inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwa kuwa wafu walichangia tofali kwenye maisha ya walio hai leoKwanini unachanganya habari za walio hai na za wafu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa wafu walichangia tofali kwenye maisha ya walio hai leoKwanini unachanganya habari za walio hai na za wafu?
Ni rais wa wapi!?kama kawaida bill wanasimamia wadanganyika halafu mbona haendi na warume wake nani anamkaza huko
Nauli ya ndege ni kiasi gani, na vp gharama za hoteliMoja ya nchi nzuri sana Afrika niliyowahi kuitembelea, Watanzania tunaingia tu na Passport zetu hakuna Visa
Watanzania tuchangamkie cocoa za Ghana ni nzuri sana pia watatusaidia kubuni vazi la taifa.Wakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.
Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.
======
Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.
Hata nini yenyewe haipendi kama anvyopenda safari.Mama anapenda safari kama nini!
Kua na heshima anaza kua kama mama yako hata kama humpendi kama raisikama kawaida bill wanasimamia wadanganyika halafu mbona haendi na warume wake nani anamkaza huko
Kuna shughuli gani ya kiuchumi, kibiashara au kiteknolojia kati ya Tanzania na Ghana?
Ataenda India akotoka Ghana 👇Wakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.
Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.
======
Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.
Rais Samia hajawahi fanya ziara za hasaraHuyu mama kwa Safari atapewa Tuzo ya Oscar na Nobel
Machinga wanafukuzwa, watumishi wanakwiba Mali za umma,
Yeye Ni Safari tu Kila wiki ,
Hii nchi tulilaaniwa, Rais alikuwa JPM tu
Eti anafungua nchi sijui ilifungwa na nani?Huyu mama kwa Safari atapewa Tuzo ya Oscar na Nobel
Machinga wanafukuzwa, watumishi wanakwiba Mali za umma,
Yeye Ni Safari tu Kila wiki ,
Hii nchi tulilaaniwa, Rais alikuwa JPM tu
Kwikwikwi hatariHuyu Maza cha maana ni ule ushungi tu,
Mengine ni ya kwake na Mungu wake.
Santeee !!
Huyu jamaa ni bonge ya Pastor. HUWA namcheki sana YouTube.Amsalimie sana Dr Mensa OtabilView attachment 2235253
Mabalozi awamu hii wanakula bata, wanafuatwa kutafuniwa kila kitu huko wamebaki na mapokezi airport na cocktails, ndiyo maana wanajirekodi kucheza muziki hadi jikoni Lilongwe. Huu ni uelewa wa laymen mitaani.Mama anapenda safari kama nini!