Kisheria, rufaa dhidi ya Uamuzi wa Tume ya Utumishi wa Umma inapelekwa kwa Mhe. Rais. Kwa kuwa watumishi wataendelea kufuata sheria, rufaa zitaendelea kupelekwa kwa Mhe. Rais. Labda kama rufaa husika 'hazitafika' au kufanikiwa ziendako.
Nadhani Tume haiko independent,Inaogopa Gharama kama Mtumishi Ana Haki...Yaani Kurejeshewa stahiki zake...
Wanaona hiyo hasara italipa Serikali,Na Serikali inawakilishwa na Tume!