Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Sativa ndio nani huyo.asisahau kujenga na sanamu la sativa pembezoni mwa mto ugalla kuvutia watalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sativa ndio nani huyo.asisahau kujenga na sanamu la sativa pembezoni mwa mto ugalla kuvutia watalii
Waganga wa nini tena ndugu yangu.Hivi waganga wa Katavi wana umoja kama wale wa Simiyu? I am just curious maana waganga kama waganga
Haha achana na hao matapeli mkuu 😂😂Sativa ndio nani huyo.
humjui na mama kipenz cha wote kasimamia matibabu yake kamwaga mamilion kuokoa uhai wa kijana wake na wewe chawa mtiifu hujui ni lini utakua sirias kama chawa?Sativa ndio nani huyo.
Kwani waganga wanafanya nini? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Waganga wa nini tena ndugu yangu.
We umdanganye mtoto wa watu,kumbe wanawake nao ni wanadanganya wanaume aisee.Hatutaki uchonganishi wako!
Mniache na ephen wangu.Nimeridhika naye na wala sisikiliza maneno ya mtu yeyote yule.nimeweka pamba masikioni mwangu na kupulizwa na upepo uliao jina la ephen muda wote.We umdanganye mtoto wa watu,kumbe wanawake nao ni wanadanganya wanaume aisee.
Hebu tupe ya Ziara ya Mama Huko Katavi mzee.Achana na Ephen.Mniache na ephen wangu.Nimeridhika naye na wala sisikiliza maneno ya mtu yeyote yule.nimeweka pamba masikioni mwangu na kupulizwa na upepo uliao jina la ephen muda wote.
Katavi kumenoga.Mama ametua kwa kishindo kilichoitetemesha Katavi nzima mpaka wanyama mbuga ya wanyama wamesimama wimaHebu tupe ya Ziara ya Mama Huko Katavi mzee.Achana na Ephen.
Ni kijana shupavu na mzalendo kwa nchi yake ambaye hana chembe ya uchawa hata kidogo.Sativa ndio nani huyo.
Uzalendo gani huo unaousema?Ni kijana shupavu na mzalendo kwa nchi yake ambaye hana chembe ya uchawa hata kidogo.
Kumzindika mazaWaganga wa nini tena ndugu yangu.
Mama analindwa na MunguKumzindika maza
Uzalendo wa Kitanganyika.Uzalendo gani huo unaousema?
Unamjua Mungu wake wewe?Mama analindwa na Mungu
Mungu wa MbinguniUnamjua Mungu wake wewe?
Mbinguni ndiyo wapi dogo?Mungu wa Mbinguni
sio pori la kupotezea watu, anakagua mapori ya kuuza... na kuji humanize mbele ya wana jamii wamuone mtu wao kabla hajawauzilia mbali kwa waarabu...Anaenda kukagua lile pori linalotumika kuwapoteza wakosoaji wake?
So sad.sio pori la kupotezea watu, anakagua mapori ya kuuza... na kuji humanize mbele ya wana jamii wamuone mtu wao kabla hajawauzilia mbali kwa waarabu...
haendi bure bure tu... kila safari ya mpiga dili, kila kitu anachofanya mpiga dili kina hila na kina sababu zake...
Huwezi ukaelewa hata ukiambiwa maana akili yako imepofuka.Mbinguni ndiyo wapi dogo?