Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Naona umezoea na kupenda sana mambo ya kishirikinaWaganga Kazi Kwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umezoea na kupenda sana mambo ya kishirikinaWaganga Kazi Kwenu.
Hayo wasema wewe lakini kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua anafahamu kazi kubwa anayofanya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.na kila sehemu mkono wa Rais wetu umefika na inafika kila siku.jicho la Rais wetu lipo kila eneoNaona kaamua kwenda mkoani kuzuga .ana mda mrefu kaji fungia hewani
Acha moshi dogo.Huwa anatumia modem ya katibu wa CWT Wilaya ya chunya hivyo kuna saa Katibu anasafiri na modem yake anakuwa na access na internet
Ondoa ujinga wako hapa wewe.Rais wa Nchi siyo sawa na balozi wa nyumba kumi.Tangu amekuwa Rais hajawahi kufika Katavi miaka 4 lakini Marekani kaenda zaidi ya mara 5, aibu kubwa sn
Naona unatamani sana ungekuwa ndio mimi.kwa hakika ungepata hadi ukichaa kwa raha na furaha tu ya kuwa na ephen.maana binti amejaliwa akili nyingi utafikiri alitengenezwa siku ya peke yake wakati wewe ukilaaniwa.ephen anakuvisha kilemba cha ukoka mwenyewe unapandisha mabega
Kwa hiyo Katavi ni mbali kuliko Marekani?Ondoa ujinga wako hapa wewe.Rais wa Nchi siyo sawa na balozi wa nyumba kumi.
Mjinga wewe huwa na hela ya bandoAcha moshi dogo.
PS siyo rahisi kununua bando[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli
Huo ndio ukweli. Andaeni hela za kuhonga wahudhuriaji na kusimamisha wanafunzi masomo wahudhirie hizo ziara, ili kuhadaa umma kuwa mama na chama chake cha majizi wanakubalika.Acha ujinga wako wewe
Kila la kheri mh.Rais na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Taifa Dr.Samia Suluhu Hassan...Ndugu zangu Watanzania,
Ni historia,ni furaha na tabasamu,ni heka heka na chereko,ni shauku na kiu kubwa sana iliyojaa katika mioyo ya wana Katavi ambao wameripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kupata taarifa ya ugeni mzito na wa kihistoria ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ambaye anakwenda kuanza na kufanya ziara kuanzia Tarehe 12-15 Mwezi huu.
Mkoa mzima wananchi wanatamani wafagie njia na barabara zote atakazopita Mama yao,wanaona ni baraka na neema kubwa sana kwa Mama kukanyaga ardhi ya Katavi, wanajuwa neema inakwenda kushuka.wana kiu ya kumuona mama ana kwa ana ,wana taka waseme asante mama kwa upendo wako kwa wana Katavi ambao wamepelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo kuanzia barabara,umeme,Elimu,afya n.k.
Wanataka wakamhakikishie kumpatia kura za ndio kwa kishindo na kumuomba achukue Fomu ya Urais hapo Mwakani.wanataka akajionee Mwenyewe namna wanavyomuunga mkono kwa kuchapa kazi usiku na mchana kulijenga Taifa lao. Wana Katavi wana imani kubwa sana na Rais Samia na wana furaha kubwa sana kuona akitua katika mkoa wao.
Watendaji wa serikali kaeni mkao wa kula maana atakayebainika kukwamisha juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwahudumia wananchi,basi ajuwe kuwa atakwenda na maji.nazani mnakumbuka alipofanya ziara kule kusini namna alivyopangua na kufanya utenguzi kikomandoo.kumbukeni Rais wetu hanaga uvumilivu wala subira ya kumvumilia mzembe,mvivu,goigoi na mtu anayetaka kusukumwa sukumwa tu katika kazi.yeye kazi yake ni kucheza na kalamu tu.
Kwa hiyo nawatahadhalisheni watumishi wa umma wazembe na mliokuwa mnajifanya miungu watu na msiogusika.sasa Mama wa Taifa anakuja huko, komandoo wa vita anatua huko,shujaa wa Afrika anapiga hodi huko,Simba wa Nyika anakuja kutikisa na kutetemesha huko mpaka wanyama mbuga ya Katavi wasimame wima kupisha kishindo kitulie.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watu wanamkubali sana Rais Samia. Kwa sasa maelfu ya watu wanasafiri kwa hiyari yao kwenda kumsikiliza Mama YaoHuo ndio ukweli. Andaeni hela za kuhonga wahudhuriaji na kusimamisha wanafunzi masomo wahudhirie hizo ziara, ili kuhadaa umma kuwa mama na chama chake cha majizi wanakubalika.
Endeleeni kuiba fedha za umma na kukabidhi raslimali za umma kwa waarabu ili mpate hela za kuhonga chawa waweze kumpamba mama.Watu wanamkubali sana Rais Samia. Kwa sasa maelfu ya watu wanasafiri kwa hiyari yao kwenda kumsikiliza Mama Yao
Wewe na chura wote majinga. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketeeNdugu zangu Watanzania,
Ni historia,ni furaha na tabasamu,ni heka heka na chereko,ni shauku na kiu kubwa sana iliyojaa katika mioyo ya wana Katavi ambao wameripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kupata taarifa ya ugeni mzito na wa kihistoria ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ambaye anakwenda kuanza na kufanya ziara kuanzia Tarehe 12-15 Mwezi huu.
Mkoa mzima wananchi wanatamani wafagie njia na barabara zote atakazopita Mama yao,wanaona ni baraka na neema kubwa sana kwa Mama kukanyaga ardhi ya Katavi, wanajuwa neema inakwenda kushuka.wana kiu ya kumuona mama ana kwa ana ,wana taka waseme asante mama kwa upendo wako kwa wana Katavi ambao wamepelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo kuanzia barabara,umeme,Elimu,afya n.k.
Wanataka wakamhakikishie kumpatia kura za ndio kwa kishindo na kumuomba achukue Fomu ya Urais hapo Mwakani.wanataka akajionee Mwenyewe namna wanavyomuunga mkono kwa kuchapa kazi usiku na mchana kulijenga Taifa lao. Wana Katavi wana imani kubwa sana na Rais Samia na wana furaha kubwa sana kuona akitua katika mkoa wao.
Watendaji wa serikali kaeni mkao wa kula maana atakayebainika kukwamisha juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwahudumia wananchi,basi ajuwe kuwa atakwenda na maji.nazani mnakumbuka alipofanya ziara kule kusini namna alivyopangua na kufanya utenguzi kikomandoo.kumbukeni Rais wetu hanaga uvumilivu wala subira ya kumvumilia mzembe,mvivu,goigoi na mtu anayetaka kusukumwa sukumwa tu katika kazi.yeye kazi yake ni kucheza na kalamu tu.
Kwa hiyo nawatahadhalisheni watumishi wa umma wazembe na mliokuwa mnajifanya miungu watu na msiogusika.sasa Mama wa Taifa anakuja huko, komandoo wa vita anatua huko,shujaa wa Afrika anapiga hodi huko,Simba wa Nyika anakuja kutikisa na kutetemesha huko mpaka wanyama mbuga ya Katavi wasimame wima kupisha kishindo kitulie.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe hunaga akili kabisaWewe na chura wote majinga. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Nina wake wanne naridhika nao kabisa.Naona unatamani sana ungekuwa ndio mimi.kwa hakika ungepata hadi ukichaa kwa raha na furaha tu ya kuwa na ephen.maana binti amejaliwa akili nyingi utafikiri alitengenezwa siku ya peke yake wakati wewe ukilaaniwa.
Wewe endelea kuongea ongea tu kama mgonjwaEndeleeni kuiba fedha za umma na kukabidhi raslimali za umma kwa waarabu ili mpate hela za kuhonga chawa waweze kumpamba mama.
Lucas ulivyopotea nimepokea simu nyingi sana za wana jukwaa kukuulizia
Nikawajibu umekata tamaa ya kua chawa,
kumbe bado unaendelea na kazi, ulienda kutia mwili nguvu mpya
Mwaka huu teuzi tunayo au hatuna?
Mimi sina njaa kama wewe.mimi ni mkulima naye kula kwa jasho langu kutokana na juhudi za mikono yangu kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi, maarifa na kujitumaMwashambwa akate tamaa ya kuwa chawa, halafu akafanye nini ili angalao aishi? Yeye kaamua kuitafuta tafsiri mpya ya kazi. Kwake kazi ni kufanya lolote, hata kama ni kwa kuudhalilisha utu na ubinadamu wako, alimradi tumbo lishibe.
Hao wanawake wana huruma sana mpaka kukubali kuishi na mtu mwenye akili aina yako ambayo kila mmoja anaishangaa.Nina wake wanne naridhika nao kabisa.