikaze ila akili zako haziko timam, wapi ametoa nguvu za kusafir ndugu yangu Hali iliyokua pale siyo nzuri hata kidog labda unaona Kwa nje ila mule ndani ni pagumu hatar watu wanateseka kiasi HADI tuliokua tunatoa msaada Jana tumejikuta wengine tukilia achana na wanaohitaj msaada huwezi kuwasaidia Baki na wanaokufa unawaona wengine wakikwambia na kuomba uwaambie ndugu zao vitu ni vingi HADI kwasisi wenye umri mdogo tunaweweseka ila naamini kama ungekua ndani mule usengeandika huu upumbavu dah
 
Acheni hizo Dunia ya sasa anaweza kuwa na mawasiliano virtually na viongozi waliopo hapa TZ hizo ni chuki za kijinga
 
she is really crazy and soo stupid[emoji34],im sorry to say this.

tumeshuhudia marais wanastopisha ziara za nnje na kurudi haraka nchini kwao kutia moyo na kuwapa faraja wananchi wao, sababu wanamuangalia yeye na serikali yake. but this old woman?? noooo kwake ni bora safari,wananchi mtajua wenyewe[emoji57].

imagine, tena,ni kaliakoo, soko linaloingiza mapato mengi ya nchi, but noooo bora akale raha. hadi uko wanamuona hajielewi.

Samia 2025 no!

Kiukweli hao marais wenzake wanamuona hamnazo kabisa sababu kila kiongozi huwa anapewa briefing ya viongozi wengine anaokutana nao.

Sidhani hata wanaweza kumchukulia serious, kama hayuko serious na nchi, watu wake wanakufa, yeye ni bata kwenda mbele.
 
Ndicho anacho weza TU. Kula bata ikiwa watanganyika mnamatatizo km haya.
All the best
 
Back
Top Bottom