Rais Samia: Kisiasa tupo vizuri, leo wanangu wamejipanga na Mabango yao nikawaambia nimewaona, nikawapungia Mkono

Kwa kweli ile hali tuliyokuwa nayo chini ya Magufuli ilikuwa inatisha. Hata ukifanya jogging, tayari Polisi Hawa hapa. Wale waliovaa fulana za "PRAY FOR LISSU", habari yake waliipata kwa Polisi. He, Mungu amesaidia mama anarejesha mshikamano na utulivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…