Rais Samia: Kilimo ndiyo fursa kubwa ya ajira

Rais Samia: Kilimo ndiyo fursa kubwa ya ajira

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Huu ndio uongozi

========

"Sensa ya hivi karibuni inaonesha vijana ni takribani asilimia 34 ya watu wote milioni 61 na hali hii inaleta changamoto nyingi, kama ukosefu wa ajira na nyinginezo. Kwahiyo tumefikiri wanaweza kuingizwa kwenye uzalishaji kwenye sekta ya kilimo na tumeanza kutengeneza mazingira mazuri kwa wao kuvutiwa na kilimo na biashara ya kilimo."

Rais Samia ameyasema hayo akiwa katika kikao cha Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Usalama wa Chakula kilichofanyika huko nchini Senegal.

 
Kama ni fursa kwa nini mkulima mnashindwa kumpa mkopo wakujiendesha.

Leo mkulima ana heka zaidi ya 100 ila kukopeshwa afanane mkulima wa kisasa ni ngumu.

CCM ni mtaji wenu kuwatumia wakulima.
 
kama ni fursa kwa nini mkulima mnashindwa kumpa mkopo wakujiendesha.

leo mkulima ana heka zaidi ya 100 ila kukopeshwa afanane mkulima wa kisasa ni ngumu.

ccm ni mtaji wenu kuwatumia wakulima
Tumewapa soko zuri wape miaka 2 wala hawahitaji mikopo. Si umesikia watu wanalia hata bei ya mchicha imepanda- hiyo hela imeenda kwa mkulima
 
Back
Top Bottom