Uko sahihi utawaachaje Kibajaji na Shaka kwenye msafara kwa mfano?Msafara wa Rais wa nchi si msafara wa mwenyekiti wa HALMASHAURI.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi utawaachaje Kibajaji na Shaka kwenye msafara kwa mfano?Msafara wa Rais wa nchi si msafara wa mwenyekiti wa HALMASHAURI.......
Ndio walivyo sheherekea. Sasa watu wanaupiga kama wote.Unadhani kwakuwa dhalimu kafariki, basi aliyeingia ndio mtetezi wetu?
Wafabiashara wann umeambiwa anakwenda kuhudhuria sherehe za uapisho.Mbaya zaidi kiongozi wa serikali ni mmoja tu, wa ccm ndio wametawala hii ni ziara ya kichama na sio kiserikali... Mama ameweka mbele maslahi ya chama chake kuliko serikali! Nilitegemea kama kuongozana na watu angeongozana na watalaam na baadhi ya wafanyabishara ila leo nimejua mama ni empty kabisa
DuuuhKuna muda unaombea hata hiyo ndege ianguke tu
Watanzania tuache mizaha kwenye mambo ya msingi. Huyu anatumia pesa hovyo, anamfuta machozi nani?Mbona wachache Sana hebu ongeza na wake zao watoto michepuko na walinzi achilia mbali watu wa usafi , kuandaa malazi, watu wa afya, protocol,food testers na nk
Huyu wanachadema wenzagu anatufuta machozi baada ya JPM kuwa hasafiri anafungua nchi ilikuwa kisiwa
USSR
Mama anachojua ni kutupia mitandio, kususa na kuzurura - Dr. BashiruOna huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Safari ya siku moja kwenda na kurudi gharama ni zipi?Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za Watanzania.
View attachment 1905055
Acha mkomeshwe demokrasiA ipi unazungumziA.Chadema majanga mlilewa sana baada ya Magufuli kufariki, vumilieni dawa ikamate mshonoMagufuli pamoja na kasoro zake kwenye mambo mengine, ujinga kama huu hakuwahi kufanya. Kuna mambo Magufuli alifanya vibaya sana (hasa kwenye demokrasia na haki) lakini kuna maeneo alifanya vizuri.
Tungekuwa na Serikali yenye watu wenye akili nzuri na hekima, wangeyaacha mabaya, wangeyalinda mazuri yake.
Wanaoathirika siyo CHADEMA bali.ni Taifa na wananchi wa Tanzania.ßñ4Acha mkomeshwe demokrasiA ipi unazungumziA.Chadema majanga mlilewa sana baada ya Magufuli kufariki, vumilieni dawa ikamate mshono
Aisee komenti ni nyingi sana lakini hii sijui umewaza nini ndugu [emoji23][emoji23][emoji23]Hii corona haiwapati akina mama?