Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kwanza, rais kasemaje?Kama seria unasema rufaa iende kwa rais , hakuna jinsi mama azipokee na azitolee maamuzi. There is no way mhe. Mama Rais wa JMT akwepe utekelezaji wa sheria iliyotungwa na bunge,itakuwa ni ukiukwaji wa katiba. Ninajiuliza kama marais walipoita wangesoma mahakama ikishahukumu mtu anyongwe , msilete faili mezani kwangu kusubiri msamaha wa rais,ni wananchi wengi wangeishanyongwa. Lakini sheria ilitungwa vile wakijua rais kama binadamu anaweza akamhurumia mkosaji. Lakini kubwa zaidi kesi ya mtumishi wa umma dhidi ya mwajiri ni ya watu wawili ambapo mwajiri ni mwenyenacho na mtumishi asiyekuwa nacho . Matokeo ni kuwa mtumishi ataminywa tu . Duniani anasadikiwa ni 3 asilimia ya binadamu hawawezi kula rushwa na kupindisha sheria majjaji wakiwemo. Rais asikwepe kupokea na kutoa misamaha akijridhisha mnyonge akionewa .Kwanza uongozi bora ni pale ubinadamu unapotumika kupendelea mnyonge kuliko uache sheia ichukue mkondo, mwanasiasa mahiri kama Samia asijinyime fursa ya kusomesha ubinadamu wake. Akikaa na na washauri wake abao anao si haba watamshauri apokee hizo kesi, nina imani ni ugeni kwenye urais . Mfano ambao nimempenda, kea miezi hii mitatu ameacha kuitumia maneno ( mtalitazama, sijui mtafanyaje, mtaamua nk.) Ameanza kuitumia ninawaagiza, nwatakeni fanya hivi, .Hii ndio kauli ya rais kureflect mamlaka aliyonayo, kule mwanzo alikuwa analalamikia mifumo kama sisi raia wa kawaida. Na kwa vile ni msomaji wa social media amebadilika kama tulivyomuomba anaamuru, . Nina imani kubwa kea Samia ,ana international exposure kubwa, atatuvusha akiwa na mchumi binges Mpango kama mshauri mkuu na Majaliwa kama msimamizi mkuu lengo kuu la hayati JPM,(RIP.) litazibika.
Tuhakiki maneno aliyosema kwanza.