sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Sheria gani inayomruhusu kwenda mahakamani baada ya uamuzi wa Rais?Mh Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa amenukuliwa vibaya kwani rufaa ni utaratibu wa kisheria. Na baada ya maamuzi ya Mh Rais kama mhusika hajarizika sheria inamruhusu kwenda Mahakani.