Rais Samia kasafiri na kundi kubwa la watu, kodi za Watanzania zinatumiwa vibaya

Sio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.

Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.
Wacha watanzania wakome, mlimtukana sana mzee wa watu. Ngoja apumzike Kwa amani [emoji24] ya Bwana. Alisema tutamkumbuka. Tunazidi kumlilia tu
 
Wanawake ni matatizo toka walipoimbwa,kulikataa hilo ni kwenda against nature.Rais gani wa kiume ulimukna amekusanya Viongozi wa Chama na Wanachana akaenda nao kwenye safari ya Kiserikali?
 
Magufuli alituumiza sana Watumishi wa umma! Hilo halito sahaulika kamwe kwenye akili yangu!
Miaka sita ya bila promotioni kwa kisingizio cha kununua ndege, ilituvuruga sana watumishi wa umma.

By the way, ccm ni ile ile! Hivyo hakuna jipya! Maendeleo ya kweli yatapatikana mara tu ccm itakapotoka madarakani.
 
We jamaa ni pimbi kabisa... hilo dege kutua hapo lusaka ni pesa zaidi ya tsh 30m kama malipo ya parking, bado hujalipa kodi na pesa za malazi. Kwa ujumla 0.5B TSH lazima ipotee.
 
Mama anaupiga mwingi sana. Kamayia hapohapo.mbona mlipokua mnawekwa maofisini wasukuma sisi tulikaa kimya.pumbavuu
 
Suala la pesa sio tatizo maana kuna bilioni 48 za tozo zinapumua kwenye account zinahitaji matumizi

Samia da Gama anazitendea haki kuzitumia tozo, kwenye msafara kaja machavichavi watupu
 
Hizi dharau tuu .akirudi uta sikia kaibukia somalia kama sio afghastan
 
Nani kawaambia kuna kulipwa perdiem kwenye safari hiyo? Wanaondoka kesho na kurudi kesho hiyo hiyo baada ya sherehe ya kuapishwa rais mpya. Gharama ni ya hiyo ndege tu ya kukodi kutoka shirika letu la ATCl ambayo hata angeenda mtu mmoja gharama yake ni hiyo hiyo.

Acheni unafiki. Rais asipo tembelea nchi za nje kelele, akitembelea kelele? Nyie ni wamakonde wa nchale?
 
Mara utasikia ndege imepata itilafu ikadondoka au ukienda kutua misitu ya kongo au Moja kwa Moja kwa matelebani
Na watu hao wote ..wtz watashukuru sana waangalie Sana hicho anachokifanya bila kujali kod zetu na matatizo zetu wtz wanungunika Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…