Rais Samia, Kariakoo inahitaji Baraza maalum la Biashara ambalo litakuwa na hadhi ya Mkoa

Rais Samia, Kariakoo inahitaji Baraza maalum la Biashara ambalo litakuwa na hadhi ya Mkoa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nchi hii Ina Mabaraza ya biashara, kuanzia ngazi ya wilaya,mpaka taifa, kwa kuwa tumeamua kwamba kariakoo ndio Dubai yetu, namshauri Mh. Rais kwamba atoe hadhi maalum kwa kariakoo iwe na hadhi ya Mkoa katika muundo wa Baraza la Biashara la Taifa.

Hii itasaidia kutatua changamoto kwa wakati kuliko kuwaacha wakiwa Wana hang na hoja zao, humo watapata fursa ya kujadiliana na kutatua mambo yao, na fursa ya kukutana na viongozi.

Wasaalam
 
Lowassa: Nitaanzisha Wizara ya Dar es salaam

Yule Mwamba anaonaga mbali sana

Lowassa: Nitaanzisha Wizara ya Dini
 
Hoja muhimu sana!Kariakoo has to be diversified haraka kwa maslahi ya Nchi!Bahati mbaya sana wetu wengi waliopo kwenye nafasi hizi uwezo wa kuwaza makubwa haupo!

Wamerelax hatari!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Usiwe na shaka mkuu, haya mapendekezo yako yatachukuliwa hapa na hutu memba mwenzetu Fred, kisha atayapeleka kwenye ile kamati iliyo teuliwa na Kasim. Kisha yatafanyiwa kazi na akina mama bonge, yule jamaa wa Tanga pamoja na wenzao ili kupata suluhisho la pamoja concerning K'koo.
 
Back
Top Bottom