Rais Samia kasafiri na kundi kubwa la watu, kodi za Watanzania zinatumiwa vibaya

Rais Samia kasafiri na kundi kubwa la watu, kodi za Watanzania zinatumiwa vibaya

Sio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.

Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.
Wacha watanzania wakome, mlimtukana sana mzee wa watu. Ngoja apumzike Kwa amani [emoji24] ya Bwana. Alisema tutamkumbuka. Tunazidi kumlilia tu
 
Kwani wanaume huwa hawakosei?

Tangu Uhuru Viongozi walikuwa wanaume na ndio wametufikisha hapa tulipo ambapo maadui bado ni walewale ujinga, maradhi na umaskini.

Hospitali dawa hakuna, Maji hakuna, barabara hakuna, Shule hazitoshi, zahanati hakuna, vituo vya polisi hadi Wilayani n.k

Jadili kwa hoja na siyo jinsia yake.

Mkosoe kama mtu na siyo kama mwanamke.

Wanaume Ndiyo walotufikisha hapa mpaka mtu anasema yamkini tuliwahi kudai uhuru tulipaswa kuvuta subira tujipange kwanza.
Wanawake ni matatizo toka walipoimbwa,kulikataa hilo ni kwenda against nature.Rais gani wa kiume ulimukna amekusanya Viongozi wa Chama na Wanachana akaenda nao kwenye safari ya Kiserikali?
 
Mlimuona Magufuli zwazwa sijui leo mnasemaje!!

That man was really a president, mzee alipokuwa anasema yeye ni Rais wa wanyonge hatukumuelewa leo sidhani kama kuna asiyeelewa maneno ya mzee!!

Rip our president, tukukumbuka baba hata mwaka bado [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Magufuli alituumiza sana Watumishi wa umma! Hilo halito sahaulika kamwe kwenye akili yangu!
Miaka sita ya bila promotioni kwa kisingizio cha kununua ndege, ilituvuruga sana watumishi wa umma.

By the way, ccm ni ile ile! Hivyo hakuna jipya! Maendeleo ya kweli yatapatikana mara tu ccm itakapotoka madarakani.
 
Safari ya siku moja kwenda na kurudi gharama ni zipi?

Ndege wanatumia moja, mafuta ni hayo hayo, per diem ya serikali haizidi $ 438 per day per person, ila hiyo haizidi siku, so half day means half per diem around $ 219

Hivi kwa msafara wa Mh. Rais, hata akiwa na watu say 40 kwa safari ya Zambia. Gharama za per diem 40 * $219 = $ 8,760

Ebu tuambiane ukweli, Mh. Rais akisafiri per diem ya anafutana naye wote ikawa hata $ 10,000 per day, alafu mafuta ya ndege wanaweka hapa Tz kwenda na kurudi, hiyo ni gharama kubwa?


Nauliza, $ 10,000 per diem plus gharama ya ndege, ambayo hata akienda mtu mmoja gharama ya mafuta iko pale pale. Hizi ni gharama kubwa?

Hivi ni kuwa hesabu kwenu ngumu sana au hamjui gharama za watumishi wa umma maana mnapiga kelele tu humu.
We jamaa ni pimbi kabisa... hilo dege kutua hapo lusaka ni pesa zaidi ya tsh 30m kama malipo ya parking, bado hujalipa kodi na pesa za malazi. Kwa ujumla 0.5B TSH lazima ipotee.
 
Mama anaupiga mwingi sana. Kamayia hapohapo.mbona mlipokua mnawekwa maofisini wasukuma sisi tulikaa kimya.pumbavuu
 
Suala la pesa sio tatizo maana kuna bilioni 48 za tozo zinapumua kwenye account zinahitaji matumizi

Samia da Gama anazitendea haki kuzitumia tozo, kwenye msafara kaja machavichavi watupu
 
Nani kawaambia kuna kulipwa perdiem kwenye safari hiyo? Wanaondoka kesho na kurudi kesho hiyo hiyo baada ya sherehe ya kuapishwa rais mpya. Gharama ni ya hiyo ndege tu ya kukodi kutoka shirika letu la ATCl ambayo hata angeenda mtu mmoja gharama yake ni hiyo hiyo.

Acheni unafiki. Rais asipo tembelea nchi za nje kelele, akitembelea kelele? Nyie ni wamakonde wa nchale?
 
Mara utasikia ndege imepata itilafu ikadondoka au ukienda kutua misitu ya kongo au Moja kwa Moja kwa matelebani
Na watu hao wote ..wtz watashukuru sana waangalie Sana hicho anachokifanya bila kujali kod zetu na matatizo zetu wtz wanungunika Sana
 
Back
Top Bottom