Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Kaka mm ni mgeni ila nnaiman matusi hayaruhusiw acha nijikaze ila akili zako haziko timam, wapi ametoa nguvu za kusafir ndugu yangu Hali iliyokua pale siyo nzuri hata kidog labda unaona Kwa nje ila mule ndani ni pagumu hatar watu wanateseka kiasi HADI tuliokua tunatoa msaada Jana tumejikuta wengine tukilia achana na wanaohitaj msaada huwezi kuwasaidia Baki na wanaokufa unawaona wengine wakikwambia na kuomba uwaambie ndugu zao vitu ni vingi HADI kwasisi wenye umri mdogo tunaweweseka ila naamini kama ungekua ndani mule usengeandika huu upumbavu dah
kumbe wewe ni moja wao wa wale majamaa wa kuhitimisha hoja kwa kuyaporomosha yale mazito mazito kwa mpangilio eee, alaaaa 🤣

najua utakua unayapiromosha kimoyo moyo dah!

Kama taifa,
hakuna kitu kinaweza kusimama kwa sababu yoyote ile. Muhimu majukumu yamegawanywa, maelekezo ya Rais yanatekelezwa kikamilifu na mamlaka husika na matumaini ni makubwa...

Hata hivyo,
Hata rais angelikuwako ni muujiza gani ingefanyika? Jengo lingeyeyuka au lingepaa..

Tuwe wangwana ndrugu zangu,
Tuwaombee subra wale wote walionasa kwenye vifusi, na wanao endelea na kazi ya uokoaji Mungu awajalie bidii na maarifa zaidi 🐒
 
Yaani wasaidizi wake viongozi wakuu na vyombo vyote vya Dola vipo eneo la tukio, havitoshi mpaka na Raisi awepo?
Huoni hii fursa adhimu kuwepo katika huo mkutano wa G20 na inaweza kuwa na manufaa ya muda mrefu kama tutaitumia vizuri?

Huoni hata Zelensky Huwa anakwenda fasta akialikwa licha ya kwamba Nchi yake Iko vitani?
mxiyuuuu[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] pumbavu wewe
 
Gentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?

Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?

Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?

Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?

Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
We ni upinde...
 
Huyo hatukumchagua kwenye Sanduku la kura,hivyo Si lazima awajibike kwetu.
 
Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
Nchi ni taasisi, kuna siku utataka Samia aje kijijini kwako aendeshe vikao vya serikali ya kijiji, au akusanye kodi za kijiji
 
Ni sawa na upate msiba mlangoni mwako alafu wewe unachukua jembe unaenda kulima...is it possible!
brother suala limetokea dk za mwisho tupo maandaliz ya safar.kumbuka pia kule kuna ratiba za watu na pia mkuu wa mkoa katumwa fasta pale na kamat ya maafa chin ya prime ipo pale.jeshi lipo pale na kila mechanism ipo pale. tusilaum sana tupo kwwnye majonz
 
Yeye kama dalali mkuu anawahi kwenye mnada maana watapishana na gari la mshahara. Hawana time na wananchi Wao ndio maana nawaita madalali
 
Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
Lucas Mwashambwa Una la kusema na hii serikali yako
 
brother suala limetokea dk za mwisho tupo maandaliz ya safar.kumbuka pia kule kuna ratiba za watu na pia mkuu wa mkoa katumwa fasta pale na kamat ya maafa chin ya prime ipo pale.jeshi lipo pale na kila mechanism ipo pale. tusilaum sana tupo kwwnye majonz
Kwanini kwenye msiba wa Mafuru amefika ? Si angetuma wawakilishi?

Wananchi wamemchagua yeye si mkuu wa mkoa wala waziri...

Hata kama asingefika, haileti picha nzuri unasafiri wananchi wana majanga.. Kuna ile kuonyesha utu na kuheshimu wananchi..
 
Mwache aende labda ndio ya mwisho mwisho kusafiri kama mkuu wa inchi............maana unaweza kuta asije kwenda tena kama raia namba moja labda aende kama abiria wengine tu
 
Samia big No
she is really crazy and soo stupid[emoji34],im sorry to say this.

tumeshuhudia marais wanastopisha ziara za nnje na kurudi haraka nchini kwao kutia moyo na kuwapa faraja wananchi wao, sababu wanamuangalia yeye na serikali yake. but this old woman?? noooo kwake ni bora safari,wananchi mtajua wenyewe[emoji57].

imagine, tena,ni kaliakoo, soko linaloingiza mapato mengi ya nchi, but noooo bora akale raha. hadi uko wanamuona hajielewi.

Samia 2025 no!
 
Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
"Kifo ni kifo"
 
Back
Top Bottom