Rais Samia kufanya Ziara ya Kihistoria Mkoani Katavi Julai 12-15, 2024

Rais Samia kufanya Ziara ya Kihistoria Mkoani Katavi Julai 12-15, 2024

Ndugu zangu Watanzania,

Ni historia,ni furaha na tabasamu,ni heka heka na chereko,ni shauku na kiu kubwa sana iliyojaa katika mioyo ya wana Katavi ambao wameripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kupata taarifa ya ugeni mzito na wa kihistoria ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ambaye anakwenda kuanza na kufanya ziara kuanzia Tarehe 12-15 Mwezi huu.

Mkoa mzima wananchi wanatamani wafagie njia na barabara zote atakazopita Mama yao,wanaona ni baraka na neema kubwa sana kwa Mama kukanyaga ardhi ya Katavi, wanajuwa neema inakwenda kushuka.wana kiu ya kumuona mama ana kwa ana ,wana taka waseme asante mama kwa upendo wako kwa wana Katavi ambao wamepelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo kuanzia barabara,umeme,Elimu,afya n.k.

Wanataka wakamhakikishie kumpatia kura za ndio kwa kishindo na kumuomba achukue Fomu ya Urais hapo Mwakani.wanataka akajionee Mwenyewe namna wanavyomuunga mkono kwa kuchapa kazi usiku na mchana kulijenga Taifa lao. Wana Katavi wana imani kubwa sana na Rais Samia na wana furaha kubwa sana kuona akitua katika mkoa wao.

Watendaji wa serikali kaeni mkao wa kula maana atakayebainika kukwamisha juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwahudumia wananchi,basi ajuwe kuwa atakwenda na maji.nazani mnakumbuka alipofanya ziara kule kusini namna alivyopangua na kufanya utenguzi kikomandoo.kumbukeni Rais wetu hanaga uvumilivu wala subira ya kumvumilia mzembe,mvivu,goigoi na mtu anayetaka kusukumwa sukumwa tu katika kazi.yeye kazi yake ni kucheza na kalamu tu.

Kwa hiyo nawatahadhalisheni watumishi wa umma wazembe na mliokuwa mnajifanya miungu watu na msiogusika.sasa Mama wa Taifa anakuja huko, komandoo wa vita anatua huko,shujaa wa Afrika anapiga hodi huko,Simba wa Nyika anakuja kutikisa na kutetemesha huko mpaka wanyama mbuga ya Katavi wasimame wima kupisha kishindo kitulie.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Cc. ephen_
 
Mimi sina njaa kama wewe.mimi ni mkulima naye kula kwa jasho langu kutokana na juhudi za mikono yangu kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi, maarifa na kujituma

Mimi naithamini sana kazi ya kilimo kwani ndiyo kazi inayoweza kumhakikishia mtu maisha, kuanzia yale ya kawaida mpaka ya utajiri. Na hiyo ndiyo kazi ya pili ya mwanadamu baada ya ile ya uwindaji.

Kama una uhakika wa kuishi, ya nini kuudhalilisha utu wako kwa kuwafanya wanadamu wenzako miungu watu? Sifa ni ya Mungu pekee, mwanadamu hupongezwa atendapo jema. Wewe, siku zote umeamua kufanya kufuru kwa kuwasifu viumbe wenzako wenye madaraka bila ya kujali wanafanya vyema au vibaya. Sifa za Muumbaji unazijaza kwa waumbwa, walio sawa na wewe. Wanaoweza kukosea kama unavyoweza kukosea wewe, wanaoweza kuwa watu wenye tamaa kupindukia, hata kulisaliti Taifa kama msaliti mwingine yeyote.

IGA ya DPW ni mbaya yenye kuashiria ufisadi wa kiwango cha ajabu; hakuna uwekezaji kwenye hifadhi zetu za misitu, waliopewa hifadhi hizo, wamepewa ili wavune na siyo kuwekeza; waliopewa mbuga za wanyama, wamepewa ili wanufaike na makusanyo ya fedha kupitia kile kilichopo, hakuna uwekezaji kwa sababu hawakuleta twiga wala tembo. Uchafu huo wote umefanywa na watawala. Asiyekengeuka, kamwe hawezi kuwasifia watawala wanaolisaliti Taifa kwa kupora rasilimali za nchi na kuwapatia wageni kupitia mikataba ya kishenzi, kama ule wa IGA kati ya TZ na Dubai, mkataba unaoua sovereignity ya nchi kwenye uwekezaji wa bandari.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni historia,ni furaha na tabasamu,ni heka heka na chereko,ni shauku na kiu kubwa sana iliyojaa katika mioyo ya wana Katavi ambao wameripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kupata taarifa ya ugeni mzito na wa kihistoria ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ambaye anakwenda kuanza na kufanya ziara kuanzia Tarehe 12-15 Mwezi huu.

Mkoa mzima wananchi wanatamani wafagie njia na barabara zote atakazopita Mama yao,wanaona ni baraka na neema kubwa sana kwa Mama kukanyaga ardhi ya Katavi, wanajuwa neema inakwenda kushuka.wana kiu ya kumuona mama ana kwa ana ,wana taka waseme asante mama kwa upendo wako kwa wana Katavi ambao wamepelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo kuanzia barabara,umeme,Elimu,afya n.k.

Wanataka wakamhakikishie kumpatia kura za ndio kwa kishindo na kumuomba achukue Fomu ya Urais hapo Mwakani.wanataka akajionee Mwenyewe namna wanavyomuunga mkono kwa kuchapa kazi usiku na mchana kulijenga Taifa lao. Wana Katavi wana imani kubwa sana na Rais Samia na wana furaha kubwa sana kuona akitua katika mkoa wao.

Watendaji wa serikali kaeni mkao wa kula maana atakayebainika kukwamisha juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwahudumia wananchi,basi ajuwe kuwa atakwenda na maji.nazani mnakumbuka alipofanya ziara kule kusini namna alivyopangua na kufanya utenguzi kikomandoo.kumbukeni Rais wetu hanaga uvumilivu wala subira ya kumvumilia mzembe,mvivu,goigoi na mtu anayetaka kusukumwa sukumwa tu katika kazi.yeye kazi yake ni kucheza na kalamu tu.

Kwa hiyo nawatahadhalisheni watumishi wa umma wazembe na mliokuwa mnajifanya miungu watu na msiogusika.sasa Mama wa Taifa anakuja huko, komandoo wa vita anatua huko,shujaa wa Afrika anapiga hodi huko,Simba wa Nyika anakuja kutikisa na kutetemesha huko mpaka wanyama mbuga ya Katavi wasimame wima kupisha kishindo kitulie.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama atapita kwenye barabara za vumbi kwenye ziara hiyo nitajiunga na CCM
 
Mimi naithamini sana kazi ya kilimo kwani ndiyo kazi inayoweza kumhakikishia mtu maisha, kuanzia yale ya kawaida mpaka ya utajiri. Na hiyo ndiyo kazi ya pili ya mwanadamu baada ya ile ya uwindaji.

Kama una uhakika wa kuishi, ya nini kuudhalilisha utu wako kwa kuwafanya wanadamu wenzako miungu watu? Sifa ni ya Mungu pekee, mwanadamu hupongezwa atendapo jema. Wewe, siku zote umeamua kufanya kufuru kwa kuwasifu viumbe wenzako wenye madaraka bila ya kujali wanafanya vyema au vibaya. Sifa za Muumbaji unazijaza kwa waumbwa, walio sawa na wewe. Wanaoweza kukosea kama unavyoweza kukosea wewe, wanaoweza kuwa watu wenye tamaa kupindukia, hata kulisaliti Taifa kama msaliti mwingine yeyote.

IGA ya DPW ni mbaya yenye kuashiria ufisadi wa kiwango cha ajabu; hakuna uwekezaji kwenye hifadhi zetu za misitu, waliopewa hifadhi hizo, wamepewa ili wavune na siyo kuwekeza; waliopewa mbuga za wanyama, wamepewa ili wanufaike na makusanyo ya fedha kupitia kile kilichopo, hakuna uwekezaji kwa sababu hawakuleta twiga wala tembo. Uchafu huo wote umefanywa na watawala. Asiyekengeuka, kamwe hawezi kuwasifia watawala wanaolisaliti Taifa kwa kupora rasilimali za nchi na kuwapatia wageni kupitia mikataba ya kishenzi, kama ule wa IGA kati ya TZ na Dubai, mkataba unaoua sovereignity ya nchi kwenye uwekezaji wa bandari.
📌
 
Mimi naithamini sana kazi ya kilimo kwani ndiyo kazi inayoweza kumhakikishia mtu maisha, kuanzia yale ya kawaida mpaka ya utajiri. Na hiyo ndiyo kazi ya pili ya mwanadamu baada ya ile ya uwindaji.

Kama una uhakika wa kuishi, ya nini kuudhalilisha utu wako kwa kuwafanya wanadamu wenzako miungu watu? Sifa ni ya Mungu pekee, mwanadamu hupongezwa atendapo jema. Wewe, siku zote umeamua kufanya kufuru kwa kuwasifu viumbe wenzako wenye madaraka bila ya kujali wanafanya vyema au vibaya. Sifa za Muumbaji unazijaza kwa waumbwa, walio sawa na wewe. Wanaoweza kukosea kama unavyoweza kukosea wewe, wanaoweza kuwa watu wenye tamaa kupindukia, hata kulisaliti Taifa kama msaliti mwingine yeyote.

IGA ya DPW ni mbaya yenye kuashiria ufisadi wa kiwango cha ajabu; hakuna uwekezaji kwenye hifadhi zetu za misitu, waliopewa hifadhi hizo, wamepewa ili wavune na siyo kuwekeza; waliopewa mbuga za wanyama, wamepewa ili wanufaike na makusanyo ya fedha kupitia kile kilichopo, hakuna uwekezaji kwa sababu hawakuleta twiga wala tembo. Uchafu huo wote umefanywa na watawala. Asiyekengeuka, kamwe hawezi kuwasifia watawala wanaolisaliti Taifa kwa kupora rasilimali za nchi na kuwapatia wageni kupitia mikataba ya kishenzi, kama ule wa IGA kati ya TZ na Dubai, mkataba unaoua sovereignity ya nchi kwenye uwekezaji wa bandari.
Mimi huwa naongea UKWELI tu na siyo kumpamba mtu au kumsifia au kumpa sifa asizostahili kupewa. Natambua watu aina yako hampendi kusikia ukweli au kuona UKWELI ukiandikwa hususani ukiwa kinyume na mitizamo yenu. Nitaendelea kuandika UKWELI bila kuchoka wala kukatishwa tamaa na watu aina yako.
 
Mimi naithamini sana kazi ya kilimo kwani ndiyo kazi inayoweza kumhakikishia mtu maisha, kuanzia yale ya kawaida mpaka ya utajiri. Na hiyo ndiyo kazi ya pili ya mwanadamu baada ya ile ya uwindaji.

Kama una uhakika wa kuishi, ya nini kuudhalilisha utu wako kwa kuwafanya wanadamu wenzako miungu watu? Sifa ni ya Mungu pekee, mwanadamu hupongezwa atendapo jema. Wewe, siku zote umeamua kufanya kufuru kwa kuwasifu viumbe wenzako wenye madaraka bila ya kujali wanafanya vyema au vibaya. Sifa za Muumbaji unazijaza kwa waumbwa, walio sawa na wewe. Wanaoweza kukosea kama unavyoweza kukosea wewe, wanaoweza kuwa watu wenye tamaa kupindukia, hata kulisaliti Taifa kama msaliti mwingine yeyote.

IGA ya DPW ni mbaya yenye kuashiria ufisadi wa kiwango cha ajabu; hakuna uwekezaji kwenye hifadhi zetu za misitu, waliopewa hifadhi hizo, wamepewa ili wavune na siyo kuwekeza; waliopewa mbuga za wanyama, wamepewa ili wanufaike na makusanyo ya fedha kupitia kile kilichopo, hakuna uwekezaji kwa sababu hawakuleta twiga wala tembo. Uchafu huo wote umefanywa na watawala. Asiyekengeuka, kamwe hawezi kuwasifia watawala wanaolisaliti Taifa kwa kupora rasilimali za nchi na kuwapatia wageni kupitia mikataba ya kishenzi, kama ule wa IGA kati ya TZ na Dubai, mkataba unaoua sovereignity ya nchi kwenye uwekezaji wa bandari.
Ubaya wa IGA ya DPW upo wapi ikiwa hauzuii makampuni mengine kuja kuwekeza kwenye sekta ya bandari?. Mnapotosha watu kwa lengo la kutafuta umaarufu bila ya kuangalia kwa kina madhara ya upotoshaji mlioufanya!.

IGA ingekuwa ni huo ubaya unaousema leo hii kampuni ya mhindi isingepewa nafasi ya kuwekeza kwenye magati namba 8-11 pale TPA.

Kwaa taarifa yako uwekezaji bandarini haujafika mwisho bado.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni historia,ni furaha na tabasamu,ni heka heka na chereko,ni shauku na kiu kubwa sana iliyojaa katika mioyo ya wana Katavi ambao wameripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kupata taarifa ya ugeni mzito na wa kihistoria ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ambaye anakwenda kuanza na kufanya ziara kuanzia Tarehe 12-15 Mwezi huu.

Mkoa mzima wananchi wanatamani wafagie njia na barabara zote atakazopita Mama yao,wanaona ni baraka na neema kubwa sana kwa Mama kukanyaga ardhi ya Katavi, wanajuwa neema inakwenda kushuka.wana kiu ya kumuona mama ana kwa ana ,wana taka waseme asante mama kwa upendo wako kwa wana Katavi ambao wamepelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo kuanzia barabara,umeme,Elimu,afya n.k.

Wanataka wakamhakikishie kumpatia kura za ndio kwa kishindo na kumuomba achukue Fomu ya Urais hapo Mwakani.wanataka akajionee Mwenyewe namna wanavyomuunga mkono kwa kuchapa kazi usiku na mchana kulijenga Taifa lao. Wana Katavi wana imani kubwa sana na Rais Samia na wana furaha kubwa sana kuona akitua katika mkoa wao.

Watendaji wa serikali kaeni mkao wa kula maana atakayebainika kukwamisha juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwahudumia wananchi,basi ajuwe kuwa atakwenda na maji.nazani mnakumbuka alipofanya ziara kule kusini namna alivyopangua na kufanya utenguzi kikomandoo.kumbukeni Rais wetu hanaga uvumilivu wala subira ya kumvumilia mzembe,mvivu,goigoi na mtu anayetaka kusukumwa sukumwa tu katika kazi.yeye kazi yake ni kucheza na kalamu tu.

Kwa hiyo nawatahadhalisheni watumishi wa umma wazembe na mliokuwa mnajifanya miungu watu na msiogusika.sasa Mama wa Taifa anakuja huko, komandoo wa vita anatua huko,shujaa wa Afrika anapiga hodi huko,Simba wa Nyika anakuja kutikisa na kutetemesha huko mpaka wanyama mbuga ya Katavi wasimame wima kupisha kishindo kitulie.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Hivi waganga wa Katavi wana umoja kama wale wa Simiyu? I am just curious maana waganga kama waganga
 
asisahau kujenga na sanamu la sativa pembezoni mwa mto ugalla kuvutia watalii
 
Back
Top Bottom