Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
TRA Tanzania Kama kuna ufafanuzi ni bora kuliko kuonekana ni ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pita pale airport na laptop mbili na simu tatu wa scan wazione utajuta watukuambia nibishara sio person use lipia kodiTRA Tanzania Kama kuna ufafanuzi ni bora kuliko kuonekana ni ukweli.
Na kodi ni himilivu?.Pita pale airport na laptop mbili na simu tatu wa scan wazione utajuta watukuambia nibishara sio person use lipia kodi
Iwezekani hapa kwetu kusiwe na utaratibu mzuri wa free zone, pili mtu kama wewe unaoneka hujui kitu ndio nyie mnauza mizigo ya watu kisha mnasema vijana ni wavivu kujiajiri,Kwahio unataka ukileta mzigo utoe bure au ukae bandarini bure mpaka utakapoamua kuutoa?!
Nakushauri jipange kabla hujaleta mzigo,ukijichanganya utapigwa mnada na kuna watu shughuli Yao ni kununua mizigo ya minada.
ccm nawachukia nikiangalia michezo wanayotuchezea ndani ya nchi yetu basi tu.MAma alianza kazi zamani sana