Huihui2 JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 7,021 Reaction score 11,475 Aug 30, 2023 #81 Dr Matola PhD said: Kwahiyo mfanyakazi wa TBL akinywa Heineken maana yake bia za TBL ni chafu? Click to expand... Imagine mtu anakukuta wewe Dr Matola PhD na PhD yako umekaa banda umiza na kopo lako la Chibuku!! Mfanyakazi wa TBL akikutwa anakunywa Heineken na ikathibitishwa, anaweza kuchukuliwa hatua za nidhamu
Dr Matola PhD said: Kwahiyo mfanyakazi wa TBL akinywa Heineken maana yake bia za TBL ni chafu? Click to expand... Imagine mtu anakukuta wewe Dr Matola PhD na PhD yako umekaa banda umiza na kopo lako la Chibuku!! Mfanyakazi wa TBL akikutwa anakunywa Heineken na ikathibitishwa, anaweza kuchukuliwa hatua za nidhamu