Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ni fedha za umma.Huyu maza anaenda kushiriki kama M/kiti wa CCM au kama Raisi wa nchi? Zinatumika kodi zetu au ni fedha za chama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni fedha za umma.Huyu maza anaenda kushiriki kama M/kiti wa CCM au kama Raisi wa nchi? Zinatumika kodi zetu au ni fedha za chama?
Ha ha haAnaaibisha sana watu wanaovaa miwani.
Nikikumbuka ulivyokuwa unamponda mwenda zake najisikia kukuhurumia mkuu!Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Waliokwenda japan kwenye Olympic na huu msafara Zambia kwani kuna mtu anayeshindwa kupumuaaa!?Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
JK styleRais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Ndio unajua leo kwamba ccm ndio wanafaidi jasho la walalahoi wa nchi hii.Yaani Kodi zetu zinaenda kuwalipia na wanaccm nauli hayo matumiz mabaya ya kodi zetu
Hivi hii kodi ya majengo tunayolipa tunapolipia umeme huko Zanzibar nako inalipwa?!Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
"Tumeula wa Chuya"....Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Tuliwaambia watakuja kulia kilio kikuu wakati ule hawakutuelewa zamu yao kuliaNikikumbuka ulivyokuwa unamponda mwenda zake najisikia kukuhurumia mkuu!
Mlimuona Magufuli zwazwa sijui leo mnasemaje!!Halafu utakuta anapaa na Airbus ya serikali!! Ndani imejaa makada wa chama chake!! Inahuzunisha na kusikitisha sana.
Wananchi wako wanalia na kusaga meno kwa ongezeko kubwa la kodi, wewe uko busy tu na mambo yako! Huku Waziri wako mteule akiwakejeli wapiga kura!! Sawa!! Si policcm na tumeccm wapo kwa ajili ya kukulinda!! Ila haya yote yana mwisho.
Nitajie kiongozi mwanamke aliyewahi kufanya makubwa ktk Dunia hii.Kwani wanaume huwa hawakosei?
Tangu Uhuru Viongozi walikuwa wanaume na ndio wametufikisha hapa tulipo ambapo maadui bado ni walewale ujinga, maradhi na umaskini...
Umeona eenhh??!!!,Huyu mama hafai kabisa.Nilikuwa simpendi Magufuli Ila sasa namkumbuka.Bora Magufuli mara milioni 100 kuliko huyu mzululaji.Nchi yetu bado masikini sana haitakiwi kufuja fedha za walipa kodi kiasi hiki.Mwenyekiti wa CCM Tanga,Mizengo Pinda,Shaka,Kibajaji wote hao wa nini? Huu ufujaji lazima ukomeshwe.
Tozo Utitiri Sasa Hivi Wanakula Bata Ndani Ya AirbusOna huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.