MANGANAATAU MATHITHINYANA
Senior Member
- Mar 17, 2022
- 101
- 97
Labda sisi ndio tumeanza kwa kumuita mama.Hii tabia ya kuita watu WANANGU imetoka wapi. Wanae anao nyumbani kwake nawengine tuna wazazi wetu asituyumbishe kutaka kutawala familia za watu! Abaki na nafasi yake kama Rais wa nchi.
Acha kuwaita watu Wanangu hakuna anakula kwako!.
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Unataka nyongeza kidogo 🤣Mkuu mbona plain sana!
Inawezekana mkuuKumbe unasumbuliwa na ujana tu! Unadhani kumuita mtu usiyemjui mjinga na kumwambia kuwa hajui kitu kuna kuongezea kijiheshima fulani!
Amandla...
Mkuu sasa? Umeniita mjinga, bwege, nyambaf n.k. sasa Mkuu!Inawezekana mkuu
Kwa kweli ile hali tuliyokuwa nayo chini ya Magufuli ilikuwa inatisha. Hata ukifanya jogging, tayari Polisi Hawa hapa. Wale waliovaa fulana za "PRAY FOR LISSU", habari yake waliipata kwa Polisi. He, Mungu amesaidia mama anarejesha mshikamano na utulivu.Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.
Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.
"Nimeunda timu ndani ya vyama vya siasa, tumeweka Jeshi la Polisi, viongozi wa dini, taasisi za kijamii, watajadili mambo ambayo wamepanga, kuna chama cha siasa kimoja bado hakijakubali bado naendelea na mazungumzo nao na nawaelewa kwanini hawajakubali" - Rais @SuluhuSamia.
Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.
Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.
Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya
View attachment 2199573
Sio ImaniNdivyo anavyoamini atleast!
Mkuu, upo?Mkuu mbona plain sana!