Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Huu Ushauri Watauchukua Ccm Soon Mama Anakwenda Kubembea TaratibuMama akitoka hapo aende Brazil akabrmbee
Huku Tozo Kama Kawaida
Kamua Baba Kamua Baba X 2
Kamua Usitumie Hirizi Kamua X 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Ushauri Watauchukua Ccm Soon Mama Anakwenda Kubembea TaratibuMama akitoka hapo aende Brazil akabrmbee
Anakwenda Na Airbus Ya Watu 120 Hapo JiraniLeo nimekubali yule Mama hamna kitu. Yaani anasema tufunge mkanda lakini anabeba watu kibao kwenye pesa zetu za tozo?
😂😂😂😂Timu ungaunga😂Hivi ana digrii ya nini vilee??
Kama mumeo pia!!Samia is an empty suit…
Pambana na umasikini wako ndugu,huna lakumshauri Rais weweNaunga mkono hoja. Raisi ashauriwe vizuri juu ya gharama za safari zake, ili haya yasijirudie tena kwa safari zingine zijazo.
Kaa kwa kutulia tena ww usilie kabisa ulimponda sana MaguOna huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Nilizania anakwenda na mawaziri kwaajili ya kuwashawishi Zambia wasipitishe mizigo Msumbiji wapitishe zaidi huku,yeye anakwenda na watu wa siasa wengi kwani tuna mapungufu ya wana itikadi? 🙄 🙄Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Hapana jopo analosafiri nalo Zambia tunauingiliano nao kwa nyanja ya usafirishaji nafikiri kwenda na watu wakudumisha ushiikiano nao kibiashara zaidi.Hayati hakusafiri watu wakasema tatizo ni kingereza huyu wa sasa anasafiri watu wanadai gharama ni nyingi wakati chanzo ni tozo!.
Mtanzania akiambiwa hajielewi anarusha ngumi.
Nitajie kiongozi mwanamke aliyewahi kufanya makubwa ktk Dunia hii.
Mambo ya usafirishaji aka it au sio?😂😂Hapana jopo analosafiri nalo Zambia tunauingiliano nao kwa nyanja ya usafirishaji nafikiri kwenda na watu wakudumisha ushiikiano nao kibiashara zaidi.
Kabisa mkuu kuna ICD ilikuwa inatakiwa kujengwa msumbiji au Zambia pale karibu na Mazabuka JK akaipinga sana, sasa hawa badla ya kwenda kugombeaz It kwa wingi wao wanakwenda kutengeneza undugu wa chama 🤣 🤣 🤣Mambo ya usafirishaji aka it au sio?😂😂
Nyani Ngabu acha kudhalilisha suti....maybe ni ovaroliSamia is an empty suit…
Sasa hivi wadanganyika wanahudumia Serikali sio Serikali kuhudumia watu wakeOna huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Mlimuona Magufuli zwazwa sijui leo mnasemaje!!
That man was really a president, mzee alipokuwa anasema yeye ni Rais wa wanyonge hatukumuelewa leo sidhani kama kuna asiyeelewa maneno ya mzee!!
Rip our president, tukukumbuka baba hata mwaka bado [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama anafungua nchi ili sisi bavicha tulionewa sana na yule dhalimu tufaidi!
Alisika taahira mmoja toka ufipa