Rais Samia kufanya Ziara ya Kihistoria Mkoani Katavi Julai 12-15, 2024

Rais Samia kufanya Ziara ya Kihistoria Mkoani Katavi Julai 12-15, 2024

Naona kaamua kwenda mkoani kuzuga .ana mda mrefu kaji fungia hewani
Hayo wasema wewe lakini kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua anafahamu kazi kubwa anayofanya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.na kila sehemu mkono wa Rais wetu umefika na inafika kila siku.jicho la Rais wetu lipo kila eneo
 
Acha ujinga wako wewe
Huo ndio ukweli. Andaeni hela za kuhonga wahudhuriaji na kusimamisha wanafunzi masomo wahudhirie hizo ziara, ili kuhadaa umma kuwa mama na chama chake cha majizi wanakubalika.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni historia,ni furaha na tabasamu,ni heka heka na chereko,ni shauku na kiu kubwa sana iliyojaa katika mioyo ya wana Katavi ambao wameripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kupata taarifa ya ugeni mzito na wa kihistoria ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ambaye anakwenda kuanza na kufanya ziara kuanzia Tarehe 12-15 Mwezi huu.

Mkoa mzima wananchi wanatamani wafagie njia na barabara zote atakazopita Mama yao,wanaona ni baraka na neema kubwa sana kwa Mama kukanyaga ardhi ya Katavi, wanajuwa neema inakwenda kushuka.wana kiu ya kumuona mama ana kwa ana ,wana taka waseme asante mama kwa upendo wako kwa wana Katavi ambao wamepelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo kuanzia barabara,umeme,Elimu,afya n.k.

Wanataka wakamhakikishie kumpatia kura za ndio kwa kishindo na kumuomba achukue Fomu ya Urais hapo Mwakani.wanataka akajionee Mwenyewe namna wanavyomuunga mkono kwa kuchapa kazi usiku na mchana kulijenga Taifa lao. Wana Katavi wana imani kubwa sana na Rais Samia na wana furaha kubwa sana kuona akitua katika mkoa wao.

Watendaji wa serikali kaeni mkao wa kula maana atakayebainika kukwamisha juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwahudumia wananchi,basi ajuwe kuwa atakwenda na maji.nazani mnakumbuka alipofanya ziara kule kusini namna alivyopangua na kufanya utenguzi kikomandoo.kumbukeni Rais wetu hanaga uvumilivu wala subira ya kumvumilia mzembe,mvivu,goigoi na mtu anayetaka kusukumwa sukumwa tu katika kazi.yeye kazi yake ni kucheza na kalamu tu.

Kwa hiyo nawatahadhalisheni watumishi wa umma wazembe na mliokuwa mnajifanya miungu watu na msiogusika.sasa Mama wa Taifa anakuja huko, komandoo wa vita anatua huko,shujaa wa Afrika anapiga hodi huko,Simba wa Nyika anakuja kutikisa na kutetemesha huko mpaka wanyama mbuga ya Katavi wasimame wima kupisha kishindo kitulie.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kila la kheri mh.Rais na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Taifa Dr.Samia Suluhu Hassan...

waTanzania tunakupenda, tuna imani na matumaini makubwa sana na Serikali yako sikivu ya CCM,

daima Tunakuombea kwa Mungu akujalie Afya njema na bidii zaidi katika kazi zako nzuri sana unazofanya, za kuwaletea waTanzania wote Maendeleo endelevu 🐒
 
Huo ndio ukweli. Andaeni hela za kuhonga wahudhuriaji na kusimamisha wanafunzi masomo wahudhirie hizo ziara, ili kuhadaa umma kuwa mama na chama chake cha majizi wanakubalika.
Watu wanamkubali sana Rais Samia. Kwa sasa maelfu ya watu wanasafiri kwa hiyari yao kwenda kumsikiliza Mama Yao
 
Watu wanamkubali sana Rais Samia. Kwa sasa maelfu ya watu wanasafiri kwa hiyari yao kwenda kumsikiliza Mama Yao
Endeleeni kuiba fedha za umma na kukabidhi raslimali za umma kwa waarabu ili mpate hela za kuhonga chawa waweze kumpamba mama.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni historia,ni furaha na tabasamu,ni heka heka na chereko,ni shauku na kiu kubwa sana iliyojaa katika mioyo ya wana Katavi ambao wameripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kupata taarifa ya ugeni mzito na wa kihistoria ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ambaye anakwenda kuanza na kufanya ziara kuanzia Tarehe 12-15 Mwezi huu.

Mkoa mzima wananchi wanatamani wafagie njia na barabara zote atakazopita Mama yao,wanaona ni baraka na neema kubwa sana kwa Mama kukanyaga ardhi ya Katavi, wanajuwa neema inakwenda kushuka.wana kiu ya kumuona mama ana kwa ana ,wana taka waseme asante mama kwa upendo wako kwa wana Katavi ambao wamepelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo kuanzia barabara,umeme,Elimu,afya n.k.

Wanataka wakamhakikishie kumpatia kura za ndio kwa kishindo na kumuomba achukue Fomu ya Urais hapo Mwakani.wanataka akajionee Mwenyewe namna wanavyomuunga mkono kwa kuchapa kazi usiku na mchana kulijenga Taifa lao. Wana Katavi wana imani kubwa sana na Rais Samia na wana furaha kubwa sana kuona akitua katika mkoa wao.

Watendaji wa serikali kaeni mkao wa kula maana atakayebainika kukwamisha juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwahudumia wananchi,basi ajuwe kuwa atakwenda na maji.nazani mnakumbuka alipofanya ziara kule kusini namna alivyopangua na kufanya utenguzi kikomandoo.kumbukeni Rais wetu hanaga uvumilivu wala subira ya kumvumilia mzembe,mvivu,goigoi na mtu anayetaka kusukumwa sukumwa tu katika kazi.yeye kazi yake ni kucheza na kalamu tu.

Kwa hiyo nawatahadhalisheni watumishi wa umma wazembe na mliokuwa mnajifanya miungu watu na msiogusika.sasa Mama wa Taifa anakuja huko, komandoo wa vita anatua huko,shujaa wa Afrika anapiga hodi huko,Simba wa Nyika anakuja kutikisa na kutetemesha huko mpaka wanyama mbuga ya Katavi wasimame wima kupisha kishindo kitulie.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe na chura wote majinga. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Naona unatamani sana ungekuwa ndio mimi.kwa hakika ungepata hadi ukichaa kwa raha na furaha tu ya kuwa na ephen.maana binti amejaliwa akili nyingi utafikiri alitengenezwa siku ya peke yake wakati wewe ukilaaniwa.
Nina wake wanne naridhika nao kabisa.
 
Lucas ulivyopotea nimepokea simu nyingi sana za wana jukwaa kukuulizia
Nikawajibu umekata tamaa ya kua chawa,
kumbe bado unaendelea na kazi, ulienda kutia mwili nguvu mpya

Mwaka huu teuzi tunayo au hatuna?

Mwashambwa akate tamaa ya kuwa chawa, halafu akafanye nini ili angalao aishi? Yeye kaamua kuitafuta tafsiri mpya ya kazi. Kwake kazi ni kufanya lolote, hata kama ni kwa kuudhalilisha utu na ubinadamu wako, alimradi tumbo lishibe.
 
Mwashambwa akate tamaa ya kuwa chawa, halafu akafanye nini ili angalao aishi? Yeye kaamua kuitafuta tafsiri mpya ya kazi. Kwake kazi ni kufanya lolote, hata kama ni kwa kuudhalilisha utu na ubinadamu wako, alimradi tumbo lishibe.
Mimi sina njaa kama wewe.mimi ni mkulima naye kula kwa jasho langu kutokana na juhudi za mikono yangu kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi, maarifa na kujituma
 
Back
Top Bottom