Rais Samia, Katiba Mpya ndio suluhu ya matatizo ya Watanzania

Siku ya mwisho kila goti litapigwa , mmekwishaanza kujianika , Mamluki wakubwa nyie .

Wewe tulikuonya mapema sana lakini ulitoa mapovu yenye matusi , kiko wapi sasa ?
 
Kenya walipambania Katiba Mpya wakapoteeza feedha nyingi sana kwa hilo zoezi, matokeo yake mambo ni yale yale, ufisadi ni ule ule.

Katiba mpyaa sio solution ya matatizo ya mtanzania. Siku watu wotee tukibadili mindset basi taifa litasonga.
Kenya unataka kuilinganisha na utopolo gani hapa EA?
 
Usijidanganye mkuu, Katiba mpya kenya imeleta mabadiliko makubwa. Kwamba ufisadi ni uleule sio kweli. Hukusikia Dci wa Kenya alifungwa kwa kudharau mahakama? Lini umesikia scandal za ufisadi Kenya kama miaka ya utawala wa Moi.
Kaangalie walivyogawana fedha za Covid kisha rudi hapa. Mambo Kenya yapo vile vile, utofauti upo kwenye namna tu viongozi wakubwa wanavyopatikana.
 
Kenya walipambania Katiba Mpya wakapoteeza feedha nyingi sana kwa hilo zoezi, matokeo yake mambo ni yale yale, ufisadi ni ule ule.

Katiba mpyaa sio solution ya matatizo ya mtanzania. Siku watu wotee tukibadili mindset basi taifa litasonga.
Wewe jitafakari zaidi. Huna tofauti kifikra kama yule mtu anaeamini kuwa raia kwakibadili mindset zao basi hakuna haja ya kuwa na Polisi wala Mahakama.
 
Wewe jitafakari zaidi. Huna tofauti kifikra kama yule mtu anaeamini kuwa raia kwakibadili mindset zao basi hakuna haja ya kuwa na Polisi wala Mahakama.
Upo sawia kabisa....huoni finland wanafikiria magereza ni ya kazi gani, simply because hakuna wafungwa. Mkibadili mindset mnapata maendeleo, sio katiba
 
Pumbavu mkubwa achana na mimi.
Huku kwetu watu huwa huwa hawamshambulii mtu individual Bali hushambulia hoja aliyoitoa.

Jifunze kujenga hoja wachangiaji watakuelewa. Viwanda vya matusi kejeli na mipasho waachie wenyewe Kule ulikotoka.
 
Mwalimu Nyerere alipigania Uhuru wa nchi yetu na kufanikiwa tukamwita Baba wa Taifa.
Mama akifanikisha kupatikana katiba inayotokana na mapendekezo yaliyowasilishwa na iliyokuwa Tume ya kukusanya maoni chini ya Warioba napendekeza tumuuite Mama wa Taifa.
Au mnasemaje ndugu zangu?
 
Kama na humo mwenu mmeanza kuelewa maana ya "KATBA MPYA YA WANANCHI". Basi kumbe karibu patapambuzuka
 
kabla hata mwaka mmoja haujaisha, Rais Samia ameitupilia mbali Katiba ya Wananchi (aka Katiba ya Warioba), sasa anataka kuja na katiba yake ya mchongo anayoijua yeye mwenyewe:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…