pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Bado nasisitiza, kuna jamii inaumua sanaaaaa,
π€£π€£π€£π€£ππππ
π€£π€£π€£π€£ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waghana ni Kama watanzania tu
π π π π π πRais Samia hajawahi fanya ziara za hasara
Machinga wanafukizwa kwenda wapi?
Na wewe ka kwibe uone moto π
View attachment 2235357
Nikuwekee unanilipa sh.ngapi? Fuatilia bajeti kila kitu utakijua sio unaropoka ropokaπ π π π π π
Mwalimu mkuu tena? Shule za madarasa yapi, sh ngapi?
Katoa wezi, wauza poda, wamwagia watu tindikali..kaunganisha fraud empire, analisha mchwa n.k
Weka jumla ya pesa alizochukua huko nje, weka hapa matumizi yake kisha taja tangible things kama matokeo ya pesa hizo!
Usisahau kuweka mabilioni yaliyotajwa bungeni kuwa yamelipwa kama fidia ya mzozo wa accacia, ambayo mlitaka mjimilikishe kimya kimya!
Saaaaana , kwani wewe hutaki kufaidi Kodi?Kama ulivyoningβizwa Ritz Carlton. New York! Ulifaidi kodi zetu ee!
π π π πNikuwekee unanilipa sh.ngapi? Fuatilia bajeti kila kitu utakijua sio unaropoka ropoka
Nimerudia kusoma na inaonesha kuwa ni Kaimu. Sio Naibu.... Sasa kama amekaimu sijajua yule mwingereza mtanzania kaenda wapi..Kumbe Jaffar Haniu amebakia Ikulu na kuwa chini ya Boss 'Njagu' Mtanzania Muingereza?
Ameenda MI5 na MI6 kupeleka RipotiNimerudia kusoma na inaonesha kuwa ni Kaimu. Sio Naibu.... Sasa kama amekaimu sijajua yule mwingereza mtanzania kaenda wapi..
Yes, kuna heshima fulan tunayopewa waTz ukifika Ghana!Moja ya nchi nzuri sana Afrika niliyowahi kuitembelea, Watanzania tunaingia tu na Passport zetu hakuna Visa
Itafute imo humu humu! Hapo utajiridhisha kuwa alikuwa na mkewe!!Sikuona
Hata ya sheikh hafidh mukiitafuta bila shaka mutaionaItafute imo humu humu! Hapo utajiridhisha kuwa alikuwa na mkewe!!
Hata ya sheikh hafidh mukiitafuta bila shaka mutaiona
UVCCM_ TAIFA
MEI 23, 2022
TUNAKUTAKIA SAFARI NJEMA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN.
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)Taifa unakutakia Safari njema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN katika Ziara yako ya kikazi ya Siku tatu Accra, Nchini Ghana.
#AlipoMamaVijanaTupo
#2022ShirikiUchaguziKwaUadilifu
#2022JiandaeJuhesabiwa
#KaziIendeleeView attachment 2235622View attachment 2235623