Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

Hivi kwanini kiongozi wa China Urusi au Marekani na hata Brazil hawana ziara nyingi hivi kama hawa wa huku kwetu?
Au ndio huwa wanakwenda kuomba?
Tuliza kichwa na anza kufikiri kwa kutumia ubongo usitumie makalio kufikiri.Hizo nchi ukilinganisha na bongo ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu. Budget ya kwenu inategemea misaada kwa 99.9%, hizo nchi ulizozitaja hapo ndio zinazowapa hio misaada. Jitafakari kabla hujaandika pumba zako hapa.
 
Utakufa na wivu wako.
Wivu gani wewe!! Tanzania imejaariwa raslimali za kila aina! Ila kila siku viongozi wako wanahangaika tu kukopa hovyo, na pia kuwabebesha wananchi kodi na tozo zisizo na kichwa, wala miguu!!

Unafikiri wangekuwa wanabana matumizi na pia kudhibiti rushwa na upigaji! tungeendelea kuwa omba omba hata baada ya miaka zaidi ya 60 tangu tulipopata Uhuru?
 
Duh!! Tulikuwa tunamkumbuka Magufuli nadhani sasa tutalazimika kumkumbuka hata Kikwete!
 
Balozi wetu huko Korea asingeweza kutoa hizo shukrani kwa Korea kwa msaada wa ujenzi wa hilo daraja?!.
 
Balozi wetu huko Korea asingeweza kutoa hizo shukrani kwa Korea kwa msaada wa ujenzi wa hilo daraja?!.
Toa ujinga wako hapa,Balozi ndio atakuwa na itifaki za Rais?

Balozi Huwa anaalikwa Kwa Niaba ya Rais kufanya state Visit?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…