Rais Samia kasema kosoeni serikali, Ndugai alipokosoa nini kilifuata?

Rais Samia kasema kosoeni serikali, Ndugai alipokosoa nini kilifuata?

Unawezaje kusema Ndugai hakua na nafasi serikalini?
Nikweli hakua na nafasi serikalini lakini, alikua mkuu wa mhili mkubwa , wenye jukim la kuisimamia serikali.

Kumbuka kanuni za bunge zimetoa Kinga kwa mbunge yeyote ,achana na sipika ,hata mbunge wakawaida , kutohojiwa kwa Yale atakayo ya sema akiwa Bungeni.

Sipika Ndugai kama kiongozi wa bunge , alikua na na nafasi nzuri ya kuionya /kuishauli /kuiwajibisha/ serikali, akiwa ndani ya Bunge kupitia njia mojawapo.

1: Angeweza kumuagiza waziri wa fedha kupitia kale kakipengere ka kauli za Serikali.

2: Angeweza kumtuma mbunge yeyote wapenyeze hoja binafsi na WA kaijadli nakutoa azimio la bunge kama chombo.

3; Pamoja na hayo yote, katiba imempa mamlaka ya kuitisha kura, ya kutokua na Imani na Rais.

Vyote hivyo akaviacha , akachagua kwenda kulia kongwa kwa wazee.
Kwa udhaifu huo Ndugai hasitahili kuhulumiwa Wala kuwa kwenye record zawatu waliowahi kuonewa na watawala.
Tatizo lako wewe umtoa maoni yanayomhusu Ndugai tuuuu! Kuwa mkweli, sema pia yanayomhusu Samia kama rais wa nchi na jinsi alivyoonesha tabia ya kukosa uvumilivu na kuanza kuzungumza kama Hadija Koppa wa taarabu. Na si mara ya kwanza yeye kufanya hivyo. Kumbuka alivyosema waziri wa kilimo wakati ule Prof. Mkenda kwamba aliyoyafanya ni nonsense!

Kwa ujumla yote anayoyafanya, yeye ni nonsensical zaidi. Anaposema uvumilivu ni kuwavumilia wanaomkosea ikiwa ni pamoja na akina Ndugai. Kama hawezi lazima tusema ni useless leader, nonstarter!
 
Yule Karma imepita naye Kwa kumnyima Lisu haki yake ya msingi imepitia njia Ile Ile. Wanaopaswa kuikosoa serikali walio nje ya mihimili 3 tofauti na hapo utavamiwa na chawa wa Mama, pitishia hoja zako kwa wasio kuwa hao kisha kaa ukishuhudia malumbano(sasa wapinzani maadui kwako hoja utampa Nani kwa usiri zaidi ya kujivisha miwani ya mbao wajuba wanapita na wewe no time).
 
Back
Top Bottom