Rais Samia kasema kosoeni serikali, Ndugai alipokosoa nini kilifuata?

Rais Samia kasema kosoeni serikali, Ndugai alipokosoa nini kilifuata?

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Hizi ni siasa za kushangiliana bila kuulizana maswali, lakini miezi michache iliyopita huyu huyu Samia alichochea kuchukiwa kwa Spika, ambaye ni mbunge alipokosoa tabia ya serikali kukopa. Jana kasema huenda chawa wake watakuvamia ukitumia matusi kumkosoa, mbona Ndugai alipomkosoa alishirikiana na hao chawa wake kumshambulia mkosoaji?

Kwa vyama vya siasa muliokuwepo mkutanoni, fahamuni hiyo ni kunyamazisha mambo ili yake yafanikiwe. Ina maana siku mukisema anawapa vyeo wasiostahili mutaambiwa ni matusi. Mukisema mawaziri wake wanachota pesa ya serikali na kujenga vituo vya mafuta, itakuwa ni matusi. Majukwaani mutasema nini kinachovumilika kwa rais huyu?
 
Hizi ni siasa za kushangiliana bila kuulizana maswali, lakini miezi michache iliyopita huyu huyu Samia alichochea kuchukiwa kwa Spika, ambaye ni mbunge alipokosoa tabia ya serikali kukopa. Jana kasema huenda chawa wake watakuvamia ukitumia matusi kumkosoa, mbona Ndugai alipomkosoa alishirikiana na hao chawa wake kumshambulia mkosoaji?

Kwa vyama vya siasa muliokuwepo mkutanoni, fahamuni hiyo ni kunyamazisha mambo ili yake yafanikiwe. Ina maana siku mukisema anawapa vyeo wasiostahili mutaambiwa ni matusi. Mukisema mawaziri wake wanachota pesa ya serikali na kujenga vituo vya mafuta, itakuwa ni matusi. Majukwaani mutasema nini kinachovumilika kwa rais huyu?
Labda chawa wake walimshurutisha kuchukua maamuzi.
 
Hizi ni siasa za kushangiliana bila kuulizana maswali, lakini miezi michache iliyopita huyu huyu Samia alichochea kuchukiwa kwa Spika, ambaye ni mbunge alipokosoa tabia ya serikali kukopa. Jana kasema huenda chawa wake watakuvamia ukitumia matusi kumkosoa, mbona Ndugai alipomkosoa alishirikiana na hao chawa wake kumshambulia mkosoaji?

Kwa vyama vya siasa muliokuwepo mkutanoni, fahamuni hiyo ni kunyamazisha mambo ili yake yafanikiwe. Ina maana siku mukisema anawapa vyeo wasiostahili mutaambiwa ni matusi. Mukisema mawaziri wake wanachota pesa ya serikali na kujenga vituo vya mafuta, itakuwa ni matusi. Majukwaani mutasema nini kinachovumilika kwa rais huyu?
Kipindi cha Ndugai alikuwa hajaruhusu kukosoa, ni kama mikutano ya kisiasa. Ila job nae zezeta alishindwa kusimamia anachoamini
 
Hata ww hutegemei mkeo akukosoe mtaani wakati mpo nae kila siku mnalala pamoja chumbani
 
Lugha ya kisiasa hiyo ila kiuhalisia hakuna mtawala wa ngozi nyeusi anaye penda kukosolewa!!


Tofauti ni yule alikuwa na kipara na huyu Sasa anavaa ushng!!! 😀😀😀
 
Hata ww hutegemei mkeo akukosoe mtaani wakati mpo nae kila siku mnalala pamoja chumbani
Mfano hovyo huu! Ndugai ni Mbunge na alikuwa jimboni kwake akizungumza na wapiga kura wake. Ndugai hakuwa na nafasi serikalini. au una maana Huko kukosoa ni wasio wana CCM tu?
 
Mfano hovyo huu! Ndugai ni Mbunge na alikuwa jimboni kwake akizungumza na wapiga kura wake. Ndugai hakuwa na nafasi serikalini. au una maana Huko kukosoa ni wasio wana CCM tu?
Wana ccm wenye hadhi ya ndugai ni sehemu ya utendaji wa ccm.
 
Lazima ufahamu ndugai alikuwa kwenye system kwa hivyo ukosowaji wake ulitakiwa aufanye kwenye vikao vyao vya chama au vya serikali co kwenye hadhara,wanapaswa kukosowa hadharani ni sisi tulionje ya system ,kwa hivyo ujuwe kwamba ndugai hakuonewa na amejiuzulu mwenyewe baada ya kuona kwamba alifanya makosa ya kiutendaji.
 
Mnafiki mwingine huyu hapa👇
Screenshot_20230104-091037.jpg
 
Kama ni Spika, Ndugai alikuwa ni Serikali. Mama hajasema Serikali ikosowe Serikali!
 
Hizi ni siasa za kushangiliana bila kuulizana maswali, lakini miezi michache iliyopita huyu huyu Samia alichochea kuchukiwa kwa Spika, ambaye ni mbunge alipokosoa tabia ya serikali kukopa. Jana kasema huenda chawa wake watakuvamia ukitumia matusi kumkosoa, mbona Ndugai alipomkosoa alishirikiana na hao chawa wake kumshambulia mkosoaji?

Kwa vyama vya siasa muliokuwepo mkutanoni, fahamuni hiyo ni kunyamazisha mambo ili yake yafanikiwe. Ina maana siku mukisema anawapa vyeo wasiostahili mutaambiwa ni matusi. Mukisema mawaziri wake wanachota pesa ya serikali na kujenga vituo vya mafuta, itakuwa ni matusi. Majukwaani mutasema nini kinachovumilika kwa rais huyu?
 
Mfano hovyo huu! Ndugai ni Mbunge na alikuwa jimboni kwake akizungumza na wapiga kura wake. Ndugai hakuwa na nafasi serikalini. au una maana Huko kukosoa ni wasio wana CCM tu?
Unawezaje kusema Ndugai hakua na nafasi serikalini?
Nikweli hakua na nafasi serikalini lakini, alikua mkuu wa mhili mkubwa , wenye jukim la kuisimamia serikali.

Kumbuka kanuni za bunge zimetoa Kinga kwa mbunge yeyote ,achana na sipika ,hata mbunge wakawaida , kutohojiwa kwa Yale atakayo ya sema akiwa Bungeni.

Sipika Ndugai kama kiongozi wa bunge , alikua na na nafasi nzuri ya kuionya /kuishauli /kuiwajibisha/ serikali, akiwa ndani ya Bunge kupitia njia mojawapo.

1: Angeweza kumuagiza waziri wa fedha kupitia kale kakipengere ka kauli za Serikali.

2: Angeweza kumtuma mbunge yeyote wapenyeze hoja binafsi na WA kaijadli nakutoa azimio la bunge kama chombo.

3; Pamoja na hayo yote, katiba imempa mamlaka ya kuitisha kura, ya kutokua na Imani na Rais.

Vyote hivyo akaviacha , akachagua kwenda kulia kongwa kwa wazee.
Kwa udhaifu huo Ndugai hasitahili kuhulumiwa Wala kuwa kwenye record zawatu waliowahi kuonewa na watawala.
 
Back
Top Bottom