Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Chizi ni wewe unayejifanya unajua kumbe ni KANJANJA , hiyo inachekesha unapitwa na mtoto wa form two, katika somo la uraia civics anajua kuliko wewe.Huna akili chizi ww! Waziri mkuu ni wanne kimamlaka weka hili akilini!
Na ndiyo maana hata magari ya escort yapo hv;
1.Rais wa JMT (escort 1)
2.Makamu wa rais JMT(escort2)
3.Rais wa Zanzibar(escort3)
4.Waziri mkuu wa JMT(escort4)
ww inavyoonekana hata la saba hujafika
Nenda form two civics TOPIC YA GOVERNMENT, maana katiba kwako ni shida hutoielewa.
Unakomaa na magari bya escort, hizo ni taratibu za kukiuka wazi order of seniority.
Naona upo hapo ulipo kwa kubebwa, kifupi wewe ni mweupe sana kuliko Bambo, Kingwendu na Mtanga, wapo vizuri kuliko wewe.
Avoid to show your ignorance bro, unaabisha sana huko uliko.
Swali la Mwisho ,wewe ulienda shule KUSOMEA UJINGA???🤣😅🤔🤣