Rais Samia: Kesi ikishatupwa na Tume ya Utumishi wa Umma isiletwe kwangu

Rais Samia: Kesi ikishatupwa na Tume ya Utumishi wa Umma isiletwe kwangu

Siku ya kuwaapisha ma-Katibu Wakuu wa Mikoa siku ya tarehe 2 June 2021 Ikulu ya Chamwino Mh. Rais alitamka kwamba atashangaa Mtumishi wa Umma kumuona anakata Rufaa kwake kama Rais pale inapotokea Tume ya Utumishi wa Umma inatupilia mbali kesi ya mtumishi.

Nilipoyasikia maneno hayo kutoka kwenye kinywa cha Mh. Rais nilipigwa na butwaa! Nikajiuliza kuwa hivi kuna shida gani inayowakumba watawala wa nchii hii kiasi cha kwamba hawajui maana ya haki na upatikanaji wake? Nikajiuliza kuwa aaaaaaa na Samia tena ambae tunaona ni tumaini letu!

Pia nikajiuliza kuwa:

1. Hivi Mh. Rais hajui madudu yanayofanyika na Tume ya Utumishi wa Umma dhidi ya kesi zinazopelekwa pale Tume?

2. Hivi Mh. Rais hajui kuwa Tume ya Utumishi inahujumu haki ya watumishi kwa kuungana na waajiri wasiokuwa na maadili?

3. Hivi Mh. Rais hakumbuki kuwa watu wameilalamikia sana hii Tume juu kupora haki ya watumishi wanaopeleka rufaa zao pale Tume

4. Hivi Mh. Rais hajui kuwa yeye ndo mwenye mandate ya watumishi na taasisi zake zoote kisheria?

5. Hivi Mh. Rais hajui kwamba kwa maneno aliyoyatoa siku ile tena mbele ya watendaji wake ana pre-empty baadhi ya kazi ya uchambuzi wa hizo rufaa zilizokwishafanywa na watendaji wake Mh. Rais?

6. Hivi Mh. Rais hajui kuwa kwa maneno aliyoyatoa siku ile anaondoa maana na umuhimu wa dhana ya checks and balances kwenye utendaji? Ni sawa na kusema kuwa uamuzi uliofanywa na mahakama za chini haina haja ya kuukatia rufaa kwenye mahakama za juu!

Mwisho, najua Mh. Rais alipotoka tu katika hili, washauri wa Mh. Rais wajitahidi kumshauri Rais ili kuondoa kutokea kwa sintofahamu katika jamii hivyo kuondoa matumaini waliyokuwa nayo watumishi.

Asante.
Nilimdharau na kumchukia sana kwa kauli ile upeo mdogo sana sana
 
Siku ya kuwaapisha ma-Katibu Wakuu wa Mikoa siku ya tarehe 2 June 2021 Ikulu ya Chamwino Mh. Rais alitamka kwamba atashangaa Mtumishi wa Umma kumuona anakata Rufaa kwake kama Rais pale inapotokea Tume ya Utumishi wa Umma inatupilia mbali kesi ya mtumishi.

Nilipoyasikia maneno hayo kutoka kwenye kinywa cha Mh. Rais nilipigwa na butwaa! Nikajiuliza kuwa hivi kuna shida gani inayowakumba watawala wa nchii hii kiasi cha kwamba hawajui maana ya haki na upatikanaji wake? Nikajiuliza kuwa aaaaaaa na Samia tena ambae tunaona ni tumaini letu!

Pia nikajiuliza kuwa:

1. Hivi Mh. Rais hajui madudu yanayofanyika na Tume ya Utumishi wa Umma dhidi ya kesi zinazopelekwa pale Tume?

2. Hivi Mh. Rais hajui kuwa Tume ya Utumishi inahujumu haki ya watumishi kwa kuungana na waajiri wasiokuwa na maadili?

3. Hivi Mh. Rais hakumbuki kuwa watu wameilalamikia sana hii Tume juu kupora haki ya watumishi wanaopeleka rufaa zao pale Tume

4. Hivi Mh. Rais hajui kuwa yeye ndo mwenye mandate ya watumishi na taasisi zake zoote kisheria?

5. Hivi Mh. Rais hajui kwamba kwa maneno aliyoyatoa siku ile tena mbele ya watendaji wake ana pre-empty baadhi ya kazi ya uchambuzi wa hizo rufaa zilizokwishafanywa na watendaji wake Mh. Rais?

6. Hivi Mh. Rais hajui kuwa kwa maneno aliyoyatoa siku ile anaondoa maana na umuhimu wa dhana ya checks and balances kwenye utendaji? Ni sawa na kusema kuwa uamuzi uliofanywa na mahakama za chini haina haja ya kuukatia rufaa kwenye mahakama za juu!

Mwisho, najua Mh. Rais alipotoka tu katika hili, washauri wa Mh. Rais wajitahidi kumshauri Rais ili kuondoa kutokea kwa sintofahamu katika jamii hivyo kuondoa matumaini waliyokuwa nayo watumishi.

Asante.
Unamatumaini na Samia kweli? Unaakili timamu?
 
Ohoooo kwani nchi haina Labour Court?au commission ya usuluhishi?kama hatuna ni muhimu tuwe na taasisi hizi mbili na kwa president sio jukumu lake kabisa
Jukumu la Rais ni lipi kama sio kusimamia haki ya watu wake.
 
Bila katiba mpya tutapata shida haswa kwa hawa watawala wa CCM, dawa yao ni kuwaendea kwa waganga wa kienyeji mnamalizana bila lawama.
Mh Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa amenukuliwa vibaya kwani rufaa ni utaratibu wa kisheria. Na baada ya maamuzi ya Mh Rais kama mhusika hajarizika sheria inamruhusu kwenda Mahakani.
 
Sasa Naanza Kuelewa Umuhimu wa katiba Mpya....
Mwanzo sikuona Umuhimu kwasababu Niliona Hata Katiba Mpya Ikiwepo Na Aliekuwepo asipoitekeleza nani atamfanya nini?
Haya yalikuwa Mawazo yangu!
Kwamba Unaweza kuwa na Katiba Mpya na Kama Haifuatwi?
Yaani unaweza kuwa na Katiba ya sasa na Haifuatwi sasa utadai Mpya ili iweje?
Huu ni Mfano tuu!
PIA Nadhani Tume haiko independent,Inaogopa Gharama kama Mtumishi Ana Haki...Yaani Kurejeshewa stahiki zake...
Wanaona hiyo hasara italipa Serikali,Na Serikali inawakilishwa na Tume!
Soma Paragraph hii ya Mwisho Utaelewa ndio kwenye ujumbe Mzito kwanini Tume inaogopa/
Sababu ni Part and Parcel ya Serikali Yaani Kuna Link kati ya Utumishi na Tume!
Mfano Kenye Judge yuko Independent uneona Juzi Jaji Mkuu Mwanamke kamuonya Kenyatta Kuchagua Majaji waliobaki kwa Mujibu wa Katiba!
Hapa Kwetu Vyombo hivyo Haviko Independent 100%
Fuatilia wapo watu wameshinda rufaa zao tume na kurejeshwa kazini na kulipwa stahiki zao zote, ukiona hilo halijafanyika ujue huyo mtu hakustahili. Mambo yote yanafanyika kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu.
 
Fuatilia wapo watu wameshinda rufaa zao tume na kurejeshwa kazini na kulipwa stahiki zao zote, ukiona hilo halijafanyika ujue huyo mtu hakustahili. Mambo yote yanafanyika kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu.
Tume ya Utumishi wa Umma ni tatizooo!!!

Tume ya Utumishi wa Umma inafanya kazi like old school.

Imekuwa na kasumbua ya kutupilia mbali rufaa za watumishi ambazo background yake ni genuine kabisa.

Tume imekuwa iki-collude na waajiri wasiokuwa na maadili kukandamiza haki za watumishi.

Tume ingekuwa inafanya kazi yake kwa weledi wala kusingekuwa na inflow kubwa ya rufaa kwa Mh. Rais.

Tume ya Utumishi wa Umma iko;

1. Very defensive and selfish

2. Customer is very poor to the maximum

3. They are very poor katika kutoa mrejesho

4. Wamekuwa na tabia kurushiana sana, they are not coordinated at all

5. Uchambuzi wa rufaa za watumishi hauko makini pale Tume

Mh. Rais aiangalie hii ofisi, this is very serious!!
 
Tume ya Utumishi wa Umma ni tatizooo!!!

Tume ya Utumishi wa Umma inafanya kazi like old school.

Imekuwa na kasumbua ya kutupilia mbali rufaa za watumishi ambazo background yake ni genuine kabisa.

Tume imekuwa iki-collude na waajiri wasiokuwa na maadili kukandamiza haki za watumishi.

Tume ingekuwa inafanya kazi yake kwa weledi wala kusingekuwa na inflow kubwa ya rufaa kwa Mh. Rais.

Tume ya Utumishi wa Umma iko;

1. Very defensive and selfish

2. Customer is very poor to the maximum

3. They are very poor katika kutoa mrejesho

4. Wamekuwa na tabia kurushiana sana, they are not coordinated at all

5. Uchambuzi wa rufaa za watumishi hauko makini pale Tume

Mh. Rais aiangalie hii ofisi, this is very serious!!
.......customer service is very poor pale Tume. Wafanyakazi hawako coordinated at all wamekuwa wakirushiana mpira pale inapotokea kuwa mtumishi anafuatilia jambo lake
 
Magufuli ndiye aliyedababisha kesi nyingi za madai dhidi ya Serikali kwa kuwa alikuwa siyo mtu anayefuata taratibu katika kuwachisha watumishi kazi. Tanzania hatamsahau kwa UDIKTETA wake
Sisi wengine tutamkumbuka Magufuli kwa kuwafanya watanzania waache kuishi maisha ya mission town
 
Mh Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa amenukuliwa vibaya kwani rufaa ni utaratibu wa kisheria. Na baada ya maamuzi ya Mh Rais kama mhusika hajarizika sheria inamruhusu kwenda Mahakani.
Nafikili ni muda muafaka wa kubadilisha sheria za utumishi katika nchi hii hasa katika suala la kutafuta haki kwa watumishi wa umma maana kwa utaratibu uliopo serikali imekuwa ikitake advantage ya kukandamiza haki ya mtumishi

Haiwezekani miaka kibao rufaa ya mtumishi wa umma inapigwa danadana kwenye ofisi ya Tume na kwa KMK

La sivyo kama ni hivyo Serikali iifute Tume ya Utumishi wa Umma ili watuimishi wapeleke case zao moja kwa moja High Court ili haki ndo ipatikane huko

Serikali imefeli sana katika hilo na imejiingiza katika kukandamiza haki za watumishi unnecessarily, watumishi wanapotezewa muda mwingi sana kwenye maeneo hayo mawili!

HAKI HUINUA TAIFA BALI DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOWOTE!!!
 
Tume ya Utumishi wa Umma ni tatizooo!!!

Tume ya Utumishi wa Umma inafanya kazi like old school.

Imekuwa na kasumbua ya kutupilia mbali rufaa za watumishi ambazo background yake ni genuine kabisa.

Tume imekuwa iki-collude na waajiri wasiokuwa na maadili kukandamiza haki za watumishi.

Tume ingekuwa inafanya kazi yake kwa weledi wala kusingekuwa na inflow kubwa ya rufaa kwa Mh. Rais.

Tume ya Utumishi wa Umma iko;

1. Very defensive and selfish

2. Customer is very poor to the maximum

3. They are very poor katika kutoa mrejesho

4. Wamekuwa na tabia kurushiana sana, they are not coordinated at all

5. Uchambuzi wa rufaa za watumishi hauko makini pale Tume

Mh. Rais aiangalie hii ofisi, this is very serious!!
Sio kuingalia, kama hawafai, wapigwe chini tu
 
Magufuli alikuwa mchamungu feki, alikuwa kwenye msafara wake anaenda na kundi la waganga, wasukuma washamba sana nyinyi
Umewahi kujiuliza Uganga ulitoka kwa nani?shetani au Mungu???NENDA KASOME THE BOOK OF ENOCH UONE MALAIKA WALIOTUMWA NA MUNGU WANAVO WAFUNDISHA BINADAM WA ENZI HIZO UGANGA,UCHAWI,KUTENGENEZA SILAHA,VIOO,NGAO ZA CHUMA ZA KUVAA VIFUANI HADI KUKUSANYA DAWA ZA MITI NA MIZIZI NA TIBA ZAKE!!!!PIA UTAJIFUNZA KUWA NUHU ALIMPATIA KITABU SHEM KILICHO NA DAWA ZOTE NA MAGONJWA YOTE DUNIANI!NA KUMBUKA SHEM NI BABA WA WAZUNGU ANAEISHI NCHI ZA BARIDI HADI LEO!!!!
 
Kama atakaua anatoa maamuzi tofauti na ya tume hiyo tume ina maana gani?
 
Back
Top Bottom