Rais Samia: Kila mmoja alipe kodi anayostahili kulipa

Rais Samia: Kila mmoja alipe kodi anayostahili kulipa

ingawa hakuna 'quid pro quo' kati ya ulipaji kodi na matumizi yake lakini ahakikishe ubadhirifu unapungua kama si kuisha kwenye mali za umma.
 
ephen_ njoo huku, akitoka Ruvuma atapita hapo Liwale Mkoa wa Lindi usikae mbali
 
quid pro quo
Mkalimani wako wa lugha zisizo rasmi na lugha za alama ikiwemo misamiati na Maneno magumu ya kisheria sasa nimekufikia.

Hilo Neno "Quid Pro Quo" ni Neno la kisheria lenye kumaanisha "Nothing Goes For Nothing " yaani ni km vile JK alisemaga "ukipenda Kula basi na Wewe lazima uliwe" hio ndio "Quid Pro Quo"

Ni Mimi Mimi Mkalimani wako wa lugha zisizo rasmi, lugha za alama, kufichua maneno yasiyoeleweka na misamiati isiyokua na maana Lethergo
 
Back
Top Bottom